Gwajima na Lema mjifunze kwa Mbunge wa Moshi Jaffar Michael kutolilia Mic msibani ili kuongea

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Katika watu wanaotakiwa kupata somo juu ya utulivu kwenye misiba ni Lema pamoja na ''mshenga'', Gwajima.

Mbunge wa Moshi ndugu Jaffar Michael ametoa funzo kwa Godbless Lema kuwa kuongea kwenye msiba sio tija au hakukufanyi ukawa mfiwa zaidi au mhusika zaidi. Wazungumzaji wakuu wa msiba wa marehemu Mzee Ndesamburo, walikuwa ni viongozi wa vyama vya siasa kitaifa pamoja na 'nabii' na 'sheikh' rasmi wa Chadema.

Ingekuwa Lema ndiye mbunge wa Moshi yawezekana kabisa pangechimbika, angeangua kilio kutaka kupewa mic.

Huu ni ushahidi tosha kuwa Lema hakuguswa na msiba bali kiki za msibani vile vile na Gwajima.

Hongera Mbunge Jaffar Michael na Mstahiki Meya Mboya mmeotoa fundisho kwa Lema na Gwajima.
 
Watu uliowaona wanalia kule Arusha walikuwa wanalilia watoto siyo Mic, na wale uliowaona wanalia Moshi walikuwa wanamlilia Ndesamburo siyo Mic. Nyinyi watu wa ajabu sana mchango wa Ndesamburo kwenye jamii ni mkubwa kuliko hayo manguo ya kijani mnayosambaza wakati wa uchaguzi.
RIP NdesaPesa.
 
Katika watu wanaotakiwa kupata somo juu ya utulivu kwenye misiba ni Lema pamoja na ''mshenga'', Gwajima.

Mbunge wa Moshi ndugu Jaffar Michael ametoa funzo kwa Godbless Lema kuwa kuongea kwenye msiba sio tija au hakukufanyi ukawa mfiwa zaidi au mhusika zaidi. Wazungumzaji wakuu wa msiba wa marehemu Mzee Ndesamburo, walikuwa ni viongozi wa vyama vya siasa kitaifa pamoja na 'nabii' na 'sheikh' rasmi wa Chadema.

Ingekuwa Lema ndiye mbunge wa Moshi yawezekana kabisa pangechimbika, angeangua kilio kutaka kupewa mic.

Hongera Mbunge Jaffar Michael na Mstahiki Meya Mboya mmeotoa fundisho kwa Lema na Gwajima.

Naona Lema ndiyo kiboko yenu CCM
 
Watu uliowaona wanalia kule Arusha walikuwa wanalilia watoto siyo Mic, na wale uliowaona wanalia Moshi walikuwa wanamlilia Ndesamburo siyo Mic. Nyinyi watu wa ajabu sana mchango wa Ndesamburo kwenye jamii ni mkubwa kuliko hayo manguo ya kijani mnayosambaza wakati wa uchaguzi.
RIP NdesaPesa.
Jenga hoja,kwanini Lema alitoa povu kunyimwa mic?
 
Kwanini alilia kupewa mic?

Ndiyo Gambo alivyowasimulia au ulimuona??Tatizo lenu kila upumbavu mnadhani ni hoja.Haya nendeni Mkamashauri rais wenue wakati anapiga kelele za wezi kumbe Naibu Waziri wake ndiyo wale wale au kwa vile ni wa kunyumba?
 
Back
Top Bottom