Areus
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 324
- 403
Ana ugomvi wa kimaslahi na Chadema. Tukumbuke Chadema waliwahi kupendekeza Makanisa na misikitini watu wasiende ili kuendelea kuchukua tahadhari ya COVOD 19. kwahiyo Hali ile viongozi wengi wa dini hawakupenda kanisa, Kwasababu kufanya hivyo wait wanaweza wakakosa waumini na Makanisa au misikiti kufingwa.
Ni mtazamo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtazamo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app