Gwajima ni 'Threat to National Security', Mamlaka husika zimdhibiti

Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims.

Kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.

Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.

Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.

Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond, hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.

Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
Ametosheka huyo
 
Nao wanamchokozeaga nini, Gwajima huwa ha 'attack' bali anafanya 'counter attack', hawa wanaomchokoza hawajui tu wanavyompa 'kick'
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims, kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.
Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.

Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.

Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond , hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.

Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
Hao wote uliowataja kama wahanga wa mahubiri ya Ask. Gwajima ni watu mashuhuri na wengi wana wanasheria wao, sasa kwa nini wasimshitaki mahakamani huyo Askofu Gwajima anayewadharirisha?
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims.

Kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.

Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.

Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.

Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond, hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.

Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
Mkuu umejuaje kuwa kasema diamond ni freemason...leo gwajima kwani ametajapo jina la diamond??
 
Wewe bashite timu tuliza mshono wako ziba domo mpewe dozi mbn huyo bashite anayewateka watu hakemewi pumbavu ww
 
Akiachwa aendelee hivi!! We ulitakwa afanyweje? Utakuwa unahusika katika utekaji unaoendelea nchini..nyumbu wewe
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims.

Kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.

Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.

Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.

Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond, hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.

Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
Sijaona kitu kinachofanana na national security katika habari yote hii
 
aisee i was talking to my wife telling her exactly what you wrote.... yan the guy tayar ni threat kwa national security nakama ataachwa trust me majuto yatakua mjukuu...
 
Sioni kosa la Gwajima au na wewe freemason nn mbona husemi hawa wanaovamia media hawachukuliwi hatua tuliza mshono wako hauna point ....sawa na bashite tu
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims.

Kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.

Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.

Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.

Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond, hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.

Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.

Ninachohofu, kuwa makini Jumapili ya Pasaka usijekuwa karamu yake, kwani atakutaja kwa jina kamili, ulipotoka na matokeo yako ya vidato... nawaza tuu
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo yake anawasababishia picha mbaya kwa jamii na hata msongo wa mawazo kwa hawa victims.

Kwa sasa Askofu huyu anajitambulisha kama ndiye mkemea maovu kwenye Nchi, matokeo yake akiachiwa aendelee hivi ataleta uvunjifu wa amani Nchini.

Ameishajua watanzania walio wengi wanapenda umbea so anawalisha kile wanachotaka kusikia achilia mbali kuwafanya watanzania hawa kama daraja la kupiga hela ,maake anajaza watu wengi kila jumapili hivyo makusanyo ya sadaka yamedouble kama siyo kutriple.

Anyway hayo ya brainwashing na kupiga hela siyo ishu kwani hao waumini wake ni watu wazima, wenye akili timamu. tatizo ninaloliona ni hii tabia ya personal attack kwa watu anaotofautiana nao, hii itahatarisha amani tuliyonayo na usalama wa Taifa kwa ujumla.

Anaposema Diamond ni member wa Freemanson, inamsaidia nini mtu akishafahamu hiyo imani ya Diamond, hii haimpi mtu ticketi ya kwenda mbinguni eti tu kwa vile umeishafahamu Diamond ni Freemanson, ticketi ya kwenda mbinguni ni kufanya yale yanayompendeza na aliyoagiza Mwenyezi Mungu kwa wanadamu, pia kwa kujua Diamond ni Freemanson haikupi wewe Kinga against matendo ya Shetani.

Mamlaka husika zimdhibiti huyu anayejiita Askofu aliyegeuka Mr Mipasho wakati waumini wake wana kiu ya neno la Mungu,wiki nzima mtu umekuwa bize na mihangaiko ya maisha, Jumapili inafka unasema uende ukamuabudu muumba wako instead unakutana na mipasho mwanzo mwisho over 5 hours, this is not fair to these poor followers.
You..of small brain..you discuss nonsense..Give us break please
 
Gwajima ni kiongozi wa kiroho so anapowatahadharisha waumini wake wasisililize nyimbo za kishetani ni vibaya
 
Anayo yafanya Gwajima nina hakika ingekuwa ni mwanasiasa wa chama chochote kile ingekuwa shida sana. Kwanini serekali inafumbia macho kinacho endelea??
 
64 Reactions
Reply
Back
Top Bottom