Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,255
- 6,893
Wewe unaendeshaga speed ngapi mkuuHii speed ilikuwa zaidi ya 100
Wewe unaendeshaga speed ngapi mkuuHii speed ilikuwa zaidi ya 100
hao watu mali zao wanazijua wao wenyewe kwakweli acha tu sio pombe wala nini ila kuna mengi yaaniKwa taarifa yako alikua sio mtu wa kilevi kabisa..... Yeye ni kazikazi aisee
Kwa research yangu isiyo rasmi matajir wengi wambeya wanakufa naajali zamagari wakiwa wao ndio madereva.hao watu mali zao wanazijua wao wenyewe kwakweli acha tu sio pombe wala nini ila kuna mengi yaani
shortcut hayo maeneo wanazipenda sana ndugu hiyo mbeya mjini nenda hadi huko mbozi mbozi ukiingia huko tunduma ndio usiseme yaani,Kwa research yangu isiyo rasmi matajir wengi wambeya wanakufa naajali zamagari wakiwa wao ndio madereva.
Mmiliki wa shule ya agrey(mwambusi) waligongwa akiwa namwanaye, mliki w hotel ya greencity aligongwa na Taqwa akiwa anatoka dar. Kutakua kunanamna
Eti Wana mkataba na MunguPoleni wafiwa. Daima tujitahidi kuwa waangalifu barabarani. Hizi alama za barabarani na speed meters kwenye vyombo vya usafiri si mapambo. Tunahitaji kuzifuata kwa umakini. Asilimia kubwa ya ajali zinatokana na uzembe wa wahusika. Vijana wengi ndo wanakuwa wahanga wa hizi ajali siku hizi...sijui ni ujana na jeuri ya pesa..Mwenye Mungu atusaidie. Nguvu ya kazi inapotea.
Mimi nikiwa barabarani siku zote najiuliza hizi speed za viongozi wa serikali..ni kwamba wao wana mkataba na Mungu? Its really unfortunate lakini inasikitisha sana.
Mwisho wa siku ukiondoka, si wewe tena, ni wale wategemezi wako. Tuache ubinafsi. Siku zote tutambue kwamba matendo na maamuzi yetu yana impact kubwa kwa wengine kuliko sisi. Imagine mshua kama huyu atakuwa na watoto under 10s...na biashara ambazo ilikuwa inategemewa na makumi kama siyo mamia....sad.
Apumzike kwa amani ndugu yetu Full dose. Familia yake, wafanyakazi wake na mke wake, nawapa pole maalumu kwa huu msiba.
RIPNi Mjasiriamali maarufu Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikuwa anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro.
Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM
Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe
View attachment 1851508
View attachment 1851509