Guys tunachohitaji toka kwenu ni kidogo sana....................

umenena mwali!!!!!!!
shostito km shuz basi umelitoa hahahahaaaaaaa!!!!!!!!!!!!wape wape mwanakwetu wapakie wajae manake wengine sjui ni childsh mind au uvivu wa kujitambua na kutambua wengine wanataka nini...........dah ooh m a man gud luking m lukiong for btful gal wu z good luking like me oh yahusu?
ur gud luking yeees bt upstair ni makorokocho matupu so intasaidia nin mimi ndani ya nyumba?
kwanza kwa DATA nilizonazo ni kwamba magud luking man hawana lolote kuanzia kwa fundiseremala mpk mambo mengine ya maisha...lakin awa wanaume wenye sura km .........dah ndo waukweli kinyama kuanzia kwa fundi mpk mambo mengine yan utafuraia then its guarantee thou its not 1000% thats he z yrs only ata km wakichoropoka rate yao haiwi ndeeeeeeeeeeeefu sana compare to ao magud luking ambao awajui kuzungumza na mwanamke ye anategemea uzuri wake ndo utazungumza bt akifungua kinywa mmh madudu matupu ni kejel majivuno na dharau!!!!!!!!!!
braaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaavo to ol ugly faces men!!!!!!!!!!!!ur real gud cz mna UTU!!!!!!!!!!!1

bt si mahandsome wote wabaya wengine wazuri kitabia ingawa wachache!!!!!!!!!
ukipinga hii bas we handasm boy wth makorokocho.........:lie:

nawasilisha mie nimalizie report yangu!!!!!
stay blesed eennnh!!!!!!!!!!:A S tongue:

Rose1980 mipasho yako kiboko.Na wahusika watakuwa wamepashika vilivyo!!! teh teh!
 
Rose1980 mipasho yako kiboko.Na wahusika watakuwa wamepashika vilivyo!!! teh teh!

Lakini Charity umeona ugumu wa hoja ya FL1 na uwezekano wa kutumiwa katika uwanja mpana wa wanajamii?

Sasa huyu (Rose 1980) anaongelea sura na uwezo wa mwanamume kuwa mume/rafiki mzuri. Sioni mantiki yoyote hapa. Ukinambia mwanamume mwenye sura mbaya kama yule Masudi au Dr Remmy ndiye mzuri sielewi kabisa. Kama ni hivyo basi watu wasingepata taabu kuchagua wachumba. Unaangalia sura then unakuwa na uhakika wa mume! Sielewi hii kitu na bado naendelea kuamini kuwa kupata au kukoksa ni majaliwa. Hakuna anayeweza kutueleza kuwa alitumia jitihada binafsi (a, b or z) kumpata mume au mke mzuri. Kama yupo aje basi atusaidie. Naona hata FL1 mwenyewe kakimbia. This is very controversial and non-generalizable.
 
Dadake:
Mahusiano ndani ya ndoa ni vigumu kujadiliwa nje ya mke na mume husika. utakalodhani linafaa kwa mume, ni kwa huyo wa kwako lakini likitumiwa na mwingine kwa mumewe, huwenda lisitoe manufaa kama kwako.



Cha msingi angalia kitu gani kimekusababisha uingie kwenye ndoa hiyo au mahusiano hayo kama ni UPENDO au la. Kuna watu wanaingia kwenye ndoa kwa sababu alimpa ujauzito, amechoka kuishi peke yake na anaona amechelewa kumpata anayempenda, mazingira labda rafiki zake wote wana ndoa/mahusiano, msukumo toka ndani ya familia n.k. Ndoa kama hizo ni vigumu kudumu. Msingi mkubwa wa ndoa ni upendo na penye UPENDO wa kweli ndoa inakuwa kama paradiso ndogo.
1korintho 13:1, 4-8.
1 Nijaposema kwa lugha za binadamu na za malaika, kama sina UPENDO , nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.
4 Upendo huvumilia, hufadhili, upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni; HAUKOSI KUWA NA ADABU; HAUTAFUTI MAMBO YAKE; HAUONI UCHUNGU; HAUHESABU MABAYA; HAUFURAHII UDHALIMU, BALI HUFURAHI PAMOJA NA KWELI; HUVUMILIA YOTE; HUSTAHIMILI YOTE. UPENDO HAUPUNGUI NENO WAKATI WOWOTE; BALI UKIWAPO UNABII UTABATILIKA; ZIKIWAPO LUGHA, ZITAKOMA; YAKIWAPO MAARIFA YATABATILIKA.
Na pia mafundisho ya Biblia yanaagiza wanaume kuwapenda WAKE zao, Waefeso 5:25 Enyi WAUME wapendeni WAKE zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake. Na wake kuwatii waume zao. Waefeso 5:22 Enyi WAKE, watiini WAUME zenu kama kumtii BWANA wetu.
Tukifuata haya naamini ndoa zetu zitapona.
 
