Guru la Sheria (Halima Mdee) ameishinda Kamati Kuu ya CHADEMA

Siasa za tz ni zaajabu utakuta mtu anapiga kelele hapa alaf lowasa anatoka ccm anaenda chadema na anapewa cheo ambacho Leslie Mbena angestahili kupewa, kutokana na jitihada zake kwenye majukwaa kama haya, vivyo hivyo kwaupande wa pili..
 
Aahh haya ni maajabu

Kwaiyo Chakubanga umesoma Sheria sio

Kwamba CDM haina wanasheria ila wee ulosoma mabiashara na maujasiriamali ndo unaijua
 
Umechambua vizuri sana, hiki kikundi kinavyopotea na sawa na NCCR au CUF ilivyopotea. Ila wao hawawezi kuliona kwa sababu sikio la kufa na kwa sababu ni mashetani
Kama utakuwa japo na akili ndogo, yakuoasa ushangilie maana adui yako anazidi kupotea. Huna sababu ya kubwabwaja lolote zaidi ya kusherehekea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe sheria mnajua kuzichambua hivi linapokuja suala la CDM!!

Hizi nguvu mnazotumia kuwasafisha hawa wanawake ni dhahiri kuwa si bure, kuna jambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GURU LA SHERIA,HALIMA MDEE AMEISHINDA KAMATI KUU YA CHADEMA.

Leo 19:25hrs 28/11/2020

Guru la Sheria nchini Tanzania, Halima Mdee anaelekea Phase IV ya "the art of political war" kama inavyotafsiriwa kwenye stage 10 za Communist party of China,wakati Kamati Kuu ya CHADEMA ikibakia phase III ya "the art of political war" baada ya kuchakaa kwa kupigwa kwa knock out na kuomba washindwe kwa kuwa hawajui wanahitaji nini na wafanye nini.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitangaza kuwavua nyazifa zote Uongozi wa juu wa Bawacha na Kamati Kuu kuazimia kwa kauli moja kuwavua Uanachama Wabunge 19 walioapishwa Bungeni kuwa wabunge wa Viti maalum kupitia Chadema

Najua hata beberu uchwara wa ubelilgiji Tindu Lissu anaelewa vizuri athari ya kutokufuata principle kuu tatu katika maamuzi yoyote yaliyofikiwa na chombo chochote cha kiutawala kinachosikiliza kesi kwa kufuata kanuni za haki na madhara ya kutozifuata hizo kanuni kama ilivyofanywa na Kamati Kuu ya CHADEMA

1. NEMO JUDEX INCAUSA SUA

2.AUDI ALTERAM PARTEM

3.NULUM ARBITRIUM SINE RATIONIBUS

Niseme tu Wabunge 19 wa Viti maalum kwa mujibu wa sheria kupitia CHADEMA kama wakienda mahakamani kwa ajili ya judicial review wanashinda asubuhi na mapema tena saa mbili asubuhi

Ukisoma vizuri theory ya aud alteram partem suala la kupewa muda wa kutosha wa kuandaa utetezi pale unapofikishwa kwenye judicial au quasi judicial ndio msingi wa hiyo rule,Hivyo basi kitendo cha wabunge 19 kuimba haki hiyo ya msingi tena kwa maandishi ni goli la kwanza hasa kwa Wanawake wote nchini,

Kuteuliwa kwao halafu na kuapishwa halafu kamati kuu ya Chadema ikapinga,ikawaita kwenda kujieleza na wao wakaamua ku mute bila hata ya kuwajibu sababu za kufanyika hiyo haki ambayo kimsingi hawakupaswa hata kuimba bali wangepewa,lakini kinyume chake Kamati Kuu ikakaa kwenye hotel ya kifahari wakajisikilizisha na kuandaa hukumu in absentia bila kuwepo wanaoitwa wakosaji,hili ni goli la pili,maamuzi yatafyekelewa mbali na mahakama asubuhi na mapema tena saa mbili asubuhi.

Maaamuzi ya kikao hicho nibatiri maana walengwa hawakupata mda wa kujieleza. Na sababu za kutokufika kwao ni sahihi kwa kua walitishiwa na matamushi ya viongozi wao mfano akina pambalu na mnyika. Pili eneo la mkutano halikua salama kwao kwakua kulijitokeza kikundi cha waandamanaji walioshika mabango yenye matusi juu kwa kuwaita wao nikorona covid 19. Kamati kuu imepewa barua ya sababu,hivyo ilipaswa kuheshimu na iwe vumilivu,kwa kuwavua uanachama wakinamama hao nikuwaonea kwa mjibu wa katiba zote,ya Chama na kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ni kweli Chama chochote cha siasa kina autonomy ya kuendesha mambo kwa katiba ya chama,tunaweza kusema tuangalie katiba ya chama,kwa mfano tu, katiba ya chama Cha Chadema ikisema Mwenyekiti anaweza kumfukuza mwanachama yeyote bila mjadala, na wanachama wakakubali hilo na kujiunga na chama, siku Mwenyekiti akimfukuza mtu uanachama, bila mjadala, mwanachama hatakiwi kulalamika mahakamani,Maana aliikubali katiba ya chama,Sasa katiba ya chama inasemaje? Kama inasema hivi je huu si udikteta!?????

Kuhusu unlimited jurisdiction, tuchukue mfano kuichunguza unlimited jurisdiction,Mahakama kuu ina unlimited jurisdiction kwenye masuala ya judicial review pale ambapo mtu anakwenda kwake kudai haki msingi baada ya kuvunjwa na judicial au administrative body yoyote iliyokuwa inafanya quasi judicial function na ina aibu sana na haitaki kuwekewa kikwazo chochote cha derivative au oyster claws kama hili suala unalolisema la party autonomy,ila kwa suala hili la Wabunge 19,wakienda Mahakamani wanashinda asubuhi na Mapema tena saa mbili asubuhi.

