Uchaguzi 2020 Gwajima: Mtia nia CCM anayewaumiza vichwa Chadema

Kawe, Dar es Salaam

Toka Gwajima atangaze nia yake ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Kawe kumeibuka wimbi kubwa la vijana wa Chadema na upinzani kwa ujumla kupinga na kumbagaza mitandaoni.

Gwajima anatajwa kama moja ya watu wenye ushawishi mkubwa nchini na moja ya watu walioshiriki kupinga vita ufisadi na Udhalimu mkubwa katika serikali ya awamu ya nne hata watu wengi kudhani ya kuwa ni mpinzani kutokana na aina ya misimamo yake kwenye kusema kweli na kutumia haki yake ya kikatiba ya uhuru wa kuzungumza.

Kwa muda wa miaka kumi (10) jimbo la Kawe limekuwa chini ya upinzani likiongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake. Kushindwa Kwa CCM Kwa muda wote wa miaka 10 kumetokana na kukosekana kwa wagombea wanaokubalika na wananchi na wagombea wenye mvuto kwenye siasa.

GWAJIMA KUBADILI MWELEKEO WA SIASA
Toka Gwajima ametangaza kutia nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo la Kawe siasa za Kawe zimebadilika na kurudi tena kwenye hali ya ushindani na sasa vyama vya upinzani ikiwemo Chadema wanahaingaika namna ya kuweza kushinda.

Gwajima moja kati ya wachungaji walijizolea umaarufu nchini ni kada wa Chama cha Mapinduzi toka mwaka 1994.

Siasa za Kawe toka enzi ya mzee Dewji na Ritha Mlaki wote wakiwa ni wanachama wa CCM hakujawahi kutokea tena mwanachama ambaye amekuwa na nguvu kubwa kwenye jamii kama ambavyo leo hii iko kwa Gwajima ambaye anatajwa kuwa tishio na kuweza kurudisha jimbo la Kawe tena kwenye himaya ya CCM.

KWANINI GWAJIMA ANAFAA KAWE NA CCM?
Ziko sababu nyingi za umuhimu wa Gwajima kwenye jimbo la Kawe na serikali kwa ujumla;
1. Gwajima ni muumini wa siasa za ukweli hivyo atamsaidia sana Rais Magufuli katika kujenga taifa lenye misingi imara ya haki na ukuaji kuelekea malengo ya Taifa ya 2025.

2. Gwajima ni mtu anayejua kusukuma mambo kutokea Kwa haraka na sio mtu wa kukata tamaa. Hii itafanya Serikali kuweza kuharakisha miradi mingi ya Maendeleo kwenye Kata na jimbo zima la Kawe.

3. Gwajima ni mtu ambaye atakisaidia Chama cha Mapinduzi kutokutumia gharama kubwa ya Uchaguzi kutokana na haiba yake kwa kuwepo watu ambao wataenda Kwenye kampeni kumsikiliza ili tu kumuona Kwani wengi wanatamani kumuona Kwa ukaribu zaidi.

4. Gwajima ni kiongozi ambaye siku zote amekuwa akitaka kuona Tanzania inanufaika na rasilimali zake hivyo atakuwa Msaada mkubwa katika serikali ya awamu ya Tano ambayo toka kuanza kwake imekuwa ikipambana kuhakikisha rasilimali za Taifa zinakuwa na tija kwa UHAI wa Taifa.

5. Gwajima anaungwa mkono na makundi mengi ndani ya vyama vya siasa na nje hivyo hii kuwa mtaji mkubwa wa ushindi wake na Chama cha Mapinduzi.

Haya ndio mambo yanayofanya Chadema na vyama vingine vya upinzani kupambana na kuumiza vichwa juu ya Gwajima.

Gwajima ni mtu sahihi wa kuumaliza upinzani na siasa zisizo na matokeo ndani ya jimbo la Kawe.

