Guys, is this real?

Carnivora

JF-Expert Member
Jan 26, 2018
3,651
5,986
I don't wanna put more words. Just take a look at the picture and give your comments as far as Tanzanian context is concerned. Naonaga picture ukioa Haika wa Marangu...na ukioa Mwantumu wa Tanga jiandae kupata ladha tofauti jikoni.

Disclaimer: Sipondei wachaga wala wakaazi wa mkoa wa K'njaro wala sina upendeleo na Tanga. Ni mifano hai tu ili tuelewane.

Samahani atakayekwazika.
GBWA-20190812161110.jpeg
 
I don't wanna put more words. Just take a look at the picture and give your comments as far as Tanzanian context is concerned. Naonaga picture ukioa Haika wa Marangu...na ukioa Mwantumu wa Tanga jiandae kupata ladha tofauti jikoni.

Disclaimer: Sipondei wachaga wala wakaazi wa mkoa wa K'njaro wala sina upendeleo na Tanga. Ni mifano hai tu ili tuelewane.

Samahani atakayekwazika.View attachment 1179424
arab culture vs chaga culture
 
Mkuu unaruhusiwa kumfundisha mke wako namna nzuri ya kuandaa chakula unachokipenda...
Ishu inakuja labda kama ni mbishi hataki kujifunza..
Kashindwa kujifunza kwa mama yake miaka nenda rudi kipindi ambacho hakuwa na mambo mengi. Uje umfunze wakati huu anataka fb, whatsapp, jf, insta, twitter, kazi, watoto, mume (ambaye ndio wewe)?
 
Kashindwa kujifunza kwa mama yake miaka nenda rudi kipindi ambacho hakuwa na mambo mengi. Uje umfunze wakati huu anataka fb, whatsapp, jf, insta, twitter, kazi, watoto, mume (ambaye ndio wewe)?
Watu wanatofautiana malezi, wewe utaona hajui kupika yeye anajiona yuko vizuri kwa hiyo ni suala la kuelekezana mkuu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom