The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,437
- 17,094
Vitu vingine unajiuliza unashangaa. Kama kanisa tu limemshinda kuboresha, watu wanasalia kwenye mapagale, yale tunaita fulu suti(full suit) juu hadi chini pamoja na sadaka na zaka zote anazokusanya kila jumapili, atatusaidia nini watu wa kawe?
Kanisa la Gwajima akupita pale ubungo unaambiwa ni kanisa unashangaa, kama kambi ya wakimbizi halafu mtu huyo anatuahidi maendeleo kawe.
Hebu tuwe serious kidogo basi.
Kanisa la Gwajima akupita pale ubungo unaambiwa ni kanisa unashangaa, kama kambi ya wakimbizi halafu mtu huyo anatuahidi maendeleo kawe.
Hebu tuwe serious kidogo basi.