Green world cancer care package/ cancer treatments/ matibabu ya cancer

TheThreatTr

JF-Expert Member
Mar 20, 2015
339
13
A new report from the International Agency for Research on Cancer (IARC ) Explores the global burden of cancer, which is poised to become the leading cause of death worldwide by 2010. World Health Organization (WHO ) Predicts that deaths from cancer worldwide are projected to continue rising, with an estimated 12 million deaths in 2030.

What are some general cancer signs and symptoms?,
you should know some of the general signs and symptoms of cancer. But remember, having any of these does not mean that you have cancer.......many other things cause these signs and symptoms, too. If you have any of these symptoms and they last for a long time or get worse, please see a doctor to find out what is going on.
Unexplained weight loss, Fever of unknown origin, Fatigue, skin color changes or itching....are some of the signs and symptoms....


SIGNS AND SYMPTOMS OF CERTAIN CANCERS:
Along with the general symptoms, you should watch for certain other common symptoms and signs which could suggest cancer, Again, these may be other causes for each of these, but it is important to see a doctor about them as soon as possible..

>Change in bowel or bladder habits, sores that do not heal.
>White patches inside the mouth or white spots on the tongue.
>Thickening or lump in the breast or other parts of the body.
>Unusual vaginal bleeding or discharge
>Indigestion or trouble swallowing, Recent change in a wart or mole or any new skin change
>Nagging cough or hoarseness.

WHAT ROLE PROPER NUTRITION PLAYS IN CANCER TREATMENT????...
Cancer patients find it even more important to eat right during treatment. Their dietary intakes can literally become a matter of life and death.
During these treatments the body is working unusually hard : fighting the cancer cells, and attending to the damage to health cells caused by the therapy by repairing and replacing already damaged cells. The strain of these combined tasks is considered, and the body requires a proportionally higher amount of nutrients just to maintain standard body functions.


GREEN WORLD CANCER CARE PACKAGE PREVENTION :
A). MULTI-VITAMIN TABLET
Doing the following functions in the body, which are;
1. Multi-Vitamin keeps the Norma metabolism and function of the body. Green world Multi-vitamins Tablet supply all the necessary vitamins required by body. Intake of this product every day can balance the vitamin supplement requirements fo both adults and children.

B). Zinc Tablet, doing the following;
1. Essential for optimal physical performance and energy levels.
2. For protein synthesis and proper function of red and white blood cells.
3. Participates in synthesize of more than 200 metalloprotease and nucleic acid.
4. Enhances immunity and accelerates wound healing.
5. Supports reproductive systems of men and women and helps with infertility.

C). BLUEBERRY JUICE; Has the following functions;
1. Relieves eye asthenopia, and improve eyesight.
2. Anti cancer properties.
3. Anti oxidation, relieves fatigue.
4. Protects the liver.

D). B-CAROTENE & LYCOPENE CAPSULE:
Do the following;
1. Supplements body with vitamin A.
2. Serves as a strong antioxidant which deactivates free radicals.
3. Prevents cancer, especially prostate cancer.
4. Prevents atherosclerosis through lowering blood lipids.


GREEN WORLD CANCER TREATMENT :
A). Garlic Oil softgel, do the following treatments,
1. Restrains and kills many kinds of pathogenic microorganisms with its anti microbial property.
2. A blood thinner that lowers blood cholesterol level.
3. prevents atherosclerosis and heart diseases caused by the same factor.
4. Protects cardiovascular and cerebral vascular systems with its property of lowering blood pressure.

Others are;
Ganoderma plus capsules, spirulina plus capsules, blueberry super nutrition,and Grape Seed Extract plus Capsules.
contact us through.
0654158574/0765353056/0684974811.
 
A new report from the International Agency for Research on Cancer (IARC ) Explores the global burden of cancer, which is poised to become the leading cause of death worldwide by 2010. World Health Organization (WHO ) Predicts that deaths from cancer worldwide are projected to continue rising, with an estimated 12 million deaths in 2030.

