Uchaguzi 2020 Gwajima, dharau hizi hutafika popote

GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Acha uchochezi we jamaa kwasababu gwajima yeye ndo alisema kusiundwe magroup ya ukabila kwa kushirikiana na police.
Kuhusu mahakama ya kadhi, alikuwa sahihi kwaajili ya kuavoid udini kwasababu hi nchi haiongozwi kwa misingi ya kidini na itambulike gwajima hakuwa kiongozi wa serikali na sio yeye aliamuaisiwepo kwenye mamlaka waliangalia madhara yatakayotokea ndo maana ikazuiliwa
Kuhusu bibi kidude,katika uzinduzi alialifafanua kuwa kumuita bi kidude haikuwa tusi kwasababu bibi kidude ni mwanamziki mkongwe aliyeheshimika
Gwajima ni kiongozi pekee anayesimama kuwatetea wengine.
 
Nadhani unaposema Gwajima ni moja ya watu bora nchi hii na wewe unaghafilika.
Atakuaje bora na wakati huo huo Ni mkabila, mdini na mwenye dharau?

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Wewe ndo unadharua na hauna Adabu na unakuta unamuongelea Gwajima lakin hata haujawahi kukutana naye live sisi ndo tunayemfahamu hana hvyo vitu unavyosema coz Gwajima ameishi maisha magumu kabla hajafanikiwa n mjinga tu asiyemulewa Gwajima n kiongozi bora mwenye upendo na kila mtu Gwajima hana ubaguzi kabsa kama unavyomzania wewe hzo chuki zako binafsi hazitasaidia kitu
 
Wewe ndo unadharua na hauna Adabu na unakuta unamuongelea Gwajima lakin hata haujawahi kukutana naye live sisi ndo tunayemfahamu hana hvyo vitu unavyosema coz Gwajima ameishi maisha magumu kabla hajafanikiwa n mjinga tu asiyemulewa Gwajima n kiongozi bora mwenye upendo na kila mtu Gwajima hana ubaguzi kabsa kama unavyomzania wewe hzo chuki zako binafsi hazitasaidia kitu
Wewe ni mpumbavu na hukunielewa. Mimi nilikuwa namjibu huyo aliyesema Gwajima ni bora lakini Ni mkabila, mdini na ana dharau.
Nimemwambia kama anayo hayo mapungufu basi yanaondoa sifa ya ubora.
Tena wewe unaweza kuwa msukule wake ndo maana hata jina unalotumia linathibitisha hivyo

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
20200917_162543.jpg
 
Gwaji hafai kwa lolote , anafanya jina la Mungu litukanwe! Tupa kule Gwaji boy!!!!!

watu wa Kawe hatutompa kura, labda angeenda kwao Kolomije ambako hawajitambui, sio hapa town.


JESUS IS LORD!
We ndo hufai kwa lolote kile kura anapata na anashinda kwa kishindo chuki zenu mnaleta JF kwel nyie n wajinga wa mwisho
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kila unachoongea lazima uwe na uhakika na kumbuka mambo anayoyafanya gwajima sio ya kitoto anafanya mambo ambayo wananchi wanapenda

ukiachana na halima mdee mambo aliyoyafanya na hata sasa watu hawamtaki wanakawe wengi sana wamemchoka kwa mambo yake