Mie nimegundua duniani hakuna jema... unaweza ukafanya kila mwenzako alichokuambia ana-dream na bado akaja na hoja mpya... unaweza ukaishia kuambiwa hata "simpendi rafiki yako fulani", au mh, kwanini usiwe kama john wa ofisini, he is stronger blahblah

binadamu hawaridhiki wala kutabirika

CHA MAANA NI - DO YOUR BEST WITHOUT STRETCHING TOO MUCH AND DONT EXPECT TOO MUCH FROM YOUR PARTNER
There you are!~~
 
:peace:"Beauty is in the eye of the beer holder"

:peace:"Beauty is in the eye of the beer holder

:peace:"Beauty is in the eye of the beer holder"


:closed_2::amen:
 
Hommie jana ulikua unashangilia Ujerumani nn?
Lile vuvuzela hebu li-paint Orange. Nimeshachukua uraia wa Holland!! Tangu walipomtafuna Uruguay kinyume na maumbile nimelazimika kuukana uafrika na kuhamia Amsterdam!
 
Sisi wanawake tunavutiwa na mambo madogo sana ambayo hayahitaji kuwaumiza vichwa.. si pesa wala good looking zenu :A S 39:unaweza ukawa na yote lakini amani hakuna ndani ya nyumba
Kauli ya mwanaume ni silaha tosha ya kujenga au kubomoa ndoa yake..Mwanamke anavutia na jambo dogo liitwalo Nyama ya ulimi...
Unakuta mwanaume kadanganywa na wenzio ndoa au mahusiano yako ili yawe imara inabidi yapelekwe kijeshi..uwe mkali kama simba lah hasha hayo mahusiano hayatadumu
Kama unahisi umemkosea mwenza wako muombe samahani kwa lugha tamu
Kama yeye amekukosea na aombe samahani vilevile ....
Lugha zenu zikiwa moja ndoa /mahusiano yenu yatakuwa kama paradise ndogo
Kauli njema ni silaha
Lugha za kibabe /masimango na majivuno...yanbomoa

sawa kina baba/kaka/ dada/ mashemeji nawakilisha............................................:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
Thax FL1 ila mimi nadhani ungesema wewe...maana nyie nao mkipewa sana nyama za ulimi mnamuona mwanaume kama ***** fulani vile.
 
Lile vuvuzela hebu li-paint Orange. Nimeshachukua uraia wa Holland!! Tangu walipomtafuna Uruguay kinyume na maumbile nimelazimika kuukana uafrika na kuhamia Amsterdam!
ha ha ha mie mwenyewe baada ya wale jamaa kutafunwa nikaanza kutafuta origin yangu nikagundua kua baba wa babu alikua mdatch alikuja kupanda mlima... kule mgombani. then akadumisha mila lol...:smash:
ila kiispanyola nacho nakipenda!!
 
ha ha ha mie mwenyewe baada ya wale jamaa kutafunwa nikaanza kutafuta origin yangu nikagundua kua baba wa babu alikua mdatch alikuja kupanda mlima... kule mgombani. then akadumisha mila lol...:smash:
ila kiispanyola nacho nakipenda!!
Hahahahahaha! Hommie sina mbavu hapo..............Kagua kwa hapahapa!


The Following User Says Thank You to Kimey For This Useful Post:

Asprin (Today)

 
Lakini Charity umeona ugumu wa hoja ya FL1 na uwezekano wa kutumiwa katika uwanja mpana wa wanajamii?