What are some general cancer signs and symptoms?,
you should know some of the general signs and symptoms of cancer. But remember, having any of these does not mean that you have cancer.......many other things cause these signs and symptoms, too. If you have any of these symptoms and they last for a long time or get worse, please see a doctor to find out what is going on.
Unexplained weight loss, Fever of unknown origin, Fatigue, skin color changes or itching....are some of the signs and symptoms....


SIGNS AND SYMPTOMS OF CERTAIN CANCERS:
Along with the general symptoms, you should watch for certain other common symptoms and signs which could suggest cancer, Again, these may be other causes for each of these, but it is important to see a doctor about them as soon as possible..

>Change in bowel or bladder habits, sores that do not heal.
>White patches inside the mouth or white spots on the tongue.
>Thickening or lump in the breast or other parts of the body.
>Unusual vaginal bleeding or discharge
>Indigestion or trouble swallowing, Recent change in a wart or mole or any new skin change
>Nagging cough or hoarseness.

WHAT ROLE PROPER NUTRITION PLAYS IN CANCER TREATMENT?...
Cancer patients find it even more important to eat right during treatment. Their dietary intakes can literally become a matter of life and death.
During these treatments the body is working unusually hard : fighting the cancer cells, and attending to the damage to health cells caused by the therapy by repairing and replacing already damaged cells. The strain of these combined tasks is considered, and the body requires a proportionally higher amount of nutrients just to maintain standard body functions.


GREEN WORLD CANCER CARE PACKAGE PREVENTION :
A). MULTI-VITAMIN TABLET
Doing the following functions in the body, which are;
1. Multi-Vitamin keeps the Norma metabolism and function of the body. Green world Multi-vitamins Tablet supply all the necessary vitamins required by body. Intake of this product every day can balance the vitamin supplement requirements fo both adults and children.

. Zinc Tablet, doing the following;
1. Essential for optimal physical performance and energy levels.
2. For protein synthesis and proper function of red and white blood cells.
3. Participates in synthesize of more than 200 metalloprotease and nucleic acid.
4. Enhances immunity and accelerates wound healing.
5. Supports reproductive systems of men and women and helps with infertility.

C). BLUEBERRY JUICE; Has the following functions;
1. Relieves eye asthenopia, and improve eyesight.
2. Anti cancer properties.
3. Anti oxidation, relieves fatigue.
4. Protects the liver.

D). B-CAROTENE & LYCOPENE CAPSULE:
Do the following;
1. Supplements body with vitamin A.
2. Serves as a strong antioxidant which deactivates free radicals.
3. Prevents cancer, especially prostate cancer.
4. Prevents atherosclerosis through lowering blood lipids.


GREEN WORLD CANCER TREATMENT :
A). Garlic Oil softgel, do the following treatments,
1. Restrains and kills many kinds of pathogenic microorganisms with its anti microbial property.
2. A blood thinner that lowers blood cholesterol level.
3. prevents atherosclerosis and heart diseases caused by the same factor.
4. Protects cardiovascular and cerebral vascular systems with its property of lowering blood pressure.

Others are;
Ganoderma plus capsules, spirulina plus capsules, blueberry super nutrition,and Grape Seed Extract plus Capsules.
contact us through.
0654158574/0765353056/0684974811.
 
kaka Deception kuja huku

Mleta mada yuko sahihi kabisa,tiba ya cancer siku zote ni nutritional supplements/vyakula bora ambazo zina virutubisho vyote muhimu ambavyo binadamu anatakiwa apate.Kama utafuatilia pia ule uzi wangu utaona kuna vitu vinafana.

-Swali la msingi la kujiuliza ili uelewe vizuri ni kwamba; Kwanini hapo mwanzo mtu hakuwa na cancer lakini baadaye anapata cancer?

-Jibu la msingi ni hili hapa; Kuna kitu kimepungua kwenye mwili wake au kuna kitu kigeni kisichohitajika kimeingia katika mwili wake au vyote kwa pamoja.

