Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,929
- 7,268
Wakuu wapenzi wa michezo na burudani na wasalimu kwa jina la kanuni na sheria za mpira.
Leo tarehe 07/12/2021 nimeona mijadala mingi mitandaoni inayohusu udhamini wa GSM na TFF ambao bado kisheria ni mkataba usio fuata taratibu za michezo kama zinavyooainishwa kuanzia FIFA na CAF na hata sheria za ndani za hao TFF na bodi ya ligi haziruhusu hu ujinga unaondelea.
Kingine mechi ya derby inakaribia afu TFF inakuja na ujinga ili kuivuruga timu moja (simba sc), hili halikubaliki na simba ina watu makini poleni. Narudia tena poleni (utopolo)
GSM ni mdhamini wa yanga na ndiye anasambaza jezj za utopwinyo, hivi hawa TFF na bodi ya ligi wanatumia sheria zipi ikiwa hizo walizo nazo wanashindwa kuzitambua? Yaani uweke ADIDAS na NIKE/PUMA/UMBRO kwenye jezi moja. Ni aibu gani hii kama taifa?
Ujumbe kwa TFF. jueni sisi ndio simba wakali wa kanuni na sheria tulimpiga utopwinyo huko CAS kwa Morrison sasa round hii itakua kubwa kuliko maana naona GSM anahangaika kutafuta tiketi ya kumrudisha utopwinyo ligi daraja la 2.
Nawasisitizia, simba ina watu makini.
Mwisho nawakumbusha utopwinyo time will tell.
Leo tarehe 07/12/2021 nimeona mijadala mingi mitandaoni inayohusu udhamini wa GSM na TFF ambao bado kisheria ni mkataba usio fuata taratibu za michezo kama zinavyooainishwa kuanzia FIFA na CAF na hata sheria za ndani za hao TFF na bodi ya ligi haziruhusu hu ujinga unaondelea.
Kingine mechi ya derby inakaribia afu TFF inakuja na ujinga ili kuivuruga timu moja (simba sc), hili halikubaliki na simba ina watu makini poleni. Narudia tena poleni (utopolo)
GSM ni mdhamini wa yanga na ndiye anasambaza jezj za utopwinyo, hivi hawa TFF na bodi ya ligi wanatumia sheria zipi ikiwa hizo walizo nazo wanashindwa kuzitambua? Yaani uweke ADIDAS na NIKE/PUMA/UMBRO kwenye jezi moja. Ni aibu gani hii kama taifa?
Ujumbe kwa TFF. jueni sisi ndio simba wakali wa kanuni na sheria tulimpiga utopwinyo huko CAS kwa Morrison sasa round hii itakua kubwa kuliko maana naona GSM anahangaika kutafuta tiketi ya kumrudisha utopwinyo ligi daraja la 2.
Nawasisitizia, simba ina watu makini.
Mwisho nawakumbusha utopwinyo time will tell.