Guu la Matege maashaullah

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,606
696,720
1417511695626.jpg
 
mbona tunaona makanyagio tu.Pandisha huko juu tuone hayo matege bhana
 
muombe miss chagga ruhusa kwanza

huyu miss chagga ni wa aina yake kwa sababu kila mwanamke atakaye tokea tu lazima ni yeye makalio makubwa yeye, flat screen yumo matende hakosekani, matege mwake, vitambi yuko, nyigu ndo usiseme au kwake ndo everything is double double. Mshana naomba jibu kwa hii new brand.
 
Last edited by a moderator:
huyu miss chagga ni wa aina yake kwa sababu kila mwanamke atakaye tokea tu lazima ni yeye makalio makubwa yeye, flat screen yumo matende hakosekani, matege mwake, vitambi yuko, nyigu ndo usiseme au kwake ndo everything is double double. Mshana naomba jibu kwa hii new brand.

Hahahahaaa Wapoti miss chagga ni taasisi iliyosheheni vyote hivyo ndo maana utaona kila idara hakosekani miss chagga ni sawa na popo(sio bawa) si mnyama si ndege....!!!!
 
Last edited by a moderator:
huyu miss chagga ni wa aina yake kwa sababu kila mwanamke atakaye tokea tu lazima ni yeye makalio makubwa yeye, flat screen yumo matende hakosekani, matege mwake, vitambi yuko, nyigu ndo usiseme au kwake ndo everything is double double. Mshana naomba jibu kwa hii new brand.
Wapoti unabahati nimezaliwa leo la sivyo ungejuta
 
Last edited by a moderator:
Mkuu utakuwa una makengeza....toka lini mchaga akawa na mguu kama huo......hiyo miguu ipo upareni, SINGIDA ,MWANZA......Lakini kishumundu hakuna..............Cc miss chagga Matege
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom