Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,169
- 23,860
- Thread starter
- #41
Gwajima atatoka ubunge kama debe tupu lililopiga makelele mengi.Japo simkubali na sikuwahi kumkubali kabisa Askofu Gwajima, jla hapa kuna Hoja nzuri na yenye Mantiki kabisa uliyoileta.