Ndimi,

Mzee Shaban Malingumu
Kawe Ukwamani.
Sadaka za Waumini mnazitumia vibaya, hata malipo haya amechota hapo.
 
Kama anakuja kufungua kanisa sawa, huo unaotoa wewe ni mtazamo wa kidini,na Kwa mtazamo huo hata CCM yenyewe haiwezi kumpitisha kwani mwanasiasa yoyote mtaji wake ni watu, kama yuko radhi kujenga uadui na nusu ya wapiga kura basi ameshashindwa tayari kwani hata hao Wakristo siyo wote watampigia.
Gwajima kugombea kwake ni kisiasa zaidi, biblia ni kanisani, kuwaambia waisalam waokoke ndio ubaguzi?
 
Kawe, Dar es Salaam

Toka Gwajima atangaze nia yake ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Kawe kumeibuka wimbi kubwa la vijana wa Chadema na upinzani kwa ujumla kupinga na kumbagaza mitandaoni.

Gwajima anatajwa kama moja ya watu wenye ushawishi mkubwa nchini na moja ya watu walioshiriki kupinga vita ufisadi na Udhalimu mkubwa katika serikali ya awamu ya nne hata watu wengi kudhani ya kuwa ni mpinzani kutokana na aina ya misimamo yake kwenye kusema kweli na kutumia haki yake ya kikatiba ya uhuru wa kuzungumza.

Kwa muda wa miaka kumi (10) jimbo la Kawe limekuwa chini ya upinzani likiongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake. Kushindwa Kwa CCM Kwa muda wote wa miaka 10 kumetokana na kukosekana kwa wagombea wanaokubalika na wananchi na wagombea wenye mvuto kwenye siasa.

GWAJIMA KUBADILI MWELEKEO WA SIASA
Toka Gwajima ametangaza kutia nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo la Kawe siasa za Kawe zimebadilika na kurudi tena kwenye hali ya ushindani na sasa vyama vya upinzani ikiwemo Chadema wanahaingaika namna ya kuweza kushinda.

Gwajima moja kati ya wachungaji walijizolea umaarufu nchini ni kada wa Chama cha Mapinduzi toka mwaka 1994.

Siasa za Kawe toka enzi ya mzee Dewji na Ritha Mlaki wote wakiwa ni wanachama wa CCM hakujawahi kutokea tena mwanachama ambaye amekuwa na nguvu kubwa kwenye jamii kama ambavyo leo hii iko kwa Gwajima ambaye anatajwa kuwa tishio na kuweza kurudisha jimbo la Kawe tena kwenye himaya ya CCM.

KWANINI GWAJIMA ANAFAA KAWE NA CCM?
Ziko sababu nyingi za umuhimu wa Gwajima kwenye jimbo la Kawe na serikali kwa ujumla;
1. Gwajima ni muumini wa siasa za ukweli hivyo atamsaidia sana Rais Magufuli katika kujenga taifa lenye misingi imara ya haki na ukuaji kuelekea malengo ya Taifa ya 2025.

2. Gwajima ni mtu anayejua kusukuma mambo kutokea Kwa haraka na sio mtu wa kukata tamaa. Hii itafanya Serikali kuweza kuharakisha miradi mingi ya Maendeleo kwenye Kata na jimbo zima la Kawe.

3. Gwajima ni mtu ambaye atakisaidia Chama cha Mapinduzi kutokutumia gharama kubwa ya Uchaguzi kutokana na haiba yake kwa kuwepo watu ambao wataenda Kwenye kampeni kumsikiliza ili tu kumuona Kwani wengi wanatamani kumuona Kwa ukaribu zaidi.

4. Gwajima ni kiongozi ambaye siku zote amekuwa akitaka kuona Tanzania inanufaika na rasilimali zake hivyo atakuwa Msaada mkubwa katika serikali ya awamu ya Tano ambayo toka kuanza kwake imekuwa ikipambana kuhakikisha rasilimali za Taifa zinakuwa na tija kwa UHAI wa Taifa.