-Swali lingine; Ni kitu gani kimepungua kwenye mwili wake au ni kitu gani hatari kimeingia kwenye mwili wake kiasi cha kumfanya mtu apate cancer?Hapa ndipo kwenye elimu.

-Sasa ili utibu cancer lazima urudishe kilichopungua na kuondoa kile kigeni kilichoingia ambacho hakihitajiki na mwili.Hii ndio tiba halisi ya cancer inavyofanya.Huwezi kutibu cancer kwa kuuondoa uvimbe wa cancer pekee kwa kemikali za chemotherapy au Mionzi au surgery,njia hizi zimejikita katika kupunguza au kuondoa dalili tu za cancer.

Kumbuka,uvimbe wa cancer si cancer bali ni dalili ya cancer.Cancer ni kile kitu kilichosababisha uvimbe wa cancer.Ili utibu cancer lazima uhusike na sababu halisi iliyosababisha cancer yenyewe.Ndio maana watu husema cancer haitibiki,au husema cancer zilizokomaa hazitibiki.Cancer zote zinatibika bila kujali hatua ya cancer.Kama mtu atapata 'intensive care' kwa kupewa tiba sahihi atapona tu,kwa bahati mbaya sioni hili likifanyika kwenye hospitali yoyote ikiwemo Ocean Road Cancer Institute.

Uelewa wako ndio utakaokuponya na janga hili.
 
Mleta mada yuko sahihi kabisa,tiba ya cancer siku zote ni nutritional supplements/vyakula bora ambazo zina virutubisho vyote muhimu ambavyo binadamu anatakiwa apate.Kama utafuatilia pia ule uzi wangu utaona kuna vitu vinafana.

-Swali la msingi la kujiuliza ili uelewe vizuri ni kwamba; Kwanini hapo mwanzo mtu hakuwa na cancer lakini baadaye anapata cancer?

-Jibu la msingi ni hili hapa; Kuna kitu kimepungua kwenye mwili wake au kuna kitu kigeni kisichohitajika kimeingia katika mwili wake au vyote kwa pamoja.

-Swali lingine; Ni kitu gani kimepungua kwenye mwili wake au ni kitu gani hatari kimeingia kwenye mwili wake kiasi cha kumfanya mtu apate cancer?Hapa ndipo kwenye elimu.

-Sasa ili utibu cancer lazima urudishe kilichopungua na kuondoa kile kigeni kilichoingia ambacho hakihitajiki na mwili.Hii ndio tiba halisi ya cancer inavyofanya.Huwezi kutibu cancer kwa kuuondoa uvimbe wa cancer pekee kwa kemikali za chemotherapy au Mionzi au surgery,njia hizi zimejikita katika kupunguza au kuondoa dalili tu za cancer.

Kumbuka,uvimbe wa cancer si cancer bali ni dalili ya cancer.Cancer ni kile kitu kilichosababisha uvimbe wa cancer.Ili utibu cancer lazima uhusike na sababu halisi iliyosababisha cancer yenyewe.Ndio maana watu husema cancer haitibiki,au husema cancer zilizokomaa hazitibiki.Cancer zote zinatibika bila kujali hatua ya cancer.Kama mtu atapata 'intensive care' kwa kupewa tiba sahihi atapona tu,kwa bahati mbaya sioni hili likifanyika kwenye hospitali yoyote ikiwemo Ocean Road Cancer Institute.

Uelewa wako ndio utakaokuponya na janga hili.[/QUOTE
You're brave..........Thanks so much ndugu yangu
 
Mleta mada yuko sahihi kabisa,tiba ya cancer siku zote ni nutritional supplements/vyakula bora ambazo zina virutubisho vyote muhimu ambavyo binadamu anatakiwa apate.Kama utafuatilia pia ule uzi wangu utaona kuna vitu vinafana.

-Swali la msingi la kujiuliza ili uelewe vizuri ni kwamba; Kwanini hapo mwanzo mtu hakuwa na cancer lakini baadaye anapata cancer?