gwajima ni mtu muungwana ambaye anafanya mambo kwa kujielewa saaana na watu wanamkubali
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kuna hoja zingine inalazimika kuzijibu kwa faida ya watu wachache ambao wanaweza kuchotwa na upuuzi wa namna hii ambao unalenga kumfanya Askofu Gwajima ambaye kimsingi ni mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Kawe aonekane ni mtu hatarishi.
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Gwajima ni kiongozi wa dini anayejishughulisha na maisha ya watu kuamua kuchukua vijana wa mtaani wenye vipaji na kuwasupport kwa kuwapeleka kwenye mafunzo waimbaji,wacheza mpira n.k hi nikuonyesha anasupport Sana na kuheshimu vipaji vya vijana mfano alipomwita bwakila na stanbakora kanisani bila kujalisha dini zao nikuonyesha kuwa anathamini wanachokifanya
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Gwajima ni kiongozi asiye na dharau kwa mdogo wala mkubwa na kumuita bi kidude alifafanua kuwa nikumpa heshima kwasababu bi kidude ni mwanamziki mkongwe aliyependwa na kuheshimika na wengine ilawalioleta tafsiri tofauti ni mashabiki kama wewe kwenye kupaniki
Gwajima ni kiongozi wa Dini anayejishungulisha na maisha ya watu hasa vijana kwenye vipaji na kuwasapport bila kujali Dini zao mfano aliwaita vijana wasiosoma nakuwasikiliza nn wanataka kufanya na vipaji vyao na kuviendeleza hata kuwataftia vitendea kazi mfano wacheza Moira na bila kubagua Dini zao mfano mkubwa ni stani bakora na bwakila walialikwa kanisani kwako bila kujali Dini zao hi nikuonyesha anasapport sana na hana ubaguzi wa Dini wala kabila.
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Hi issue ya udini inayochochewa na watu ni ili kugawanya watu ambao kwa nchi ya kidemocrasia kama yetu visiwe vinachochewa. Askofu GWAJMA Alice a anandoto , haiku na kifungu cha sheria Au kifungu cha Katibu kinacho mzuia mtu kuota ndOTO. Kama ndio to Yake ni kugeuza Miskiti mbona his sio issue , miskiti ni Nyumba ya sala kama kanisa. kama imamu angekuwa na Mdogo pia yakugeuza makanisa ni sawa pia , mungu ni mmoja.
TUSIGAWANYE WATU, Tanzania ni yetu sote
 
Gwajima ndio kiongozi naye muona anaeweza kuongoza Jimbo la Kawe ,
Huyo halima tumempa miaka kumi hamna alichofanya ,Sasa tunamtupilia mbali ili ajifunze kuwa ukipewa nafasi itumie
 
Kuna mambo mengine ni makosa makubwa sana kumlinganisha Askofu Gwajima na Halima Mdee. Kimsingi issue ya Kawe na ubunge iliishaisha na Halima anajua hawezi toa kichwa kabisa hapo. Mtu pekee anayejua nguvu ya Gwajima ni Tundu Lissu na ndio maana propaganda zote zilizokuwa zimeandikwa na Absalom Kibanda kwenye uzinduzi wa kampeni ya Halima Mdee alikataa kuziongelea kabisa na akasema waziwazi kuwa hazina mashiko. Watu wa karibu sana na Tundu Lissu wanafahamu fika kuwa wabunge wengi wa CHADEMA wakiongozwa na MBOWE wamezira kuongozana na Tundu Lissu kwenye kampeni zake.
 
Gwajima ndio kiongozi naye muona anaeweza kuongoza Jimbo la Kawe ,
Huyo halima tumempa miaka kumi hamna alichofanya ,Sasa tunamtupilia mbali ili ajifunze kuwa ukipewa nafasi itumie
Naomba tu kuelimishwa kidogo kuhusu huyu Gwajima. Je ndiye huyu anayemtukana Pengo au mwingine? Kweli huyu anazo akili nzuri? Kama siye natanguliza samahani lakini kama ndiye, nitashangaa watu wa Kawe kumpa ubunge huyu fyatu.

 
Kuna mambo mengine ni makosa makubwa sana kumlinganisha Askofu Gwajima na Halima Mdee. Kimsingi issue ya Kawe na ubunge iliishaisha na Halima anajua hawezi toa kichwa kabisa hapo. Mtu pekee anayejua nguvu ya Gwajima ni Tundu Lissu na ndio maana propaganda zote zilizokuwa zimeandikwa na Absalom Kibanda kwenye uzinduzi wa kampeni ya Halima Mdee alikataa kuziongelea kabisa na akasema waziwazi kuwa hazina mashiko. Watu wa karibu sana na Tundu Lissu wanafahamu fika kuwa wabunge wengi wa CHADEMA wakiongozwa na MBOWE wamezira kuongozana na Tundu Lissu kwenye kampeni zake.
Tathmini zinaonyesha wazi wazi kwamba wamemzira. Huwezi kuwa unatembea nchi nZima na mwenyekiti wako hajulikani yupo wapi. TUNDU lISSU ALIKuwa mtu anayeheshimika lakini inaonekana chama kinamzamisha, yaan hawezi heshimika tena Amekuwa mtu wa uongo kutwa kucha.
Chama kinajua kabisa nguvu ya Gwajima , Halima anajua saana kwamba Gwajima hamuwezi na ndio maana Khatibu anapambana sana kumchafua Gwajima Mitandanoni, Halima Hana sera kabisa sikuhizi.
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?
Jibu hoja ,mcheza sinema za nanii Askofu alichemka kwa Bi Kidude
kwanzakabisa nkusahihishe Gajima si mbaguzi wala mdini kwa sababu angekua mdini asinge watengenezea waislamu visima kwa ajili ya ibada zao ila ww kwa sababu sii bmfuatiliaji au kwa sababu tuu huww ni mpinzani unajaribu ku potosha uuma Na kuhusu kubadilisha misi

