Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Sijui kama nimeandika jial hilo inavyopaswa, basi tuseme tu kuwa linafanana na jina la mtu anyeitwa John Guninita. Habari njema ni kwamba Ameamua kuanza masomo ya secondary. Wengi wamempongeza kwa maamuzi ya kijasiri.
Lakini watanzania sasa wamejua kuwa kiwango cha elimu yake kinaweza kuwa ndo sababu ya kuzungumza hovyo kuunga mkono ufisadi kwa kuwatetea mafisadi na kujaribu kuwakandamiza wanaoupinga ufisadi. Saa imefika kwa uongozi wa CCM kufanya uchunguzi (take stock) uwezo wa makada na viongozi wa CCM ktk ngazi mbali mbali. Haiingii akilini katika zama hizi kuwa na mwenyekiti wa CCM katika mkoa kuwa amekomea darasa la saba.
Vyama vyote viangalie visije vikaweka watu wenye elimu duni na upeo mfinyu, tusije tukaipeleka nchi pabaya.
Lakini watanzania sasa wamejua kuwa kiwango cha elimu yake kinaweza kuwa ndo sababu ya kuzungumza hovyo kuunga mkono ufisadi kwa kuwatetea mafisadi na kujaribu kuwakandamiza wanaoupinga ufisadi. Saa imefika kwa uongozi wa CCM kufanya uchunguzi (take stock) uwezo wa makada na viongozi wa CCM ktk ngazi mbali mbali. Haiingii akilini katika zama hizi kuwa na mwenyekiti wa CCM katika mkoa kuwa amekomea darasa la saba.
Vyama vyote viangalie visije vikaweka watu wenye elimu duni na upeo mfinyu, tusije tukaipeleka nchi pabaya.