Betri yenye chaji
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 743
- 637
punguza ujuaji na kiherehere mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametosheka huyoNimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims.
Kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.
Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.
Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.
Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond, hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.
Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
Hao wote uliowataja kama wahanga wa mahubiri ya Ask. Gwajima ni watu mashuhuri na wengi wana wanasheria wao, sasa kwa nini wasimshitaki mahakamani huyo Askofu Gwajima anayewadharirisha?Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims, kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.
Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.
Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.
Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond , hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.
Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
Mkuu umejuaje kuwa kasema diamond ni freemason...leo gwajima kwani ametajapo jina la diamond??Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims.
Kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.
Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.
Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.
Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond, hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.
Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
Sijaona kitu kinachofanana na national security katika habari yote hiiNimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims.
Kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.
Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.
Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.
Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond, hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.
Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims.
Kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.
Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.
Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.
Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond, hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.
Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
You..of small brain..you discuss nonsense..Give us break pleaseNimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims.
Kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.
Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.
Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.
Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond, hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.
Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
Utamjuaje mvuta kushi, kama hukai nae maskanUnaweza kuwa member bila kujijuwa?
Umenifurahisha sanabecause zero in the brain translates zero in plans and actions
yani fa fa fa fa lazima likwame
Namuona anavyombwela Bashite jingaNa ww ulikuwemo
Ila hivi sasa limepoteza floating balance.Baraza lipo mkuu