Nimalizie kwa kusema bora kuwa na Chama kibovu cha Kijamaa kuliko kuwa na Chama kibovu cha Kiliberali,kumbe Chadema kingeingia madarakani tungeshuhudia ukiukwaji mkubwa sana wa haki za Binadamu kuliko ule wa Bokasa na Iddi Amini!Kama ni kweli ukifukuzwa Chedema basi usiende Mahakamani,basi Mbowe ni Dikteta Mbaya kuliko shetani,hebu fikiri Ushenzi na ubabe alio nao Mlevi,Mzinzi,Mhuni, Gaidi na Muuaji na Mwongo angekua ndio mwenyekiti wa Chama kilichoshika Dola wasaliti wangefanywaje kama sio kunyongwa hadharani!!???

Kumbe tuna chama cha kiriberali na kidemokrasia chenye itikadi kali kuliko ya makundi ya kigaidi??
Kumbe ile misimamo yao ya kuiga China kuwanyonga wenye kukiuka maadili bado wanayo halafu wanasema kuwa wao ni Chama mbadala kwa CCM ?? Demokrasia ipi wanaihubiri isiyofuata misingi ya haki za watu na kuwasikiliza? Hivi walishindwa nini kusikiliza ombi la kina Mdee la kupewa siku tano zaidi ili wajiandae ,hata kama wangeenda mahakamani ?
Huo ungekua ni mfano mzuri wa kuuonyesha ulimwengu kuwa Chadema ni chama kinachojali haki ,uhuru na demokrasia kwa vitendo,chama kinachowafanyia unyama watu waliokipigania kwa Jasho na Damu kitakuwaje kwa wananchi wengine ambao sio wanachama wao na wanawapinga wazi wazi? Kumbe Chadema kingeingia kadarakani kingeweza kuwafunga na hata kuwanyonga Wapinzania wao wote bila hata kuwasikiliza!?.

Hivi ni akina mama gani watakiamini tena Chama Cha Chadema kisichothamini mchango mkubwa walioutoa wale akina Mama 19? yakiwemo majina nguli kabisa,magalacha,wakongwe waliokomaa ndani ya Chadema,majina kama Halima Mdee,Grace Tendega,Ester Matiko,Cecilia Pareso,Ester Bulaya,Agnesta Kaiza,Nusrat Hanje,Jesca Kishoa,Hawa Mwaifunga,Tunza Malapo,Felister Njau,Naghenjwa Kaboyoka,Sophia Mwakagenda,Kunti Majala,Stela Fiayo,Anatropia Theonest,Salome Makamba,Conchesta Rwamlaza na Asia Mohammed.

Kwa nini hawakusikilizwa ?
Mbowe hana dola anakua mbabe kiasi hicho ,je, siku akishika dola itakuaje??CCM imekua ndio kimbilio la Watu walioumizwa kisiasa tu ndani ya Chadema lakini hawaoni kuwa huko ni kukibomoa chama.
Silinde alikua na kosa gani kutofautiana msimamo tu wa kuwawakilisha wananchi ndani ya bunge kipindi cha Korona ikawa ndio sababu ya kumvua uanachama ili tu asujudu mbele ya Mbowe!
Rwakatare alikosa nini?

Selasini, Komu, Kubeneaa na wengine wengi ni Chama kisichokua na uvumilivu hata kidogo? Dunia tusipokua tunavumiliana utakua ni uwanja wa vita.
Uvumilivu ndicho kipimo cha ukomavu wa kisiasa.Nikiwa Mbobezi wa masuala ya kiutawala,niwaambie Chadema kwamba failure kubwa sana ndani ya Chadema ni ile ya kutokuwa na conflict resolution strategies nzuri,ndiyo maana imekuwa inamegeka vipande kidogo kidogo, Timu ya Samson Mwigamba, Zitto kabwe na Kitila Mkumbo ilianza kumegeka, halafu ikaja timu ya Daktari Wilbroad Slaa, na pigo kubwa likawa ni lile la timu ya Mh Edward Lowassa na Mh Frederick Sumaye,

Sasa litakuja hili la timu ya Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha,Ningekuwa nimeazimwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda kwanza ningemzuia Katibu Mkuu,Bwana John Mnyika asiwashe taa kali kwa Chadema kwani Bwana Mnyika aliiweka Chadema kwenye spotlight kwa kuwatishia akina mama na akina Mama hao wa Bawacha wakaanza kuigopa Chadema hata wakashindwa kufika kwenye kikao, kama Bwana Mnyika asingewatisha Wakina Mama wale 19 basi wangefika kikaoni,wangeshughulika ndani ya chama kutafuta jibu lake mwafaka hata kabla ya kuita waandishi wa habari.

Nikiwa Mbobezi wa masuala ya kiutawala,niwaambie Chadema kwamba failure kubwa sana ndani ya Chadema ni ile ya kutokuwa na conflict resolution strategies nzuri,ndiyo maana imekuwa inamegeka vipande kidogo kidogo, Timu ya Samson Mwigamba, Zitto kabwe na Kitila Mkumbo ilianza kumegeka, halafu ikaja timu ya Daktari Wilbroad Slaa, na pigo kubwa likawa ni lile la timu ya Mh Edward Lowassa na Mh Frederick Sumaye,Sasa litakuja hili la timu ya Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha,Ningekuwa nimeazimwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda kwanza ningemzuia Katibu Mkuu,Bwana John Mnyika asiwashe taa kali kwa Chadema kwani Bwana Mnyika aliiweka Chadema kwenye spotlight kwa kuwatishia akina mama na akina Mama hao wa Bawacha wakaanza kuigopa Chadema hata wakashindwa kufika kwenye kikao, kama Bwana Mnyika asingewatisha Wakina Mama wale 19 basi wangefika kikaoni,wangeshughulika ndani ya chama kutafuta jibu lake mwafaka hata kabla ya kuita waandishi wa habari.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.

umeharisha ujinga unaonuka
 
Walichofanya kina Halima Mdee ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu.
Wanastahili adhabu kali tusiwe tunashabikia upuuzi.
 
Ccm tuna jidharirisha...

Hivi kile kipengele chao bado kipo, ukipeleka kesi mahakamani na uanachama wako Kwisha, kile kilicho mtoa zitto
 
Toka lini MaCCM nyie mkawa watetezi wa wafuasi wa CHADEMA ambao historically mmewafanyia vitu vya ajabu sana?
Mbona lowasa mlimfanyia mambo ya ajabu na kumpatia nafasi ya kupeperusha bendera ya urais.