5. Gwajima anaungwa mkono na makundi mengi ndani ya vyama vya siasa na nje hivyo hii kuwa mtaji mkubwa wa ushindi wake na Chama cha Mapinduzi.

Haya ndio mambo yanayofanya Chadema na vyama vingine vya upinzani kupambana na kuumiza vichwa juu ya Gwajima.

Gwajima ni mtu sahihi wa kuumaliza upinzani na siasa zisizo na matokeo ndani ya jimbo la Kawe.

Ndimi,

Mzee Shaban Malingumu
Kawe Ukwamani.
Ni kama unapiga kampeni vile! Mtu akikusoma katikati ya mistari anaona uko karibu sana na Gwajima au labda yeye mwenyewe kakuandikia. Umetoa taarifa za ndani mno hadi kujua alikuwa mwanachama kuanzia lini.

Kauli za Gwajima hadi juzi juzi tu alikuwa haipendi kabisa CCM. Hatujui nini kimemtokea kubadili gear angani. Mahusiano yake na chama umeyapamba kupita kiasi na kupita ukweli ulio wazi mno.
 
Asee kwa mambo yafuatayo,Gwajima atawezana kweli?
1. Tuhuma za uzinzi na kuvunja ndoa za watu
2.Kuhamasisha ukabila.Kumbuka ni kweli wasukuma ni wengi sana nchi hii,hili jambo likifanikiwa,nchi hii itavunjika vipande vipande.
3. Kwa kauli yake mwenyewe,nafasi ya ubunge ni ndogo sana kwake,je kwa nini ameitamani?
 
Kawe, Dar es Salaam

Toka Gwajima atangaze nia yake ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Kawe kumeibuka wimbi kubwa la vijana wa Chadema na upinzani kwa ujumla kupinga na kumbagaza mitandaoni.

Gwajima anatajwa kama moja ya watu wenye ushawishi mkubwa nchini na moja ya watu walioshiriki kupinga vita ufisadi na Udhalimu mkubwa katika serikali ya awamu ya nne hata watu wengi kudhani ya kuwa ni mpinzani kutokana na aina ya misimamo yake kwenye kusema kweli na kutumia haki yake ya kikatiba ya uhuru wa kuzungumza.

Kwa muda wa miaka kumi (10) jimbo la Kawe limekuwa chini ya upinzani likiongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake. Kushindwa Kwa CCM Kwa muda wote wa miaka 10 kumetokana na kukosekana kwa wagombea wanaokubalika na wananchi na wagombea wenye mvuto kwenye siasa.

GWAJIMA KUBADILI MWELEKEO WA SIASA
Toka Gwajima ametangaza kutia nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo la Kawe siasa za Kawe zimebadilika na kurudi tena kwenye hali ya ushindani na sasa vyama vya upinzani ikiwemo Chadema wanahaingaika namna ya kuweza kushinda.

Gwajima moja kati ya wachungaji walijizolea umaarufu nchini ni kada wa Chama cha Mapinduzi toka mwaka 1994.

Siasa za Kawe toka enzi ya mzee Dewji na Ritha Mlaki wote wakiwa ni wanachama wa CCM hakujawahi kutokea tena mwanachama ambaye amekuwa na nguvu kubwa kwenye jamii kama ambavyo leo hii iko kwa Gwajima ambaye anatajwa kuwa tishio na kuweza kurudisha jimbo la Kawe tena kwenye himaya ya CCM.

KWANINI GWAJIMA ANAFAA KAWE NA CCM?
Ziko sababu nyingi za umuhimu wa Gwajima kwenye jimbo la Kawe na serikali kwa ujumla;
1. Gwajima ni muumini wa siasa za ukweli hivyo atamsaidia sana Rais Magufuli katika kujenga taifa lenye misingi imara ya haki na ukuaji kuelekea malengo ya Taifa ya 2025.

