njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,661
Waambieni kwamba kisinda alikuja kwa mkopo toka sa vita hamjamuuza kwenda morroco kauzwa na wakala wake ,hivi hizo biashara zenu na as vita zimejaa uongo uongo tu ,
Dujma shaban ilitakiwa mummpe usd 45,000 dollars kabla ya kumtangaza mkampa 25,000 usd kisha mkamtangaza kakaksirika na kurudisha hela naye pi anaenda Moroco.
Mkatudanganya eti anauzwa usd 500,000 kisa snitch la GSM liitwalo Manara lilipost, hata beki mpya wa Simba anyejiita Varanae kasajiliwa kwaa usd 35,000 huko Congo nako ni njaa tu
HELA ZA KISINDA ZA USAJILI ZIMEENDA KWA WAKALA WAKE.
Nna mnavyosema replacement yake ni mkali kuliko yeye jiulize kwanini Ibenge asimchukue huyo sasa, jinga kabisa
MWISHO NI KWENU TEAM YANGU YA SIMBA NA NYIE ACHENI AUONGO BANDA KASAJILIWA KWA MILIONI 70 SIYO USD 300,000 HIVI MNATUONAJE LAKINI NYIE IULA ATLEAST BANDA ANAPOKEA 11,000,000 A MONTH KISINDA NA MUKOKO WANAKUNJA 6,000,000 UTOPOLONI
Dujma shaban ilitakiwa mummpe usd 45,000 dollars kabla ya kumtangaza mkampa 25,000 usd kisha mkamtangaza kakaksirika na kurudisha hela naye pi anaenda Moroco.
Mkatudanganya eti anauzwa usd 500,000 kisa snitch la GSM liitwalo Manara lilipost, hata beki mpya wa Simba anyejiita Varanae kasajiliwa kwaa usd 35,000 huko Congo nako ni njaa tu
HELA ZA KISINDA ZA USAJILI ZIMEENDA KWA WAKALA WAKE.
Nna mnavyosema replacement yake ni mkali kuliko yeye jiulize kwanini Ibenge asimchukue huyo sasa, jinga kabisa
MWISHO NI KWENU TEAM YANGU YA SIMBA NA NYIE ACHENI AUONGO BANDA KASAJILIWA KWA MILIONI 70 SIYO USD 300,000 HIVI MNATUONAJE LAKINI NYIE IULA ATLEAST BANDA ANAPOKEA 11,000,000 A MONTH KISINDA NA MUKOKO WANAKUNJA 6,000,000 UTOPOLONI