GSM wanapigana kuinusuru Yanga lakini level za Manji bado hawajafika. Pole yao

Hongera sana mkuu huenda ukawa mchambuzi chipukizi. Kinachowaumiza ni hicho tu,simba ikishinda wanalala wakiwaza na kuumia mioyo yao
Yanga hii ya Sasa inacheza mpira wa kiwango kizuri Sana kupita enzi za Manji.
Tatizo lao ni Moja tu wanalinganisha matokeo yao na matokeo ya Simba. Simba ikishinda nao wanataka washinde, hilo ndilo tatizo lao. Mkwasa alitakiwa awe kocha mkuu wa Yanga. Anauwezo mkubwa wa kuhamasisha wachezaji kucheza katika kiwango cha Juu.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli mdhamini mpya wa club ya Yanga anajitahidi sana kutimiza majukumu yake lakini kuna sehemu bado hajafika na sidhani kama atafika.

Yanga ilipata mafanikio chini ya Manji sababu ya ununuzi wa mechi na siyo juhudi zao uwanjani, ndiyo maana game za ndani walikuwa ni kupiga tu ila akitoka nje anapigwa na hafiki popote.

Tunachoshukuru kwa sasa Yanga wanacheza kwa uwezo wao wote wa uwanjani na matokeo yanaotokea siyo kocha mbovu au kikosi kibovu ila hapo ndiyo mwisho wao.

Asante sana hakuna marefu yasiyo na ncha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo Simba hawanunui na kupulizia vyumba dawa

kilicho akilini kitumie
 
Lini umeona Mo anafanya uhuni wa Manji?
Mtu anajenga uwanja,anatoa pesa kuleta wataalam waliobobea kuanzia menegement hadi benchi la ufundi,timu ikafanya vema Afrika,na inazidi kufanya vzr kuanzia mtandaoni,hadi ndani ya uwanja..utalinganisha na manji aliyejua kushinda hata kwa goli la mkono?
Manji meondoka sasa amekuja Mo kuua soka la Tanzania.Sasa tufanyeje maana soka letu likisimama nchale,likikaa nchale

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ni ukweli ulio wazi kabisa kwamba Yanga walibebwa kupindukia enzi za malinzi.Malinzi ni mmoja wapo wa watu wa hovyo kabisa kuwahi kuongoza TFF.

Sasa hivi yanga wana haha licha ya kuendelea kubebwa wakifikiri walichokuwa wakipanga gizani wakati ule huenda sasa na Simba wanafanya vile.

Lakini ukiangalia mpira tu utaona ukweli maana mpira ni mchezo wa wazi,hakuna cha longo longo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba niwakumbushe chini ya manji yanga imefika hatua ya makundi shirikisho mara mbili mfululizo

Halafu mnaosema yanga saizi inacheza game nzuri kuliko chini ya manji hivi mliangalia game ya al ahly vs yanga kule misri

Yanga ya saizi haijafikia hata nusu ya uwezo wa yanga ya manji
Kama kununua match ina maana hata simba waliwauzia match yanga? Mana na wao walikuwa wanafungwa tu na yanga ya Manji
 
Mkuu umemaliza kabisa mpira uko wazi kila mtu anaona
Na ni ukweli ulio wazi kabisa kwamba Yanga walibebwa kupindukia enzi za malinzi.Malinzi ni mmoja wapo wa watu wa hovyo kabisa kuwahi kuongoza TFF.

Sasa hivi yanga wana haha licha ya kuendelea kubebwa wakifikiri walichokuwa wakipanga gizani wakati ule huenda sasa na Simba wanafanya vile.

Lakini ukiangalia mpira tu utaona ukweli maana mpira ni mchezo wa wazi,hakuna cha longo longo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom