Siku moja kabla Askofu Gwajoma hajahojiwa na kamati ya bunge niliibua uzi unaosema bunge halina mamlaka ya kumuhoji alichoongea kanisani.
Hivyo nikashauri Gwajima akatae kujibu swali lolote atakaloulizwa.
Nilisema wazi ninampinga Gwajima msimamo wake wa kutotaka watu wachanjwe kwani mimi mwenyewe nimeshachanjwa.
Japo ninampinga ninapinga bunge lilivyojidhani lina mamlaka ya kumwajibisha Gwajima.
Sasa nyepesi-nyepesi zimeanza kutoka na soon zitatoka zote.
Taarifa ni kwamba Gwajima alikataa kujibu swali lolote kuhusu alichohubiri kanisani.
Hiki ndicho sahihi na ndivyo nilivyoshauri. Ushauri wangu nilioutoa ni huu
Alichokataa bungeni ni hiki
Hivyo nikashauri Gwajima akatae kujibu swali lolote atakaloulizwa.
Nilisema wazi ninampinga Gwajima msimamo wake wa kutotaka watu wachanjwe kwani mimi mwenyewe nimeshachanjwa.
Japo ninampinga ninapinga bunge lilivyojidhani lina mamlaka ya kumwajibisha Gwajima.
Sasa nyepesi-nyepesi zimeanza kutoka na soon zitatoka zote.
Taarifa ni kwamba Gwajima alikataa kujibu swali lolote kuhusu alichohubiri kanisani.
Hiki ndicho sahihi na ndivyo nilivyoshauri. Ushauri wangu nilioutoa ni huu
Bunge halina mamlaka kumhoji Askofu Gwajima alichoongea na waumini wake
Askofu Gwajima, Kwanza sikubaliani na wewe katika suala la kukataa chanjo ya Corona kwa kadiri unavyowahubiria waumini wako. Binafsi nimeshachanjwa na ninahimiza watanzania wote wachanje tofauti na unavyohubiri katika kanisa lako. Hivyo, dawa pekee ya mimi kukupinga ni kwenda kuchanja na hivyo...
www.jamiiforums.com
Alichokataa bungeni ni hiki
Bishop Gwajima kuweka mahojiano yake wazi kesho. Anadai amewafumba midomo waovu
Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni. Ameendelea kuwaeleza kuwa ya...
www.jamiiforums.com
Gwajima: Siwezi kujitetea kwa mahubiri yanayotoka kwa Roho Mtakatifu
"Niliitwa na Kamati ya Maadili ya Bunge wiki iliyopita nilipotoka wengi mliniuliza kimejiri nini na nikasema sitosema hadi Kamati iseme kwanza na kwasababu Kamati imeshaongea acha nami nizungumze” “Sababu ya kuongea ni kwasababu wameniongelea kama Mtu mbaya sana, Jitu baya sana ambalo kama lipo...
www.jamiiforums.com
Askofu Gwajima: Kamati ya Bunge imenifanya nionekane kama Jitu baya na Korofi, sasa hili ndio lililojiri kikaoni
Askofu Gwajima yuko mubashara Rudisha Online tv anatoa ufsfanuzi na kujibu yale yaliyosemwa na kamati e maadili ya bunge. Updates; Niliitwa na kamati ya maadili ya bunge na kunihoji yale niliyohubiri Kanisani nami nikawaambia wao hawana mandate ya kuhoji kile kilichotokea Kanisani ambapo...
www.jamiiforums.com