Sasa huyu (Rose 1980) anaongelea sura na uwezo wa mwanamume kuwa mume/rafiki mzuri. Sioni mantiki yoyote hapa. Ukinambia mwanamume mwenye sura mbaya kama yule Masudi au Dr Remmy ndiye mzuri sielewi kabisa. Kama ni hivyo basi watu wasingepata taabu kuchagua wachumba. Unaangalia sura then unakuwa na uhakika wa mume! Sielewi hii kitu na bado naendelea kuamini kuwa kupata au kukoksa ni majaliwa. Hakuna anayeweza kutueleza kuwa alitumia jitihada binafsi (a, b or z) kumpata mume au mke mzuri. Kama yupo aje basi atusaidie. Naona hata FL1 mwenyewe kakimbia. This is very controversial and non-generalizable.
Ni kweli kabisa haya mambo hayana formular me nina dada yangu anambuluza shemeji yangu hadi mimi ndo naona iabu ila yeye anasema wanume sio watu ukipata wa kumbuluza vuta masikio mpaka yaning'nie et hamtabiriki ati!!!!
 
Ni kweli kabisa haya mambo hayana formular me nina dada yangu anambuluza shemeji yangu hadi mimi ndo naona iabu ila yeye anasema wanume sio watu ukipata wa kumbuluza vuta masikio mpaka yaning'nie et hamtabiriki ati!!!!
Dada yako si mtu mzuri. Halafu ana bahati ameolewa na zezeta.
 
kuna wenye sura nzuri na maneno mazuri pia

kuna wenye sura mbaya na maneno mabaya vile vile

mwanamme ana maneno mazuri lakini mvivu hajui majukumu yake itasaidia nini ndani?

mwengine anajitahidi kila kitu ila kuongea yeye hajui, ukimuuliza suala halielewi anakurarua vile vile ...............huyu jee tumuite mume mbaya au mwema?

hivi vitu huwezi kuvi generalize kihivyo..............maneno mazuri ni sehemu ya tabia njema, nafikiri mume kuwa na tabia njema ( na mke kuwa na tabia njema) can be an indicator of a gud marriage kuliko 'maneno mazuri'
 
kuna wenye sura nzuri na maneno mazuri pia

kuna wenye sura mbaya na maneno mabaya vile vile

mwanamme ana maneno mazuri lakini mvivu hajui majukumu yake itasaidia nini ndani?

mwengine anajitahidi kila kitu ila kuongea yeye hajui, ukimuuliza suala halielewi anakurarua vile vile ...............huyu jee tumuite mume mbaya au mwema?

hivi vitu huwezi kuvi generalize kihivyo..............maneno mazuri ni sehemu ya tabia njema, nafikiri mume kuwa na tabia njema ( na mke kuwa na tabia njema) can be an indicator of a gud marriage kuliko 'maneno mazuri'
Duh! yaani umeongea bonge la point mamii
 
Simpaka ujue kwamba unavutwa masikio we utaona ni mapenzi kumbe!!! sikosei hata wewe unavutwa ila huelewi
heheheeeee!!! hapa panahitaji maelezo........yani mama matesha anavuta mtu masikio??
 
:peace:"Beauty is in the eye of the beer holder"

:peace:"Beauty is in the eye of the beer holder

:peace:"Beauty is in the eye of the beer holder"


:closed_2::amen:
You can say that again,
Kakague!!
 
Lakini Charity umeona ugumu wa hoja ya FL1 na uwezekano wa kutumiwa katika uwanja mpana wa wanajamii?

Sasa huyu (Rose 1980) anaongelea sura na uwezo wa mwanamume kuwa mume/rafiki mzuri. Sioni mantiki yoyote hapa. Ukinambia mwanamume mwenye sura mbaya kama yule Masudi au Dr Remmy ndiye mzuri sielewi kabisa. Kama ni hivyo basi watu wasingepata taabu kuchagua wachumba. Unaangalia sura then unakuwa na uhakika wa mume! Sielewi hii kitu na bado naendelea kuamini kuwa kupata au kukoksa ni majaliwa. Hakuna anayeweza kutueleza kuwa alitumia jitihada binafsi (a, b or z) kumpata mume au mke mzuri. Kama yupo aje basi atusaidie. Naona hata FL1 mwenyewe kakimbia. This is very controversial and non-generalizable.
Unajua DC huyu Rose anasema khsu experience yake kuwa amegundua kuwa wanaume wenye sura mbaya wanakuwa na maneno/lugha nzuri kuliko wale wahandsome.mie kwa upande mwingine nimekubaliana nae kwa vile wale wazuri wanakuwa wanatafutwa sna na inawezakuwapa kiburi.
Ila mie naona mtu yoyte anapaswa kuwa na lugha nzuri awe mwanamke au mwanaume hapo mahusiano yatakuwa imara kwa vile hakuna asiyetaka kuheshimiwa na kuthaminiwa.
 
Back
Top Bottom