Mbowe alisema katika siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.
 
GURU LA SHERIA,HALIMA MDEE AMEISHINDA KAMATI KUU YA CHADEMA.

Leo 19:25hrs 28/11/2020

Guru la Sheria nchini Tanzania, Halima Mdee anaelekea Phase IV ya "the art of political war" kama inavyotafsiriwa kwenye stage 10 za Communist party of China,wakati Kamati Kuu ya CHADEMA ikibakia phase III ya "the art of political war" baada ya kuchakaa kwa kupigwa kwa knock out na kuomba washindwe kwa kuwa hawajui wanahitaji nini na wafanye nini.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitangaza kuwavua nyazifa zote Uongozi wa juu wa Bawacha na Kamati Kuu kuazimia kwa kauli moja kuwavua Uanachama Wabunge 19 walioapishwa Bungeni kuwa wabunge wa Viti maalum kupitia Chadema

Najua hata beberu uchwara wa ubelilgiji Tindu Lissu anaelewa vizuri athari ya kutokufuata principle kuu tatu katika maamuzi yoyote yaliyofikiwa na chombo chochote cha kiutawala kinachosikiliza kesi kwa kufuata kanuni za haki na madhara ya kutozifuata hizo kanuni kama ilivyofanywa na Kamati Kuu ya CHADEMA

1. NEMO JUDEX INCAUSA SUA

2.AUDI ALTERAM PARTEM

3.NULUM ARBITRIUM SINE RATIONIBUS

Niseme tu Wabunge 19 wa Viti maalum kwa mujibu wa sheria kupitia CHADEMA kama wakienda mahakamani kwa ajili ya judicial review wanashinda asubuhi na mapema tena saa mbili asubuhi

Ukisoma vizuri theory ya aud alteram partem suala la kupewa muda wa kutosha wa kuandaa utetezi pale unapofikishwa kwenye judicial au quasi judicial ndio msingi wa hiyo rule,Hivyo basi kitendo cha wabunge 19 kuimba haki hiyo ya msingi tena kwa maandishi ni goli la kwanza hasa kwa Wanawake wote nchini,

Kuteuliwa kwao halafu na kuapishwa halafu kamati kuu ya Chadema ikapinga,ikawaita kwenda kujieleza na wao wakaamua ku mute bila hata ya kuwajibu sababu za kufanyika hiyo haki ambayo kimsingi hawakupaswa hata kuimba bali wangepewa,lakini kinyume chake Kamati Kuu ikakaa kwenye hotel ya kifahari wakajisikilizisha na kuandaa hukumu in absentia bila kuwepo wanaoitwa wakosaji,hili ni goli la pili,maamuzi yatafyekelewa mbali na mahakama asubuhi na mapema tena saa mbili asubuhi.

Maaamuzi ya kikao hicho nibatiri maana walengwa hawakupata mda wa kujieleza. Na sababu za kutokufika kwao ni sahihi kwa kua walitishiwa na matamushi ya viongozi wao mfano akina pambalu na mnyika. Pili eneo la mkutano halikua salama kwao kwakua kulijitokeza kikundi cha waandamanaji walioshika mabango yenye matusi juu kwa kuwaita wao nikorona covid 19. Kamati kuu imepewa barua ya sababu,hivyo ilipaswa kuheshimu na iwe vumilivu,kwa kuwavua uanachama wakinamama hao nikuwaonea kwa mjibu wa katiba zote,ya Chama na kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ni kweli Chama chochote cha siasa kina autonomy ya kuendesha mambo kwa katiba ya chama,tunaweza kusema tuangalie katiba ya chama,kwa mfano tu, katiba ya chama Cha Chadema ikisema Mwenyekiti anaweza kumfukuza mwanachama yeyote bila mjadala, na wanachama wakakubali hilo na kujiunga na chama, siku Mwenyekiti akimfukuza mtu uanachama, bila mjadala, mwanachama hatakiwi kulalamika mahakamani,Maana aliikubali katiba ya chama,Sasa katiba ya chama inasemaje? Kama inasema hivi je huu si udikteta!?????

Kuhusu unlimited jurisdiction, tuchukue mfano kuichunguza unlimited jurisdiction,Mahakama kuu ina unlimited jurisdiction kwenye masuala ya judicial review pale ambapo mtu anakwenda kwake kudai haki msingi baada ya kuvunjwa na judicial au administrative body yoyote iliyokuwa inafanya quasi judicial function na ina aibu sana na haitaki kuwekewa kikwazo chochote cha derivative au oyster claws kama hili suala unalolisema la party autonomy,ila kwa suala hili la Wabunge 19,wakienda Mahakamani wanashinda asubuhi na Mapema tena saa mbili asubuhi.

Nimalizie kwa kusema bora kuwa na Chama kibovu cha Kijamaa kuliko kuwa na Chama kibovu cha Kiliberali,kumbe Chadema kingeingia madarakani tungeshuhudia ukiukwaji mkubwa sana wa haki za Binadamu kuliko ule wa Bokasa na Iddi Amini!Kama ni kweli ukifukuzwa Chedema basi usiende Mahakamani,basi Mbowe ni Dikteta Mbaya kuliko shetani,hebu fikiri Ushenzi na ubabe alio nao Mlevi,Mzinzi,Mhuni, Gaidi na Muuaji na Mwongo angekua ndio mwenyekiti wa Chama kilichoshika Dola wasaliti wangefanywaje kama sio kunyongwa hadharani!!???

Kumbe tuna chama cha kiriberali na kidemokrasia chenye itikadi kali kuliko ya makundi ya kigaidi??
Kumbe ile misimamo yao ya kuiga China kuwanyonga wenye kukiuka maadili bado wanayo halafu wanasema kuwa wao ni Chama mbadala kwa CCM ?? Demokrasia ipi wanaihubiri isiyofuata misingi ya haki za watu na kuwasikiliza? Hivi walishindwa nini kusikiliza ombi la kina Mdee la kupewa siku tano zaidi ili wajiandae ,hata kama wangeenda mahakamani ?
Huo ungekua ni mfano mzuri wa kuuonyesha ulimwengu kuwa Chadema ni chama kinachojali haki ,uhuru na demokrasia kwa vitendo,chama kinachowafanyia unyama watu waliokipigania kwa Jasho na Damu kitakuwaje kwa wananchi wengine ambao sio wanachama wao na wanawapinga wazi wazi? Kumbe Chadema kingeingia kadarakani kingeweza kuwafunga na hata kuwanyonga Wapinzania wao wote bila hata kuwasikiliza!?.