-Jibu la msingi ni hili hapa; Kuna kitu kimepungua kwenye mwili wake au kuna kitu kigeni kisichohitajika kimeingia katika mwili wake au vyote kwa pamoja.

-Swali lingine; Ni kitu gani kimepungua kwenye mwili wake au ni kitu gani hatari kimeingia kwenye mwili wake kiasi cha kumfanya mtu apate cancer?Hapa ndipo kwenye elimu.

-Sasa ili utibu cancer lazima urudishe kilichopungua na kuondoa kile kigeni kilichoingia ambacho hakihitajiki na mwili.Hii ndio tiba halisi ya cancer inavyofanya.Huwezi kutibu cancer kwa kuuondoa uvimbe wa cancer pekee kwa kemikali za chemotherapy au Mionzi au surgery,njia hizi zimejikita katika kupunguza au kuondoa dalili tu za cancer.

Kumbuka,uvimbe wa cancer si cancer bali ni dalili ya cancer.Cancer ni kile kitu kilichosababisha uvimbe wa cancer.Ili utibu cancer lazima uhusike na sababu halisi iliyosababisha cancer yenyewe.Ndio maana watu husema cancer haitibiki,au husema cancer zilizokomaa hazitibiki.Cancer zote zinatibika bila kujali hatua ya cancer.Kama mtu atapata 'intensive care' kwa kupewa tiba sahihi atapona tu,kwa bahati mbaya sioni hili likifanyika kwenye hospitali yoyote ikiwemo Ocean Road Cancer Institute.

Uelewa wako ndio utakaokuponya na janga hili.

You are so brave!,............tunaangamia kwa kukosa maarifa, Asante
 
cancer wanakufa watu wakubwa wenye jina wakina steven jobs,hugo chaves na wengine cancer utatibu kwa nutrition, kweli huelewa ni mdogo pia tambua cancer is not a single disease pia kutumia herbs hukana maana kwamba utapona rahasha inasaidia kupunguza gharama za dawa za cancer kutokana zipo juu sana pia kuna baadhi ya dawa za cancer zina strong side effect hivyo hushauliwa watumia nutrition supplement kuna dawa zingine hazipatikani kwa hurahisi hivyo mpadala wake ndio watumie herbs NB: hautapona
 
cancer wanakufa watu wakubwa wenye jina wakina steven jobs,hugo chaves na wengine cancer utatibu kwa nutrition, kweli huelewa ni mdogo pia tambua cancer is not a single disease pia kutumia herbs hukana maana kwamba utapona rahasha inasaidia kupunguza gharama za dawa za cancer kutokana zipo juu sana pia kuna baadhi ya dawa za cancer zina strong side effect hivyo hushauliwa watumia nutrition supplement kuna dawa zingine hazipatikani kwa hurahisi hivyo mpadala wake ndio watumie herbs NB: hautapona

Wewe nilishawahi kukushauri,ili uwe daktari mzuri inabidi uwe mdadisi sana wa masuala kama haya ambayo yako nje ya mainstream medicine.

Sasa angalia,hujui historia ya cancer ya Steve Jobs,pia hujui kwa nini Hugo Chaves alipata cancer,mambo haya yanahitaji udadisi na uelewa mkubwa kabla ya kuja kwenye sayansi ya cancer yenyewe.Kuna uzi mmoja niliwahi kueleza yote haya likiwamo na suala la cancer ya Steve Jobs,watu wamekosa akili ya kuhoji kabisa,wana fikra za kupinga tu,sielewi ni kwanini.Historia ya tiba za cancer imeanza zamani sana na hasa miaka ya 1890,wewe hujui hili,ukijua historia hii ndio utajua kwa nini watu kama wewe mnajua cancer haina tiba,pia utajua kwa nini watu kama wewe mnajua tiba pekee ya cancer ni chemo,radiation na surgery.Usichukulie mambo kirahisi,wakati wewe unapinga,huku watu wanapona cancer kila siku nje ya mainstream medicine.

