42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
Kwenye impact ndogo gari ya kijapani utaikataa. Hili hata mimi nimeprove, Kuna Jeep grand cherokee inagongana na Toyota noah sr40, Ile jeep ilivunjika tu taa ya mbele upande wa dereva na mikwaruzo kidunchu.Hata yeye inawezekana alikuwa speed sana, barabarani kuna phycology yake,kuna watu fulani wenye aina fulani za magari huwa wanaamini sana magari yao mkuu kisa sio za kijapani,hawa ukikutana nao wanakuwa "Kiatu" sio cha nchi hii.(Speed)
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kilichotokea kwenye noah ni disaster. Iliminywa almost half of the engine compartment.