Acha watu wapige pesa.Yes anafanya jambo jema kwa mpira wa miguu, ila kinachoonekana sasaa katika board yao of directors aidha kuna utoto mwingi au kuna ujinga mwingi.
Maneno ya wakosaji.Mwambieni Mo nae aweke hela kumbuka GSM ni tajiri kweli kweli fuatilia usimuliwe habari zake.MfanoYes anafanya jambo jema kwa mpira wa miguu, ila kinachoonekana sasaa katika board yao of directors aidha kuna utoto mwingi au kuna ujinga mwingi.
Umemaliza kila kitu mkuu.Maneno ya wakosaji.Mwambieni Mo nae aweke hela kumbuka GSM ni tajiri kweli kweli fuatilia usimuliwe habari zake.Mfano
Wanamiliki visima vya mafuta vya kutosha uko uarabuni na
Baba yake Mzazi yuko huko.
Anadhamini ligi kuu,Anadhamini ligi daraja la kwanza,Anadhamini ligi kuu Zanzibar,atakuwa mdhamini wa kombe la Mapinduzi Zanzibar hapa sijuhi Simba mtakwepa wapi vinginevyo msishiriki mjitoe Na kwa Taarifa tu mambo lukuki ya GSM yanakuja hapa Mimi Nafikiri mshaurine Tapeli ya kihindi nae aweke mzigo zaidi.Niwape umbea tu hiyo mechi ya Jumamosi wachezaji wameaidiwa donge nono haijawahi kutokea katika soka la Tanzania.
Kwa hali hii GSM anavyotumia pesa mjiandae kisaikolojia Usajiri wa dirisha dogo,Chama na wengineo kwenda Jangwani kwani hela si tatizo
Kumbuka mpira pesa bila pesa hakuna kitu ndiyo maana Mo yuko Simba kwa uwekezaji ingawaje ni utapeli mwingiMwache amwage mzigo ila ubingwa atausoma kwenye gazeti.
Mkuu we ni yanga😁😂Kumbuka mpira pesa bila pesa hakuna kitu ndiyo maana Mo yuko Simba kwa uwekezaji ingawaje ni utapeli mwingi
Mkuu bila. Shaka we pia ni yanga😅😂Umemaliza kila kitu mkuu.
Wewe ni simba 🤭🤓Mwache amwage mzigo ila ubingwa atausoma kwenye gazeti.
Hawa Simba bado hawajamjua GSM vizuri, mpaka wavishwe dela ndio wataamini mambo yamebadilika.Maneno ya wakosaji.Mwambieni Mo nae aweke hela kumbuka GSM ni tajiri kweli kweli fuatilia usimuliwe habari zake.Mfano
Wanamiliki visima vya mafuta vya kutosha uko uarabuni na
Baba yake Mzazi yuko huko.
Anadhamini ligi kuu,Anadhamini ligi daraja la kwanza,Anadhamini ligi kuu Zanzibar,atakuwa mdhamini wa kombe la Mapinduzi Zanzibar hapa sijuhi Simba mtakwepa wapi vinginevyo msishiriki mjitoe Na kwa Taarifa tu mambo lukuki ya GSM yanakuja hapa Mimi Nafikiri mshaurine Tapeli ya kihindi nae aweke mzigo zaidi.Niwape umbea tu hiyo mechi ya Jumamosi wachezaji wameaidiwa donge nono haijawahi kutokea katika soka la Tanzania.
Kwa hali hii GSM anavyotumia pesa mjiandae kisaikolojia Usajiri wa dirisha dogo,Chama na wengineo kwenda Jangwani kwani hela si tatizo
Yaani wezi kupitia home shopping center ndio wawe na visima arabuni? MwehManeno ya wakosaji.Mwambieni Mo nae aweke hela kumbuka GSM ni tajiri kweli kweli fuatilia usimuliwe habari zake.Mfano
Wanamiliki visima vya mafuta vya kutosha uko uarabuni na
Baba yake Mzazi yuko huko.
Anadhamini ligi kuu,Anadhamini ligi daraja la kwanza,Anadhamini ligi kuu Zanzibar,atakuwa mdhamini wa kombe la Mapinduzi Zanzibar hapa sijuhi Simba mtakwepa wapi vinginevyo msishiriki mjitoe Na kwa Taarifa tu mambo lukuki ya GSM yanakuja hapa Mimi Nafikiri mshaurine Tapeli ya kihindi nae aweke mzigo zaidi.Niwape umbea tu hiyo mechi ya Jumamosi wachezaji wameaidiwa donge nono haijawahi kutokea katika soka la Tanzania.
Kwa hali hii GSM anavyotumia pesa mjiandae kisaikolojia Usajiri wa dirisha dogo,Chama na wengineo kwenda Jangwani kwani hela si tatizo
Kuna timu inaishinda Azam kwa pesa,mbona wanapumulia oxgen?.Kumbuka mpira pesa bila pesa hakuna kitu ndiyo maana Mo yuko Simba kwa uwekezaji ingawaje ni utapeli mwingi
Simba wa mla Kabwili.Wewe ni simba
Yaani wezi kupitia home shopping center ndio wawe na visima arabuni? Mweh
Kiongozi kwanini uumie kwa pesa za watu?Yes anafanya jambo jema kwa mpira wa miguu, ila kinachoonekana sasaa katika board yao of directors aidha kuna utoto mwingi au kuna ujinga mwingi.