Kwa mfano nikikuuliza swali dogo tu kwamba;'unafikiri Steve Jobs angeendelea kuishi milele duniani kwa kuwa yeye ni maarufu sana na ana fedha nyingi?,au lazima angekufa?na kama lazima angekufa,je angekufa kwa kitu gani?

Ondoa fikra za kupinga na ujifunze kudadisi kama kweli unataka kuwa daktari mzuri.
 
Wewe nilishawahi kukushauri,ili uwe daktari mzuri inabidi uwe mdadisi sana wa masuala kama haya ambayo yako nje ya mainstream medicine.

Sasa angalia,hujui historia ya cancer ya Steve Jobs,pia hujui kwa nini Hugo Chaves alipata cancer,mambo haya yanahitaji udadisi na uelewa mkubwa kabla ya kuja kwenye sayansi ya cancer yenyewe.Kuna uzi mmoja niliwahi kueleza yote haya likiwamo na suala la cancer ya Steve Jobs,watu wamekosa akili ya kuhoji kabisa,wana fikra za kupinga tu,sielewi ni kwanini.Historia ya tiba za cancer imeanza zamani sana na hasa miaka ya 1890,wewe hujui hili,ukijua historia hii ndio utajua kwa nini watu kama wewe mnajua cancer haina tiba,pia utajua kwa nini watu kama wewe mnajua tiba pekee ya cancer ni chemo,radiation na surgery.Usichukulie mambo kirahisi,wakati wewe unapinga,huku watu wanapona cancer kila siku nje ya mainstream medicine.

Kwa mfano nikikuuliza swali dogo tu kwamba;'unafikiri Steve Jobs angeendelea kuishi milele duniani kwa kuwa yeye ni maarufu sana na ana fedha nyingi?,au lazima angekufa?na kama lazima angekufa,je angekufa kwa kitu gani?

Ondoa fikra za kupinga na ujifunze kudadisi kama kweli unataka kuwa daktari mzuri.

swala la kufa linajulikana anaweza kufa kwa ajali au jambo lingine ninachopinga ni kwamba huwezi tibu cancer kwa herbs wala japo kuwa kuna some studies zinasema hivyo ila hakuna dawa ambayo ipo scientifically proved kwamba ni effective katika cancer yapo maneno mengi yanongelewa kuhusu cancer (misconception) lakini ukienda experimental medicine inakataa pia haya maneno ya kwenye mitandao yanapotosha watu sana ukijua ukweli utaona hivi vitu ni vya kipuuzi maana ukweli uko wazi hao wanaosema ukienda nao maabara hawawezi kuprove just theory usijikite sana upande mmoja ukiona vitu kama hivi mtafute na mtaalamu wa afya nae akueleze yake then pima utaona ukweli ni upi
 
swala la kufa linajulikana anaweza kufa kwa ajali au jambo lingine ninachopinga ni kwamba huwezi tibu cancer kwa herbs wala japo kuwa kuna some studies zinasema hivyo ila hakuna dawa ambayo ipo scientifically proved kwamba ni effective katika cancer yapo maneno mengi yanongelewa kuhusu cancer (misconception) lakini ukienda experimental medicine inakataa pia haya maneno ya kwenye mitandao yanapotosha watu sana ukijua ukweli utaona hivi vitu ni vya kipuuzi maana ukweli uko wazi hao wanaosema ukienda nao maabara hawawezi kuprove just theory usijikite sana upande mmoja ukiona vitu kama hivi mtafute na mtaalamu wa afya nae akueleze yake then pima utaona ukweli ni upi

Wewe bado uko nyuma sana,sikushangai sana kwa kuwa mfumo wa mainstream medicine ndivyo ulivyo,madaktari wengi walio kwenye mfumo huu wameshakuwa mind controlled na hawawezi kukubali kirahisi kile ambacho kinaenda tofauti na walichojifunza.