2. Gwajima ni mtu anayejua kusukuma mambo kutokea Kwa haraka na sio mtu wa kukata tamaa. Hii itafanya Serikali kuweza kuharakisha miradi mingi ya Maendeleo kwenye Kata na jimbo zima la Kawe.

3. Gwajima ni mtu ambaye atakisaidia Chama cha Mapinduzi kutokutumia gharama kubwa ya Uchaguzi kutokana na haiba yake kwa kuwepo watu ambao wataenda Kwenye kampeni kumsikiliza ili tu kumuona Kwani wengi wanatamani kumuona Kwa ukaribu zaidi.

4. Gwajima ni kiongozi ambaye siku zote amekuwa akitaka kuona Tanzania inanufaika na rasilimali zake hivyo atakuwa Msaada mkubwa katika serikali ya awamu ya Tano ambayo toka kuanza kwake imekuwa ikipambana kuhakikisha rasilimali za Taifa zinakuwa na tija kwa UHAI wa Taifa.

5. Gwajima anaungwa mkono na makundi mengi ndani ya vyama vya siasa na nje hivyo hii kuwa mtaji mkubwa wa ushindi wake na Chama cha Mapinduzi.

Haya ndio mambo yanayofanya Chadema na vyama vingine vya upinzani kupambana na kuumiza vichwa juu ya Gwajima.

Gwajima ni mtu sahihi wa kuumaliza upinzani na siasa zisizo na matokeo ndani ya jimbo la Kawe.

Ndimi,

Mzee Shaban Malingumu
Kawe Ukwamani.
Umesahau kwenye wasifu kusema ni Tapeli
 
Kawe, Dar es Salaam

Toka Gwajima atangaze nia yake ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Kawe kumeibuka wimbi kubwa la vijana wa Chadema na upinzani kwa ujumla kupinga na kumbagaza mitandaoni.

Gwajima anatajwa kama moja ya watu wenye ushawishi mkubwa nchini na moja ya watu walioshiriki kupinga vita ufisadi na Udhalimu mkubwa katika serikali ya awamu ya nne hata watu wengi kudhani ya kuwa ni mpinzani kutokana na aina ya misimamo yake kwenye kusema kweli na kutumia haki yake ya kikatiba ya uhuru wa kuzungumza.

Kwa muda wa miaka kumi (10) jimbo la Kawe limekuwa chini ya upinzani likiongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake. Kushindwa Kwa CCM Kwa muda wote wa miaka 10 kumetokana na kukosekana kwa wagombea wanaokubalika na wananchi na wagombea wenye mvuto kwenye siasa.

GWAJIMA KUBADILI MWELEKEO WA SIASA
Toka Gwajima ametangaza kutia nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo la Kawe siasa za Kawe zimebadilika na kurudi tena kwenye hali ya ushindani na sasa vyama vya upinzani ikiwemo Chadema wanahaingaika namna ya kuweza kushinda.

Gwajima moja kati ya wachungaji walijizolea umaarufu nchini ni kada wa Chama cha Mapinduzi toka mwaka 1994.

Siasa za Kawe toka enzi ya mzee Dewji na Ritha Mlaki wote wakiwa ni wanachama wa CCM hakujawahi kutokea tena mwanachama ambaye amekuwa na nguvu kubwa kwenye jamii kama ambavyo leo hii iko kwa Gwajima ambaye anatajwa kuwa tishio na kuweza kurudisha jimbo la Kawe tena kwenye himaya ya CCM.

KWANINI GWAJIMA ANAFAA KAWE NA CCM?
Ziko sababu nyingi za umuhimu wa Gwajima kwenye jimbo la Kawe na serikali kwa ujumla;
1. Gwajima ni muumini wa siasa za ukweli hivyo atamsaidia sana Rais Magufuli katika kujenga taifa lenye misingi imara ya haki na ukuaji kuelekea malengo ya Taifa ya 2025.