Hivi ni akina mama gani watakiamini tena Chama Cha Chadema kisichothamini mchango mkubwa walioutoa wale akina Mama 19? yakiwemo majina nguli kabisa,magalacha,wakongwe waliokomaa ndani ya Chadema,majina kama Halima Mdee,Grace Tendega,Ester Matiko,Cecilia Pareso,Ester Bulaya,Agnesta Kaiza,Nusrat Hanje,Jesca Kishoa,Hawa Mwaifunga,Tunza Malapo,Felister Njau,Naghenjwa Kaboyoka,Sophia Mwakagenda,Kunti Majala,Stela Fiayo,Anatropia Theonest,Salome Makamba,Conchesta Rwamlaza na Asia Mohammed.

Kwa nini hawakusikilizwa ?
Mbowe hana dola anakua mbabe kiasi hicho ,je, siku akishika dola itakuaje??CCM imekua ndio kimbilio la Watu walioumizwa kisiasa tu ndani ya Chadema lakini hawaoni kuwa huko ni kukibomoa chama.
Silinde alikua na kosa gani kutofautiana msimamo tu wa kuwawakilisha wananchi ndani ya bunge kipindi cha Korona ikawa ndio sababu ya kumvua uanachama ili tu asujudu mbele ya Mbowe!
Rwakatare alikosa nini?

Selasini, Komu, Kubeneaa na wengine wengi ni Chama kisichokua na uvumilivu hata kidogo? Dunia tusipokua tunavumiliana utakua ni uwanja wa vita.
Uvumilivu ndicho kipimo cha ukomavu wa kisiasa.Nikiwa Mbobezi wa masuala ya kiutawala,niwaambie Chadema kwamba failure kubwa sana ndani ya Chadema ni ile ya kutokuwa na conflict resolution strategies nzuri,ndiyo maana imekuwa inamegeka vipande kidogo kidogo, Timu ya Samson Mwigamba, Zitto kabwe na Kitila Mkumbo ilianza kumegeka, halafu ikaja timu ya Daktari Wilbroad Slaa, na pigo kubwa likawa ni lile la timu ya Mh Edward Lowassa na Mh Frederick Sumaye,

Sasa litakuja hili la timu ya Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha,Ningekuwa nimeazimwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda kwanza ningemzuia Katibu Mkuu,Bwana John Mnyika asiwashe taa kali kwa Chadema kwani Bwana Mnyika aliiweka Chadema kwenye spotlight kwa kuwatishia akina mama na akina Mama hao wa Bawacha wakaanza kuigopa Chadema hata wakashindwa kufika kwenye kikao, kama Bwana Mnyika asingewatisha Wakina Mama wale 19 basi wangefika kikaoni,wangeshughulika ndani ya chama kutafuta jibu lake mwafaka hata kabla ya kuita waandishi wa habari.

Nikiwa Mbobezi wa masuala ya kiutawala,niwaambie Chadema kwamba failure kubwa sana ndani ya Chadema ni ile ya kutokuwa na conflict resolution strategies nzuri,ndiyo maana imekuwa inamegeka vipande kidogo kidogo, Timu ya Samson Mwigamba, Zitto kabwe na Kitila Mkumbo ilianza kumegeka, halafu ikaja timu ya Daktari Wilbroad Slaa, na pigo kubwa likawa ni lile la timu ya Mh Edward Lowassa na Mh Frederick Sumaye,Sasa litakuja hili la timu ya Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha,Ningekuwa nimeazimwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda kwanza ningemzuia Katibu Mkuu,Bwana John Mnyika asiwashe taa kali kwa Chadema kwani Bwana Mnyika aliiweka Chadema kwenye spotlight kwa kuwatishia akina mama na akina Mama hao wa Bawacha wakaanza kuigopa Chadema hata wakashindwa kufika kwenye kikao, kama Bwana Mnyika asingewatisha Wakina Mama wale 19 basi wangefika kikaoni,wangeshughulika ndani ya chama kutafuta jibu lake mwafaka hata kabla ya kuita waandishi wa habari.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Mkuu Leslie,

I have quoted your justice rules for my input views

1. NEMO JUDEX INCAUSA SUA
Nemo judex in causa sua (or nemo judex in sua causa) is a latin phrase that literally implies, "no-one is judge in his own cause." It is a principle of natural justice that no person can judge a case in which they have an interest. In many jurisdictions the rule is very strictly applied to any appearance of a possible bias, even if there is actually none: "Justice must not only be done, but must be seen to be done"
This principle may also be called:
  • nemo judex idoneus in propria causa est
  • nemo judex in parte sua
  • nemo judex in re sua
  • nemo debet esse judex in propria causa
  • in propria causa nemo judex
The legal effect of a breach of natural justice is normally to stop the proceedings and render any judgment invalid; it should be quashed or appealed, but may be remitted for a valid re-hearing.
To avoid natural justice abuse-the rule against bias and the right to a fair hearing must be seen taking place. While the term natural justice is often retained as a general concept, it has largely been replaced and extended by the general "duty to act fairly".

The basis for the rule against bias is the need to maintain public confidence in the legal system. Bias can take the form of actual bias, imputed bias or apparent bias. Actual bias is very difficult to prove in practice while imputed bias, once shown, will result in a decision being void without the need for any investigation into the likelihood or suspicion of bias. Cases from different jurisdictions currently apply two tests for apparent bias: the "reasonable suspicion of bias" test and the "real likelihood of bias" test. One view that has been taken is that the differences between these two tests are largely semantic and that they operate similarly.

