Mdugo
Member
- Nov 17, 2017
- 55
- 37
Jamani Mimi ni mwanafunzi... Na kwa sasa Niko katika harakati za kujifunza jinsi ya kutumia hiyo program ya computer.
Naomba kujua tatizo nini napoishia hapo katika operations zangu. Inakwamia hapo mda mrefu sana bila mafanikio yoyote.
Kwa mjuzi zaidi, naomba kujua shida huenda ikawa nini hapo.
Asante.
Naomba kujua tatizo nini napoishia hapo katika operations zangu. Inakwamia hapo mda mrefu sana bila mafanikio yoyote.
Kwa mjuzi zaidi, naomba kujua shida huenda ikawa nini hapo.
Asante.