Ndio maana nilikwambia ufuatilie vizuri historia ya western medicine kuanzia mwaka 1890's na mwaka 1910 utaelewa nina maana gani,hayo yote unayosema ni matokeo ya mfumo huo,si rahisi wewe ukafiri tofauti na hapo mpaka utakapoamua kufanya tafiti nje ya hapo,hiki ni kitu ambacho kwako ni kigumu kukifanya.

1.'hakuna dawa ambayo ipo scientifically proved kwamba ni effective katika cancer':
Hapa sitakulaumu sana kwakua ndivyo ulivyofundishwa,wewe/ninyi mnajua kwamba NIH,AMA,CDC,FDA za Marekani zinazo 'enforce' sheria za afya dunianiani kwa kutumia chombo chao cha UN,yaani WHO ndio wanaohusika na kuthibitisha kama dawa fulani ni 'effective' au la.Wewe unajua kwamba nje ya NIH,AMA,CDC,FDA na WHO hakuna dawa iliyothibitishwa/effective kutibu cancer.Nakusikitikia sana,ninakushauri USOME nje ya kile ulichojifunza darasani.

2.'wanaosema ukienda nao maabara hawawezi kuprove':
Narudia tena,SOMA,fanya utafiti wako binafsi.

3.'usijikite sana upande mmoja':
Wewe ndiye unayejikita upande mmoja,mimi najua kwamba chemo na radiation ni kweli zinaua seli za cancer ila hasara zake ni kubwa kuliko faida kwa kuwa;

a/.Zinasababisha 'future cancer' kwa kuathiri seli nyingine za mwili zenye afya zinazo 'multiply' kwa kasi kama seli za cancer,

b/.Zinasababisha upungufu wa kinga(AIDS/UKIMWI) kwa kudumaza kinga ya mwili kwa kuua seli zenye afya,ndio maana wanaopata tiba hizi hunyonyoka nywele kama wale wanaotumia ARVs,

c/.Husababisha matatizo mengine lukuki ambayo siwezi kutaja yote kama maumivu ya mifupa,kuharisha,upungufu wa damu nk,

d/.Zinaua seli za cancer lakini haziondoi/haziui kile kinachosababisha seli za cancer kutokea,kwa kifupi,zinaondoa dalili tu za cancer,

Muulize mtaalam yeyote wa cancer hasa pale ORCI atakwambia hivihivi,mimi nimefanikiwa kudadisi/kutafiti upande wa mainstream medicine katika suala hili,Je,wewe umefanya utafiti kuhusu tiba mbadala au nje ya mainstream medicine kama mimi nilivyofanya?

Je,unajua kwamba kwenye mainstream medicine ukitumia hiyo chemotherapy na high dose ya vitami C unapona cancer kwa haraka sana lakini huwa haifanyiki hivyo mahospitalini?Unajua kwamba high dose ya vitamin C inaondoa side effects za chemotherapy?SOMA.

Mimi najua tiba gani nje ya maistream ni effective kwenye cancer,pia najua kwamba kuna kemikali/dawa ndani ya mainstream ukizitumia kwa pamoja huwa ni very very affective kutibu cancer lakini huwa hazitumiki.Najua tiba za cancer ndani ya mainstream na nje ya maintream.Sasa wewe na mimi ni nani amejikita upande mmoja?SOMA.
 
Wewe nilishawahi kukushauri,ili uwe daktari mzuri inabidi uwe mdadisi sana wa masuala kama haya ambayo yako nje ya mainstream medicine.

Sasa angalia,hujui historia ya cancer ya Steve Jobs,pia hujui kwa nini Hugo Chaves alipata cancer,mambo haya yanahitaji udadisi na uelewa mkubwa kabla ya kuja kwenye sayansi ya cancer yenyewe.Kuna uzi mmoja niliwahi kueleza yote haya likiwamo na suala la cancer ya Steve Jobs,watu wamekosa akili ya kuhoji kabisa,wana fikra za kupinga tu,sielewi ni kwanini.Historia ya tiba za cancer imeanza zamani sana na hasa miaka ya 1890,wewe hujui hili,ukijua historia hii ndio utajua kwa nini watu kama wewe mnajua cancer haina tiba,pia utajua kwa nini watu kama wewe mnajua tiba pekee ya cancer ni chemo,radiation na surgery.Usichukulie mambo kirahisi,wakati wewe unapinga,huku watu wanapona cancer kila siku nje ya mainstream medicine.

