Gwajima leo nimemfatilia nimegundua hapa hakuna mtafiti ni utopolo na ujinga na sifa mdio vinamsumbua
Ibada nzima ilikua ni sifa kwa Rais samia tu, means ameshashtuka kuona ibada ilivyopita alimdhihaki sana lakini samia kapiga kimya
Mchungaji kaanza kupiga u-turn taratibu, ibada iliyopita aliuliza kwanini korona ije magufuli alipoondoka, sasahivi anakubali kua ipo na ameshaanza kuchukua tahadhari kwa kuweka mambomba ya maji kanisani kwake, anakili uwepo wa korona, hataki watu wachome chanjo ya JJ lakini hawambii watumie nn ili kuepuka korona isiwadhuru
Gwajima ameendelea kutuhumu kwamba chanjo ya JJ haifai kwa hali hiyo kumbe kuna chanjo zingine anazikubali tofauti na JJ
Tafiti za Gwajima hazijulikanagi anakozitoa mara ya kwanza kabisa aliwahi kusema corona inahusiana na 5G.
Sasahivi anasema waliochanja wapo sahihi ila yeye anawashauri kondoo wake wasichanje
Kondoo kazi wanayo.
Ibada nzima ilikua ni sifa kwa Rais samia tu, means ameshashtuka kuona ibada ilivyopita alimdhihaki sana lakini samia kapiga kimya
Mchungaji kaanza kupiga u-turn taratibu, ibada iliyopita aliuliza kwanini korona ije magufuli alipoondoka, sasahivi anakubali kua ipo na ameshaanza kuchukua tahadhari kwa kuweka mambomba ya maji kanisani kwake, anakili uwepo wa korona, hataki watu wachome chanjo ya JJ lakini hawambii watumie nn ili kuepuka korona isiwadhuru
Gwajima ameendelea kutuhumu kwamba chanjo ya JJ haifai kwa hali hiyo kumbe kuna chanjo zingine anazikubali tofauti na JJ
Tafiti za Gwajima hazijulikanagi anakozitoa mara ya kwanza kabisa aliwahi kusema corona inahusiana na 5G.
Sasahivi anasema waliochanja wapo sahihi ila yeye anawashauri kondoo wake wasichanje
Kondoo kazi wanayo.