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Gwajima sio mbaguzi wala sio mdini kwa sababu amechimba visima vya maji ya kufanyia ibada na hapo hata ajatangaza nia wala ajafikiria kuwa mbunge sasa ubaguzi wake uko wapi jaribu kufikiria
Na kuhusu misikiti Tanzania kila mtu ana uhuru wa kuongelea dini yake na kuinadi mbona waislamu wanawaita wakristo Makafiri na hawajawahi kuhoji na tena wanasema hadharani kwenye vipaza sauti hiyo ni kauli yake ya kanisani kwake sio kwenye jukwaa la siasa kwaiyo huna haki ya kumshtumu Gwajima
Kuhusu Bi kidude kwanza ilo si jina halisi la muhusika na hapa Gwajima hakulizungumzia jina la Bi kidude kama Bi kidude katoa kama mfano waa kuwaonesha wana Kawe kuwa huyu akilizzaake zimeshachoka yani hawezi tena kufanya chochote kwenye habari ya siasa maana alicho kifanya hakionekani ametoa ahadi ajatimiza sasa kwa nini asifananishwe na Bi kidude ambae mpaka mauti inamkuta alikua amechoka hawezi tena kuimba kufanya shughuli zake hivyo hana tofauti na Bi kidude
Gwajima hajakosea wala hana Dharau
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwahiyo usaidiwe nini?
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300

Hoja nyepesi mno na za kipropaganda.
GWAJIMA anakubalika na Wananchi wa KAWE hata mkipandikiza chuki zenu na uongo ukweli juu ya mapenzi ya wananchi wa KAWE utabaki palepale na Tarehe 28 October akipewa kura zote ndo mtajua hamjui na Huyo MDEE anaeonekana Jimboni wakati wa kuomba kura, Hajawahi kufanya chochote pale wakati wa Utumishi wake.
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
FREEMAN MBOWE NA HALIMA MDEE WANAVYOMHUJUMU TUNDU LISSU

Kwanza kabisa tukubaliane kwamba mtanange wa uchaguzi umepamba moto huku kila chama cha siasa kikijitahidi kunadi wagombea wake na kushawishi wananchi kuwachagua.

Kwa namna nyingine tumeona vituko vingi vya wagombea wakiwa kwenye harakati za kutafuta kura majimboni na kwenye kata zao. Wakati mgombea wa uraisi kupitia CCM akiendelea kuchanja mbuga kusaka kura za wananchi, mgombea wa CHADEMA naye anazisaka kwa nguvu zote kura hizohizo katika upande mwingine wa nchi.

Je, nani alipiga picha ya Tundu Lissu akiwa ameachama (amepiga miayo) ambayo kwa jinsi wengi tulivyozoea hiyo huwa ni ishara aidha ya njaa, usingizi au uchovu? Ikumbukwe wazi kuwa wapiga picha wanaoambatana na mgombea ni wa chama husika na huweza kunasa matukio yote ya mgombea popote anapokuwa. Nimejithibitishia pasina shaka kuwa picha hiyo imepigwa na kusambazwa na mpiga picha maalum wa mgombea urais Tundu Lissu.

Nitarudi nyuma kidogo kuweka mtiririko sawa kutokana kile kilichotokea kwenye uzinduzi wa kampeni za ubunge Jimbo la Kawe zilizofanyika tarehe 29.08.2020 Tanganyika Packers, Kawe Dar es Salaam.

Siku ya uzinduzi wa kampeni kulikuwa na makabrasha yaliyojaa uzushi mwingi kuhusu mgombea ubunge wa jimbo la Kawe kupitia CCM, Askofu Josephat Gwajima yenye lengo la kumchafua na kuharibu taswira yake kwenye jamii. Makabrasha hayo ambayo yaliandaliwa na Absalom Kibanda pamoja na mwenzake ambaye hana hadhi ya kuongelewa, wakiwa wamepewa kazi hiyo na Halima Mdee yaligonga mwamba jukwaani baada ya Tundu Lissu kukataa kabisa kuyasoma alipokaribishwa kuongea.