The right to a fair hearing requires that individuals should not be penalized by decisions affecting their rights or legitimate expectations unless they have been given prior notice of the case, a fair opportunity to answer it, and the opportunity to present their own case. The mere fact that a decision affects rights or interests is sufficient to subject the decision to the procedures required by natural justice
2.AUDI ALTERAM PARTEM
is a Latin phrase meaning "listen to the other side", or "let the other side be heard as well". It is the principle that no person should be judged without a fair hearing in which each party is given the opportunity to respond to the evidence against them (listen to teh other side to corroborate with or disprove the evidence suggesting implication to the accused), thus enshrining the principles it is safe to say no person shall be condemned, punished or have any property or legal right compromised by a court of law without having heard that person.
3.NULUM ARBITRIUM SINE RATIONIBUS
It is upon the court or any other disciplinary authority to be responsible enough to adhere and uphold the rights given to both parties and provide reasons as to why they have brought forward their judgments in such a manner considered as credible.
Based on your thread the following have emerged in mind
1. The 19 speacial seat MPs appointees from CHADEMA party were denied ample opportunity to defend themselves on the alleged indiscipline accusation-in teh virtue of the legal proceedings the natural justice was not dispensed for teh right decision to be concluded;
2. The 19 special seat MPs appointees from CHADEMA party were claimed to be extorted by the summoning authority;
3. The defendants for indiscipline, violation of party rules and breach of moral ethics as accused by their party leadership prayed for leave to the central committee to extent time for their defence statement preparation and safety assessed before they shown up to account teh accusation, but they were denied opportunity;-the committee members evaded due diligence to resolve teh matter amicably while the accused were in peace of mind;
4. The NEC at this juncture is obliged to make public a list of recommended special seat MPs from CHADEMA and how the document was delivered to them (by hand, email or by phone)?
5. Did NEC receive a fixed number of recommended MPs appointees for special seats or it was diversity for them to pick those sufficed requirements?
6. Did Halima Mdee receive information from the party chairperson that she and others have been shortlisted as MP appointees for special seat by using a smart phone? If that is the case teh voice note can be retrieved to surface the controverse;
7. Interpretation of the laws requires logic reasoning and teh constitution can't be effectively enforced in the absence of Acts and regulations provided the rules persist to be subordinate to the constitution;
 
Hivi nyie watu mtaendelea kujitoa ufahamu hadi lini?!
Mkuu, naamini kuwa, mbali na mambo mengine ya kimitizamo, bado upo 'impartial' katika kufanya tathimini ya mambo yanayotokea nchini na duniani.

Kwa msingi huo, unaamini 'mabwenyenye' wa Chadema wamefuata katiba ya chama chao pamoja na katiba ya nchi kufanya maamuzi waliyofanya dhidi ya Halima na wenzake?

Karibu kwa majibu.
 
Yamenoga hayooooooooooooo, Kamuuize Zitto aipeeka CDM mahakamani aishinda. Haramu ya Mdee covid 19 haiwezi kuwa ...................imewauma sana hiyo. Kamuuize Msekwa kasema maamuzi ni ya kikatiba.
 
Membe alipata hiyo nemojudex incausa sua?
GURU LA SHERIA,HALIMA MDEE AMEISHINDA KAMATI KUU YA CHADEMA.

Leo 19:25hrs 28/11/2020

Guru la Sheria nchini Tanzania, Halima Mdee anaelekea Phase IV ya "the art of political war" kama inavyotafsiriwa kwenye stage 10 za Communist party of China,wakati Kamati Kuu ya CHADEMA ikibakia phase III ya "the art of political war" baada ya kuchakaa kwa kupigwa kwa knock out na kuomba washindwe kwa kuwa hawajui wanahitaji nini na wafanye nini.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitangaza kuwavua nyazifa zote Uongozi wa juu wa Bawacha na Kamati Kuu kuazimia kwa kauli moja kuwavua Uanachama Wabunge 19 walioapishwa Bungeni kuwa wabunge wa Viti maalum kupitia Chadema

Najua hata beberu uchwara wa ubelilgiji Tindu Lissu anaelewa vizuri athari ya kutokufuata principle kuu tatu katika maamuzi yoyote yaliyofikiwa na chombo chochote cha kiutawala kinachosikiliza kesi kwa kufuata kanuni za haki na madhara ya kutozifuata hizo kanuni kama ilivyofanywa na Kamati Kuu ya CHADEMA

1. NEMO JUDEX INCAUSA SUA

2.AUDI ALTERAM PARTEM

3.NULUM ARBITRIUM SINE RATIONIBUS

Niseme tu Wabunge 19 wa Viti maalum kwa mujibu wa sheria kupitia CHADEMA kama wakienda mahakamani kwa ajili ya judicial review wanashinda asubuhi na mapema tena saa mbili asubuhi

Ukisoma vizuri theory ya aud alteram partem suala la kupewa muda wa kutosha wa kuandaa utetezi pale unapofikishwa kwenye judicial au quasi judicial ndio msingi wa hiyo rule,Hivyo basi kitendo cha wabunge 19 kuimba haki hiyo ya msingi tena kwa maandishi ni goli la kwanza hasa kwa Wanawake wote nchini,

Kuteuliwa kwao halafu na kuapishwa halafu kamati kuu ya Chadema ikapinga,ikawaita kwenda kujieleza na wao wakaamua ku mute bila hata ya kuwajibu sababu za kufanyika hiyo haki ambayo kimsingi hawakupaswa hata kuimba bali wangepewa,lakini kinyume chake Kamati Kuu ikakaa kwenye hotel ya kifahari wakajisikilizisha na kuandaa hukumu in absentia bila kuwepo wanaoitwa wakosaji,hili ni goli la pili,maamuzi yatafyekelewa mbali na mahakama asubuhi na mapema tena saa mbili asubuhi.

Maaamuzi ya kikao hicho nibatiri maana walengwa hawakupata mda wa kujieleza. Na sababu za kutokufika kwao ni sahihi kwa kua walitishiwa na matamushi ya viongozi wao mfano akina pambalu na mnyika. Pili eneo la mkutano halikua salama kwao kwakua kulijitokeza kikundi cha waandamanaji walioshika mabango yenye matusi juu kwa kuwaita wao nikorona covid 19. Kamati kuu imepewa barua ya sababu,hivyo ilipaswa kuheshimu na iwe vumilivu,kwa kuwavua uanachama wakinamama hao nikuwaonea kwa mjibu wa katiba zote,ya Chama na kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ni kweli Chama chochote cha siasa kina autonomy ya kuendesha mambo kwa katiba ya chama,tunaweza kusema tuangalie katiba ya chama,kwa mfano tu, katiba ya chama Cha Chadema ikisema Mwenyekiti anaweza kumfukuza mwanachama yeyote bila mjadala, na wanachama wakakubali hilo na kujiunga na chama, siku Mwenyekiti akimfukuza mtu uanachama, bila mjadala, mwanachama hatakiwi kulalamika mahakamani,Maana aliikubali katiba ya chama,Sasa katiba ya chama inasemaje? Kama inasema hivi je huu si udikteta!?????