2. Gwajima ni mtu anayejua kusukuma mambo kutokea Kwa haraka na sio mtu wa kukata tamaa. Hii itafanya Serikali kuweza kuharakisha miradi mingi ya Maendeleo kwenye Kata na jimbo zima la Kawe.

3. Gwajima ni mtu ambaye atakisaidia Chama cha Mapinduzi kutokutumia gharama kubwa ya Uchaguzi kutokana na haiba yake kwa kuwepo watu ambao wataenda Kwenye kampeni kumsikiliza ili tu kumuona Kwani wengi wanatamani kumuona Kwa ukaribu zaidi.

4. Gwajima ni kiongozi ambaye siku zote amekuwa akitaka kuona Tanzania inanufaika na rasilimali zake hivyo atakuwa Msaada mkubwa katika serikali ya awamu ya Tano ambayo toka kuanza kwake imekuwa ikipambana kuhakikisha rasilimali za Taifa zinakuwa na tija kwa UHAI wa Taifa.

5. Gwajima anaungwa mkono na makundi mengi ndani ya vyama vya siasa na nje hivyo hii kuwa mtaji mkubwa wa ushindi wake na Chama cha Mapinduzi.

Haya ndio mambo yanayofanya Chadema na vyama vingine vya upinzani kupambana na kuumiza vichwa juu ya Gwajima.

Gwajima ni mtu sahihi wa kuumaliza upinzani na siasa zisizo na matokeo ndani ya jimbo la Kawe.

Ndimi,

Mzee Shaban Malingumu
Kawe Ukwamani.
lingekuwa jimbo jingine kwa kweli Gwajima angeweza kushinda.

Kawe ni habari nyingine. kaja Bashite kamwaga mpunga kila kona kama wote. watu wakapokea, wakashukuru, wakamdeku kiaina halafu wakaulizana "what's the catch?. Kawe siyo watu wa kispotispoti.

wapiga kura wa Kawe wanajulikana kuwa ni watu wanaojitambua.... nakwambia Gwajima hawezi kupata hata 20% ya kura.
 
Kawe, Dar es Salaam

Toka Gwajima atangaze nia yake ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Kawe kumeibuka wimbi kubwa la vijana wa Chadema na upinzani kwa ujumla kupinga na kumbagaza mitandaoni.

Gwajima anatajwa kama moja ya watu wenye ushawishi mkubwa nchini na moja ya watu walioshiriki kupinga vita ufisadi na Udhalimu mkubwa katika serikali ya awamu ya nne hata watu wengi kudhani ya kuwa ni mpinzani kutokana na aina ya misimamo yake kwenye kusema kweli na kutumia haki yake ya kikatiba ya uhuru wa kuzungumza.

Kwa muda wa miaka kumi (10) jimbo la Kawe limekuwa chini ya upinzani likiongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake. Kushindwa Kwa CCM Kwa muda wote wa miaka 10 kumetokana na kukosekana kwa wagombea wanaokubalika na wananchi na wagombea wenye mvuto kwenye siasa.

GWAJIMA KUBADILI MWELEKEO WA SIASA
Toka Gwajima ametangaza kutia nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo la Kawe siasa za Kawe zimebadilika na kurudi tena kwenye hali ya ushindani na sasa vyama vya upinzani ikiwemo Chadema wanahaingaika namna ya kuweza kushinda.

Gwajima moja kati ya wachungaji walijizolea umaarufu nchini ni kada wa Chama cha Mapinduzi toka mwaka 1994.

Siasa za Kawe toka enzi ya mzee Dewji na Ritha Mlaki wote wakiwa ni wanachama wa CCM hakujawahi kutokea tena mwanachama ambaye amekuwa na nguvu kubwa kwenye jamii kama ambavyo leo hii iko kwa Gwajima ambaye anatajwa kuwa tishio na kuweza kurudisha jimbo la Kawe tena kwenye himaya ya CCM.