Mtu mmoja aliye karibu na Halima ambaye nalihifadhi jina lake kwa sasa alinitonya kuwa Halima alisikika akiongea na watu wake wa karibu kuwa amechukizwa na kitendo cha Lissu kutokumsaidia kumshambulia mshindani wake Askofu Gwajima anayegombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika jimbo la Kawe. Katika maongezi hayo Halima alimshutumu Lissu kuwa ana urafiki wa muda mrefu na Askofu Gwajima na sababu ya kutokumshambulia Askofu Gwajima ni kutokana na urafiki huo. Katika maongezi hayo Halima alihoji iweje mgombea Urais ashindwe kumwongelea mgombea mbunge wa chama chake na kumwombea kura sambasamba na kuwaonyesha wapigakura kuwa mpinzani wake hafai hata baada ya kuwa ameandaliwa mambo ya kumponda mgombea wa chama pinzani. Halima alijiapiza kulipiza kisasi kwa kutopigania kura za Lissu katika jimbo la kawe akisema kila mtu abebe msalaba wake.

Mkutano huo wa Kawe ulikuwa na watu wachache sana waliojitokeza kushangaa kile kinachoendelea baada ya picha ya uzinduzi wa jana yake uwanja wa Zakhiem Mbagala kusambaa ikiwa na watu wachache sana mpaka kupelekea TBC kufukuzwa uwanjani.

Kwa upande mwingine taarifa zilizothibitishwa zinasema kuwa kumekuwepo na mvutano na kuhujumiana kati ya baadhi ya viongozi wa CHADEMA na mgombea urais wa chama hicho Tundu Lissu. Mikutano mingi inayofanywa na Tundu Lissu imekuwa ya hali dhaifu yenye maandalizi duni mpaka kupelekea picha za uchaguzi wa 2015 ambao Lowasa aligombea kutumika kuhadaa umma kuwa mikusanyiko ni mikubwa kwenye mikutano yao.

Mvutano mkubwa uliopo kati ya Tundu Lissu na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe unatokana na majibu ya hovyo yanayotolewa na Mbowe pindi anapoombwa kutoa fedha kwa ajili ya kampeni ambazo ni makusanyo ya makato ya mishahara ya wabunge kwa kipindi cha miaka mitano. Hii ndio sababu kubwa ya miayo anayopiga Tundu Lissu huku mpiga picha wake akiwa tayari kusambaza picha hiyo ambayo inapeleka ujumbe unaosema UTAKULA JEURI YAKO.

Ni jambo lililo wazi kuwa kampeni za Tundu Lissu zinafanywa katika mazingira magumu sana ya kifedha na kupelekea kampeni hizo kukosa sura ya mgombea uraisi. Majukwaa anayotumia Tundu Lissu pamoja na PA system vyote ni hadhi ya chini sana kana kwamba anafanya kampeni za ubunge. Ukata wa fedha pia umedhihirishwa na tabia ya omba omba inayofanywa kwenye mikutano ya Tundu Lissu ambapo wananchi wanaohudhuria mikutano hiyo huombwa kuchangia fedha ili kusaidia gharama za kampeni kana kwamba chama kimeshituliwa na hakikuwa kimejiandaa kufanya kampeni za uchaguzi mkuu.

Ni jambo la fedheha kuwa Tundu Lissu katika hotuba zake akiwa kwenye majukwaa anasema wananchi ni masikini kwa sababu serikali ya Magufuli imeharibu uchumi lakini baada ya hapo anatembeza bakuli kuwaomba mchango wananchi hao anaowaita masikini.

Dr Alphonce Mwang'onda

alphoncejohn@gmail.com
 
Awe makini asiwafanye wapiga kura wa KAWE kama vile wale waumini wake wanaokubali chochote anachowaambia bila hata kitafakari.

Kawe ima watu makini wanaojitambua!!

Uzuri ni kwamba Kawe hamna Waikiki wa Gwajiboy! Waumini wake wanatoka nje ya Kawe!! Watu wa Kawe sio mafala Kama anavyofikiri
 
Back
Top Bottom