Kuhusu unlimited jurisdiction, tuchukue mfano kuichunguza unlimited jurisdiction,Mahakama kuu ina unlimited jurisdiction kwenye masuala ya judicial review pale ambapo mtu anakwenda kwake kudai haki msingi baada ya kuvunjwa na judicial au administrative body yoyote iliyokuwa inafanya quasi judicial function na ina aibu sana na haitaki kuwekewa kikwazo chochote cha derivative au oyster claws kama hili suala unalolisema la party autonomy,ila kwa suala hili la Wabunge 19,wakienda Mahakamani wanashinda asubuhi na Mapema tena saa mbili asubuhi.

Nimalizie kwa kusema bora kuwa na Chama kibovu cha Kijamaa kuliko kuwa na Chama kibovu cha Kiliberali,kumbe Chadema kingeingia madarakani tungeshuhudia ukiukwaji mkubwa sana wa haki za Binadamu kuliko ule wa Bokasa na Iddi Amini!Kama ni kweli ukifukuzwa Chedema basi usiende Mahakamani,basi Mbowe ni Dikteta Mbaya kuliko shetani,hebu fikiri Ushenzi na ubabe alio nao Mlevi,Mzinzi,Mhuni, Gaidi na Muuaji na Mwongo angekua ndio mwenyekiti wa Chama kilichoshika Dola wasaliti wangefanywaje kama sio kunyongwa hadharani!!???

Kumbe tuna chama cha kiriberali na kidemokrasia chenye itikadi kali kuliko ya makundi ya kigaidi??
Kumbe ile misimamo yao ya kuiga China kuwanyonga wenye kukiuka maadili bado wanayo halafu wanasema kuwa wao ni Chama mbadala kwa CCM ?? Demokrasia ipi wanaihubiri isiyofuata misingi ya haki za watu na kuwasikiliza? Hivi walishindwa nini kusikiliza ombi la kina Mdee la kupewa siku tano zaidi ili wajiandae ,hata kama wangeenda mahakamani ?
Huo ungekua ni mfano mzuri wa kuuonyesha ulimwengu kuwa Chadema ni chama kinachojali haki ,uhuru na demokrasia kwa vitendo,chama kinachowafanyia unyama watu waliokipigania kwa Jasho na Damu kitakuwaje kwa wananchi wengine ambao sio wanachama wao na wanawapinga wazi wazi? Kumbe Chadema kingeingia kadarakani kingeweza kuwafunga na hata kuwanyonga Wapinzania wao wote bila hata kuwasikiliza!?.

Hivi ni akina mama gani watakiamini tena Chama Cha Chadema kisichothamini mchango mkubwa walioutoa wale akina Mama 19? yakiwemo majina nguli kabisa,magalacha,wakongwe waliokomaa ndani ya Chadema,majina kama Halima Mdee,Grace Tendega,Ester Matiko,Cecilia Pareso,Ester Bulaya,Agnesta Kaiza,Nusrat Hanje,Jesca Kishoa,Hawa Mwaifunga,Tunza Malapo,Felister Njau,Naghenjwa Kaboyoka,Sophia Mwakagenda,Kunti Majala,Stela Fiayo,Anatropia Theonest,Salome Makamba,Conchesta Rwamlaza na Asia Mohammed.

Kwa nini hawakusikilizwa ?
Mbowe hana dola anakua mbabe kiasi hicho ,je, siku akishika dola itakuaje??CCM imekua ndio kimbilio la Watu walioumizwa kisiasa tu ndani ya Chadema lakini hawaoni kuwa huko ni kukibomoa chama.
Silinde alikua na kosa gani kutofautiana msimamo tu wa kuwawakilisha wananchi ndani ya bunge kipindi cha Korona ikawa ndio sababu ya kumvua uanachama ili tu asujudu mbele ya Mbowe!
Rwakatare alikosa nini?

Selasini, Komu, Kubeneaa na wengine wengi ni Chama kisichokua na uvumilivu hata kidogo? Dunia tusipokua tunavumiliana utakua ni uwanja wa vita.
Uvumilivu ndicho kipimo cha ukomavu wa kisiasa.Nikiwa Mbobezi wa masuala ya kiutawala,niwaambie Chadema kwamba failure kubwa sana ndani ya Chadema ni ile ya kutokuwa na conflict resolution strategies nzuri,ndiyo maana imekuwa inamegeka vipande kidogo kidogo, Timu ya Samson Mwigamba, Zitto kabwe na Kitila Mkumbo ilianza kumegeka, halafu ikaja timu ya Daktari Wilbroad Slaa, na pigo kubwa likawa ni lile la timu ya Mh Edward Lowassa na Mh Frederick Sumaye,

Sasa litakuja hili la timu ya Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha,Ningekuwa nimeazimwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda kwanza ningemzuia Katibu Mkuu,Bwana John Mnyika asiwashe taa kali kwa Chadema kwani Bwana Mnyika aliiweka Chadema kwenye spotlight kwa kuwatishia akina mama na akina Mama hao wa Bawacha wakaanza kuigopa Chadema hata wakashindwa kufika kwenye kikao, kama Bwana Mnyika asingewatisha Wakina Mama wale 19 basi wangefika kikaoni,wangeshughulika ndani ya chama kutafuta jibu lake mwafaka hata kabla ya kuita waandishi wa habari.