KWANINI GWAJIMA ANAFAA KAWE NA CCM?
Ziko sababu nyingi za umuhimu wa Gwajima kwenye jimbo la Kawe na serikali kwa ujumla;
1. Gwajima ni muumini wa siasa za ukweli hivyo atamsaidia sana Rais Magufuli katika kujenga taifa lenye misingi imara ya haki na ukuaji kuelekea malengo ya Taifa ya 2025.

2. Gwajima ni mtu anayejua kusukuma mambo kutokea Kwa haraka na sio mtu wa kukata tamaa. Hii itafanya Serikali kuweza kuharakisha miradi mingi ya Maendeleo kwenye Kata na jimbo zima la Kawe.

3. Gwajima ni mtu ambaye atakisaidia Chama cha Mapinduzi kutokutumia gharama kubwa ya Uchaguzi kutokana na haiba yake kwa kuwepo watu ambao wataenda Kwenye kampeni kumsikiliza ili tu kumuona Kwani wengi wanatamani kumuona Kwa ukaribu zaidi.

4. Gwajima ni kiongozi ambaye siku zote amekuwa akitaka kuona Tanzania inanufaika na rasilimali zake hivyo atakuwa Msaada mkubwa katika serikali ya awamu ya Tano ambayo toka kuanza kwake imekuwa ikipambana kuhakikisha rasilimali za Taifa zinakuwa na tija kwa UHAI wa Taifa.

5. Gwajima anaungwa mkono na makundi mengi ndani ya vyama vya siasa na nje hivyo hii kuwa mtaji mkubwa wa ushindi wake na Chama cha Mapinduzi.

Haya ndio mambo yanayofanya Chadema na vyama vingine vya upinzani kupambana na kuumiza vichwa juu ya Gwajima.

Gwajima ni mtu sahihi wa kuumaliza upinzani na siasa zisizo na matokeo ndani ya jimbo la Kawe.

Ndimi,

Mzee Shaban Malingumu
Kawe Ukwamani.
 

Attachments

  • VID-20200706-WA0001.mp4
    1.6 MB
Mimi ni mwana-CCM lakini sitaki Gwajima awe mgombea wetu hata kwa dawa.

Kwanza ana chuki za wazi dhidi ya makundi mengine ya watu, mfano; hawapendi waislam hata kuwaona (Mdini) na alishaanza kutoa vipeperushi tena kwa lugha ya kisukuma (Mkabila)

Lakini pia huyu bwana atakuwa anakinajisi chama kwani tayari ameshachafuka na ushahidi wa wazi upo.

Kwahiyo kwa maslahi mapana ya nchi na chama huyu bwana ni bora zaidi akiwekwa pembeni maana yeye mwenyewe kashindwa kujitambua na kujiweka pembeni kwa hiyari yake.
Hata nyie waislamu hamtupendi mnatuita makafiri.
Ngoja naye ashinde mpate kulionja joto la jiwe.
Tuone makafiri halisi ni wakina nani.
Gwajima naashinde tuwatese na nyie .

Mtakula nguruwe kwa lazima
 
Hivi umesahau kuwa Gwajima amewachimbia waislam maji misikitini au unajitoa ufahamu?
Waislamu ni wanafiki hawanaga shukurani wanapenda visa,ugomvi,na niwachokozi , angali nchi zao ambao wako wenyewe hawana maendeleo ni vita tu masaa yote na kuchokoza nchi zingine.
Kwa hiyo ni bora kuwasema vibaya kmna kuwapa mipasho.
 
Huyu aliwahi kusema kwamba hawezi kujishusha hadhi kwa vyeo vya udiwani, ubunge, na hata uraisi kwa sababu ni vyeo vidogo sana kwake . Kwa nini sasa anataka ubunge ???. Huyu ni moja kati ya matapeli wa kisasa katika nchi hii.
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom