Gwajima huyu huku, Duh!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Mchungaji Gwajima aka Mzee wa Malimao akifurahia jambo ndani ya Ukumbi wa Diamond!

1510.jpg


061.jpg
 
Hahahaha Lowasa na UKAWA watakufa na presha! Nampongeza Ngwajima kutambua kuwa wakati wa campaign umekwisha sasa ni kazi tuu! Ni vyema UKAWA wakajifunza kwa Ngwajima!

NB kila aliye kwenda pale alipewa mualiko hivyo Ngwajima alipewa mualiko..serikali ya JPM haina tatizo na mtu!
 
Hahahaha Lowasa na UKAWA watakufa na presha! Nampongeza Ngwajima kutambua kuwa wakati wa campaign umekwisha sasa ni kazi tuu! Ni vyema UKAWA wakajifunza kwa Ngwajima!

NB kila aliye kwenda pale alipewa mualiko hivyo Ngwajima alipewa mualiko..serikali ya JPM haina tatizo na mtu!
Nilidhani mwaliko ulitolewa wa jumla kwa wazee?!
 
Watu kama hawa wenye kutumia joho la uhubiri kuvuruga watu ni wakucharaza bakora tu. Matatizo aliyoyasababisha mwaka jana kwa kweli yanatosha kutokumjali tena.

Wewe ni mpinzani pekee nitakae kuheshimu mpaka mwisho umu Jf uliisimamia kweli na uliongea na unaendelea kuongea unachokiamini siku zote japo ndugu zako wamekuchukia kwa kugoma kwako kuwa nyumbu na kibaraka wa lowassa na mafisadi waliobadili jezi na kutuimbisha wimbo wa mabadiliko.
 
Hivi ni yeye kweli..? siamini macho yangu. Gwajima mutoto ya mujini..

Nimependa Sana Picha Uliyoiweka Katika AVATAR Yako Mkuu Kwani Hata Mimi Namfanyia Mtu Hapa Hapa Hivyo Hivyo Na Kitu Kimeshamea Kunako Tayari.
 
Back
Top Bottom