Nikiwa Mbobezi wa masuala ya kiutawala,niwaambie Chadema kwamba failure kubwa sana ndani ya Chadema ni ile ya kutokuwa na conflict resolution strategies nzuri,ndiyo maana imekuwa inamegeka vipande kidogo kidogo, Timu ya Samson Mwigamba, Zitto kabwe na Kitila Mkumbo ilianza kumegeka, halafu ikaja timu ya Daktari Wilbroad Slaa, na pigo kubwa likawa ni lile la timu ya Mh Edward Lowassa na Mh Frederick Sumaye,Sasa litakuja hili la timu ya Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha,Ningekuwa nimeazimwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda kwanza ningemzuia Katibu Mkuu,Bwana John Mnyika asiwashe taa kali kwa Chadema kwani Bwana Mnyika aliiweka Chadema kwenye spotlight kwa kuwatishia akina mama na akina Mama hao wa Bawacha wakaanza kuigopa Chadema hata wakashindwa kufika kwenye kikao, kama Bwana Mnyika asingewatisha Wakina Mama wale 19 basi wangefika kikaoni,wangeshughulika ndani ya chama kutafuta jibu lake mwafaka hata kabla ya kuita waandishi wa habari.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
GURU LA SHERIA,HALIMA MDEE AMEISHINDA KAMATI KUU YA CHADEMA.

Leo 19:25hrs 28/11/2020

Guru la Sheria nchini Tanzania, Halima Mdee anaelekea Phase IV ya "the art of political war" kama inavyotafsiriwa kwenye stage 10 za Communist party of China,wakati Kamati Kuu ya CHADEMA ikibakia phase III ya "the art of political war" baada ya kuchakaa kwa kupigwa kwa knock out na kuomba washindwe kwa kuwa hawajui wanahitaji nini na wafanye nini.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitangaza kuwavua nyazifa zote Uongozi wa juu wa Bawacha na Kamati Kuu kuazimia kwa kauli moja kuwavua Uanachama Wabunge 19 walioapishwa Bungeni kuwa wabunge wa Viti maalum kupitia Chadema

Najua hata beberu uchwara wa ubelilgiji Tindu Lissu anaelewa vizuri athari ya kutokufuata principle kuu tatu katika maamuzi yoyote yaliyofikiwa na chombo chochote cha kiutawala kinachosikiliza kesi kwa kufuata kanuni za haki na madhara ya kutozifuata hizo kanuni kama ilivyofanywa na Kamati Kuu ya CHADEMA

1. NEMO JUDEX INCAUSA SUA

2.AUDI ALTERAM PARTEM

3.NULUM ARBITRIUM SINE RATIONIBUS

Niseme tu Wabunge 19 wa Viti maalum kwa mujibu wa sheria kupitia CHADEMA kama wakienda mahakamani kwa ajili ya judicial review wanashinda asubuhi na mapema tena saa mbili asubuhi

Ukisoma vizuri theory ya aud alteram partem suala la kupewa muda wa kutosha wa kuandaa utetezi pale unapofikishwa kwenye judicial au quasi judicial ndio msingi wa hiyo rule,Hivyo basi kitendo cha wabunge 19 kuimba haki hiyo ya msingi tena kwa maandishi ni goli la kwanza hasa kwa Wanawake wote nchini,

Kuteuliwa kwao halafu na kuapishwa halafu kamati kuu ya Chadema ikapinga,ikawaita kwenda kujieleza na wao wakaamua ku mute bila hata ya kuwajibu sababu za kufanyika hiyo haki ambayo kimsingi hawakupaswa hata kuimba bali wangepewa,lakini kinyume chake Kamati Kuu ikakaa kwenye hotel ya kifahari wakajisikilizisha na kuandaa hukumu in absentia bila kuwepo wanaoitwa wakosaji,hili ni goli la pili,maamuzi yatafyekelewa mbali na mahakama asubuhi na mapema tena saa mbili asubuhi.

Maaamuzi ya kikao hicho nibatiri maana walengwa hawakupata mda wa kujieleza. Na sababu za kutokufika kwao ni sahihi kwa kua walitishiwa na matamushi ya viongozi wao mfano akina pambalu na mnyika. Pili eneo la mkutano halikua salama kwao kwakua kulijitokeza kikundi cha waandamanaji walioshika mabango yenye matusi juu kwa kuwaita wao nikorona covid 19. Kamati kuu imepewa barua ya sababu,hivyo ilipaswa kuheshimu na iwe vumilivu,kwa kuwavua uanachama wakinamama hao nikuwaonea kwa mjibu wa katiba zote,ya Chama na kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ni kweli Chama chochote cha siasa kina autonomy ya kuendesha mambo kwa katiba ya chama,tunaweza kusema tuangalie katiba ya chama,kwa mfano tu, katiba ya chama Cha Chadema ikisema Mwenyekiti anaweza kumfukuza mwanachama yeyote bila mjadala, na wanachama wakakubali hilo na kujiunga na chama, siku Mwenyekiti akimfukuza mtu uanachama, bila mjadala, mwanachama hatakiwi kulalamika mahakamani,Maana aliikubali katiba ya chama,Sasa katiba ya chama inasemaje? Kama inasema hivi je huu si udikteta!?????

Kuhusu unlimited jurisdiction, tuchukue mfano kuichunguza unlimited jurisdiction,Mahakama kuu ina unlimited jurisdiction kwenye masuala ya judicial review pale ambapo mtu anakwenda kwake kudai haki msingi baada ya kuvunjwa na judicial au administrative body yoyote iliyokuwa inafanya quasi judicial function na ina aibu sana na haitaki kuwekewa kikwazo chochote cha derivative au oyster claws kama hili suala unalolisema la party autonomy,ila kwa suala hili la Wabunge 19,wakienda Mahakamani wanashinda asubuhi na Mapema tena saa mbili asubuhi.

Nimalizie kwa kusema bora kuwa na Chama kibovu cha Kijamaa kuliko kuwa na Chama kibovu cha Kiliberali,kumbe Chadema kingeingia madarakani tungeshuhudia ukiukwaji mkubwa sana wa haki za Binadamu kuliko ule wa Bokasa na Iddi Amini!Kama ni kweli ukifukuzwa Chedema basi usiende Mahakamani,basi Mbowe ni Dikteta Mbaya kuliko shetani,hebu fikiri Ushenzi na ubabe alio nao Mlevi,Mzinzi,Mhuni, Gaidi na Muuaji na Mwongo angekua ndio mwenyekiti wa Chama kilichoshika Dola wasaliti wangefanywaje kama sio kunyongwa hadharani!!???

