Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
hii kauli klopp hakuisema 2015..aliisema mwanzo wa msimu wake mpya akiwa anaongezewa mkataba akasaini miaka 6 huku akiwa amekaa Liverpool kwa miezi kadhaa tu...alivyosign mwaka 2016 ndio akaahidi miaka 4 ya kujenga tim na atakua ameshinda taji ndani ya miaka hio
Aliisema kwenye interview yake ya kwanza kabla hata hajaanza mazoezi.
Rudi YouTube utazame.