NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Jamani Mola kanijalia mtoto wa kiume anafanana na baba yake na babu yake sijui kama tabia zitafanana na baba yake na babu yake, pia nimempa jina la babu yake sijui atakuwa na tabia za babu yake kilaji na totos kwa sana
Asanteni wale wote mtakaonipa pongezi
Asanteni wale wote mtakaonipa pongezi