TANZIA Grivas Mwangoka afariki dunia kwa ajali ya Gari

Hata yeye inawezekana alikuwa speed sana, barabarani kuna phycology yake,kuna watu fulani wenye aina fulani za magari huwa wanaamini sana magari yao mkuu kisa sio za kijapani,hawa ukikutana nao wanakuwa "Kiatu" sio cha nchi hii.(Speed)


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwenye impact ndogo gari ya kijapani utaikataa. Hili hata mimi nimeprove, Kuna Jeep grand cherokee inagongana na Toyota noah sr40, Ile jeep ilivunjika tu taa ya mbele upande wa dereva na mikwaruzo kidunchu.

Kilichotokea kwenye noah ni disaster. Iliminywa almost half of the engine compartment.
 
Ford ranger ni Ford America, hizo Ford ranger ni franchise ya Ford uko South Africa. Quality yake siyo sawa na Ford ranger ya USA
Dunia ya sasa imejaa watu wavuvu sana hata simple research in case haijui jambo. Yani Kuna majamaa wanakuambia hiyo Ford Ranger ya UK, mwingine anasema ya Marekani as if Ranger ya Marekani inafanana na hizi makaratasi, mwingine anasema Japan 😃😃😃😃 full ujuaji ingali hawajataka hata kujisumbua kidogo japo kutafuta facts kwenye Google yao iliyowarahisishia mambo.

Kizazi hiki aisee. Anyway RIP mjasiriamali, naonea huruma waliobaki, familia, ndugu, majirani, marafiki, wafanyakazi and business partners.
 
Ana undugu wowote na marehemu mzee Enos Mwangoka wa Majengo Mbeya (mmoja wa anzilishi wa TANU kwa Mbeya)?
 
Madhara ya gari,angalia ilivyoisha.
Japo bado tunasubiria uchunguzi zaidi,ila lazima mwamba alikuwa anamimika hasa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
... na hasa ukute walikuwa na ligi barabarani; hakuna anayetaka kushindwa; kuoneshana umwamba. Nina Ranger utanipitaje na "matako ya nyani"; ukikutana na obstacle however small it is, hayo ndio majibu yake sawia - huchomoki! Tunalaumu sana tochi ila sometimes zinasadia ku--save life; tycoon huyu angekuwa ameokoa maisha yake na wote wanaomtegemena - familia, wafanyakazi, etc.
 
Kwenye impact ndogo gari ya kijapani utaikataa. Hili hata mimi nimeprove, Kuna Jeep grand cherokee inagongana na Toyota noah sr40, Ile jeep ilivunjika tu taa ya mbele upande wa dereva na mikwaruzo kidunchu.

Kilichotokea kwenye noah ni disaster. Iliminywa almost half of the engine compartment.
Sasa hiyo Ford sio mjapani na imeisha hivyo, jaribu kuvuta picha alikuwa anamwagikaje?
R.IP.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
... na hasa ukute walikuwa na ligi barabarani; hakuna anayetaka kushindwa; kuoneshana umwamba. Nina Ranger utanipitaje na "matako ya nyani"; ukikutana na obstacle however small it is, hayo ndio majibu yake sawia - huchomoki! Tunalaumu sana tochi ila sometimes zinasadia ku--save life; tycoon huyu angekuwa ameokoa maisha yake na wote wanaomtegemena - familia, wafanyakazi, etc.
Barabarani kuna ligi kali sana,hapa muda huu saizi kuna "Wamba" wanaumana huko.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hahahahhaa Mimi namshukuru MUNGU nimeshasaidia kuepusha ajali karibia nne au tano na ya mwisho ilikua mwezi uliopita, tumetoka Kahama na Coster, tumefika maeneo ya Bwawani kwa mbele kumbe dereva amesinzia aisee, hio ni saa kumi usiku. Nikamstua akarudi kwenye line. Akapata yale maeneji drinki tukasimama Chalinze kidogo
Hongera sn mkuu
 
Ni Mjasiriamali maafuru Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikua anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro.

Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM

Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe

View attachment 1851508

View attachment 1851509
poleni sana ndugu , jamaa na marafiki, Mke wa marehemu nampa pole maalum.
 
Kwenye impact ndogo gari ya kijapani utaikataa. Hili hata mimi nimeprove, Kuna Jeep grand cherokee inagongana na Toyota noah sr40, Ile jeep ilivunjika tu taa ya mbele upande wa dereva na mikwaruzo kidunchu.

Kilichotokea kwenye noah ni disaster. Iliminywa almost half of the engine compartment.
Htr sn
 
Back
Top Bottom