Kumbe tuna chama cha kiriberali na kidemokrasia chenye itikadi kali kuliko ya makundi ya kigaidi??
Kumbe ile misimamo yao ya kuiga China kuwanyonga wenye kukiuka maadili bado wanayo halafu wanasema kuwa wao ni Chama mbadala kwa CCM ?? Demokrasia ipi wanaihubiri isiyofuata misingi ya haki za watu na kuwasikiliza? Hivi walishindwa nini kusikiliza ombi la kina Mdee la kupewa siku tano zaidi ili wajiandae ,hata kama wangeenda mahakamani ?
Huo ungekua ni mfano mzuri wa kuuonyesha ulimwengu kuwa Chadema ni chama kinachojali haki ,uhuru na demokrasia kwa vitendo,chama kinachowafanyia unyama watu waliokipigania kwa Jasho na Damu kitakuwaje kwa wananchi wengine ambao sio wanachama wao na wanawapinga wazi wazi? Kumbe Chadema kingeingia kadarakani kingeweza kuwafunga na hata kuwanyonga Wapinzania wao wote bila hata kuwasikiliza!?.

Hivi ni akina mama gani watakiamini tena Chama Cha Chadema kisichothamini mchango mkubwa walioutoa wale akina Mama 19? yakiwemo majina nguli kabisa,magalacha,wakongwe waliokomaa ndani ya Chadema,majina kama Halima Mdee,Grace Tendega,Ester Matiko,Cecilia Pareso,Ester Bulaya,Agnesta Kaiza,Nusrat Hanje,Jesca Kishoa,Hawa Mwaifunga,Tunza Malapo,Felister Njau,Naghenjwa Kaboyoka,Sophia Mwakagenda,Kunti Majala,Stela Fiayo,Anatropia Theonest,Salome Makamba,Conchesta Rwamlaza na Asia Mohammed.

Kwa nini hawakusikilizwa ?
Mbowe hana dola anakua mbabe kiasi hicho ,je, siku akishika dola itakuaje??CCM imekua ndio kimbilio la Watu walioumizwa kisiasa tu ndani ya Chadema lakini hawaoni kuwa huko ni kukibomoa chama.
Silinde alikua na kosa gani kutofautiana msimamo tu wa kuwawakilisha wananchi ndani ya bunge kipindi cha Korona ikawa ndio sababu ya kumvua uanachama ili tu asujudu mbele ya Mbowe!
Rwakatare alikosa nini?

Selasini, Komu, Kubeneaa na wengine wengi ni Chama kisichokua na uvumilivu hata kidogo? Dunia tusipokua tunavumiliana utakua ni uwanja wa vita.
Uvumilivu ndicho kipimo cha ukomavu wa kisiasa.Nikiwa Mbobezi wa masuala ya kiutawala,niwaambie Chadema kwamba failure kubwa sana ndani ya Chadema ni ile ya kutokuwa na conflict resolution strategies nzuri,ndiyo maana imekuwa inamegeka vipande kidogo kidogo, Timu ya Samson Mwigamba, Zitto kabwe na Kitila Mkumbo ilianza kumegeka, halafu ikaja timu ya Daktari Wilbroad Slaa, na pigo kubwa likawa ni lile la timu ya Mh Edward Lowassa na Mh Frederick Sumaye,

Sasa litakuja hili la timu ya Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha,Ningekuwa nimeazimwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda kwanza ningemzuia Katibu Mkuu,Bwana John Mnyika asiwashe taa kali kwa Chadema kwani Bwana Mnyika aliiweka Chadema kwenye spotlight kwa kuwatishia akina mama na akina Mama hao wa Bawacha wakaanza kuigopa Chadema hata wakashindwa kufika kwenye kikao, kama Bwana Mnyika asingewatisha Wakina Mama wale 19 basi wangefika kikaoni,wangeshughulika ndani ya chama kutafuta jibu lake mwafaka hata kabla ya kuita waandishi wa habari.

Nikiwa Mbobezi wa masuala ya kiutawala,niwaambie Chadema kwamba failure kubwa sana ndani ya Chadema ni ile ya kutokuwa na conflict resolution strategies nzuri,ndiyo maana imekuwa inamegeka vipande kidogo kidogo, Timu ya Samson Mwigamba, Zitto kabwe na Kitila Mkumbo ilianza kumegeka, halafu ikaja timu ya Daktari Wilbroad Slaa, na pigo kubwa likawa ni lile la timu ya Mh Edward Lowassa na Mh Frederick Sumaye,Sasa litakuja hili la timu ya Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha,Ningekuwa nimeazimwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda kwanza ningemzuia Katibu Mkuu,Bwana John Mnyika asiwashe taa kali kwa Chadema kwani Bwana Mnyika aliiweka Chadema kwenye spotlight kwa kuwatishia akina mama na akina Mama hao wa Bawacha wakaanza kuigopa Chadema hata wakashindwa kufika kwenye kikao, kama Bwana Mnyika asingewatisha Wakina Mama wale 19 basi wangefika kikaoni,wangeshughulika ndani ya chama kutafuta jibu lake mwafaka hata kabla ya kuita waandishi wa habari.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Wao walishindwa nini kusubiri kwa muda kwenda kuapa wakati wanafahamu fika mwisho ni mwezi April??

Pili umeandika mambo mengi yasiyo na tija kwani unaelewa fika kuwa Mihimili yote mitatu iko chini ya Ule uliojichimbia chini zaidi. Sintoweza kushangaa kwani Mahakama inaweza hata kutoa maamuzi bila hata walalamikaji kufika Mahakamani.
 
Chakubanga hebu kuwa na aibu..! Pichani hapo ni Mdee unaona hapo wako wanaume wangapi na wa chama kipi hapo ! Hili tukio la kunasa kura zilizopigwa tayari kwa CCM na hadi video bado mkasema ni mzushi leo hii mnamtetea baada ya yeye pia kusaliti msimamo wa chama kutotambua matokeo yote ! Hapo mlikua wapi kumtetea huyo umuitae Gwiji la Sheria! Shame on you
IMG-20201128-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom