Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 3,816
- 8,452
Greta Thunberg ni Mwanaharakati mtoto wa mazingira na madiliko ya tabia nchi anayefuta maono ya yaliyozungumzwa na Raisi wa kwanza wa Tanzania JK Nyerere miaka zaidi ya ishirini iliyopita, na ni wakati hata Greta mwenyewe hajazaliwa.
Huyu mtoto mdogo anapigania utunzaji wa mazingira duniani na kulinda rasilimali asilia za dunia kuharibiwa na mataifa makubwa duniani yenye uchu wa kutumia rasilimali za asili kujitajirisha na kujilimbikizia maendeleo huku wakiacha uharibifu mkubwa wa mazingira na vyanzo vya rasilimali asilia.
Greta Thurberg hali nyama, na hapandi ndege na kuna wakati alisafiri na mashua ya upepo kutoka Sweden kwenda USA kuhudhuria mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu kulinda mazingira ili kuepusha mabadiliko ya tabia nchi yanayo sababisha majanga ya kiasili zaidi kwenye nchi masikini dunia.
Msikiliza JK Nyerere alisema nini zaidi ya miaka ishirini iliyopita
Huyu mtoto mdogo anapigania utunzaji wa mazingira duniani na kulinda rasilimali asilia za dunia kuharibiwa na mataifa makubwa duniani yenye uchu wa kutumia rasilimali za asili kujitajirisha na kujilimbikizia maendeleo huku wakiacha uharibifu mkubwa wa mazingira na vyanzo vya rasilimali asilia.
Greta Thurberg hali nyama, na hapandi ndege na kuna wakati alisafiri na mashua ya upepo kutoka Sweden kwenda USA kuhudhuria mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu kulinda mazingira ili kuepusha mabadiliko ya tabia nchi yanayo sababisha majanga ya kiasili zaidi kwenye nchi masikini dunia.
Msikiliza JK Nyerere alisema nini zaidi ya miaka ishirini iliyopita