Kwa mfano nikikuuliza swali dogo tu kwamba;'unafikiri Steve Jobs angeendelea kuishi milele duniani kwa kuwa yeye ni maarufu sana na ana fedha nyingi?,au lazima angekufa?na kama lazima angekufa,je angekufa kwa kitu gani?

Ondoa fikra za kupinga na ujifunze kudadisi kama kweli unataka kuwa daktari mzuri.

Wewe bado uko nyuma sana,sikushangai sana kwa kuwa mfumo wa mainstream medicine ndivyo ulivyo,madaktari wengi walio kwenye mfumo huu wameshakuwa mind controlled na hawawezi kukubali kirahisi kile ambacho kinaenda tofauti na walichojifunza.

Ndio maana nilikwambia ufuatilie vizuri historia ya western medicine kuanzia mwaka 1890's na mwaka 1910 utaelewa nina maana gani,hayo yote unayosema ni matokeo ya mfumo huo,si rahisi wewe ukafiri tofauti na hapo mpaka utakapoamua kufanya tafiti nje ya hapo,hiki ni kitu ambacho kwako ni kigumu kukifanya.

1.'hakuna dawa ambayo ipo scientifically proved kwamba ni effective katika cancer':
Hapa sitakulaumu sana kwakua ndivyo ulivyofundishwa,wewe/ninyi mnajua kwamba NIH,AMA,CDC,FDA za Marekani zinazo 'enforce' sheria za afya dunianiani kwa kutumia chombo chao cha UN,yaani WHO ndio wanaohusika na kuthibitisha kama dawa fulani ni 'effective' au la.Wewe unajua kwamba nje ya NIH,AMA,CDC,FDA na WHO hakuna dawa iliyothibitishwa/effective kutibu cancer.Nakusikitikia sana,ninakushauri USOME nje ya kile ulichojifunza darasani.

2.'wanaosema ukienda nao maabara hawawezi kuprove':
Narudia tena,SOMA,fanya utafiti wako binafsi.

3.'usijikite sana upande mmoja':
Wewe ndiye unayejikita upande mmoja,mimi najua kwamba chemo na radiation ni kweli zinaua seli za cancer ila hasara zake ni kubwa kuliko faida kwa kuwa;

a/.Zinasababisha 'future cancer' kwa kuathiri seli nyingine za mwili zenye afya zinazo 'multiply' kwa kasi kama seli za cancer,

b/.Zinasababisha upungufu wa kinga(AIDS/UKIMWI) kwa kudumaza kinga ya mwili kwa kuua seli zenye afya,ndio maana wanaopata tiba hizi hunyonyoka nywele kama wale wanaotumia ARVs,

c/.Husababisha matatizo mengine lukuki ambayo siwezi kutaja yote kama maumivu ya mifupa,kuharisha,upungufu wa damu nk,

d/.Zinaua seli za cancer lakini haziondoi/haziui kile kinachosababisha seli za cancer kutokea,kwa kifupi,zinaondoa dalili tu za cancer,

Muulize mtaalam yeyote wa cancer hasa pale ORCI atakwambia hivihivi,mimi nimefanikiwa kudadisi/kutafiti upande wa mainstream medicine katika suala hili,Je,wewe umefanya utafiti kuhusu tiba mbadala au nje ya mainstream medicine kama mimi nilivyofanya?

Je,unajua kwamba kwenye mainstream medicine ukitumia hiyo chemotherapy na high dose ya vitami C unapona cancer kwa haraka sana lakini huwa haifanyiki hivyo mahospitalini?Unajua kwamba high dose ya vitamin C inaondoa side effects za chemotherapy?SOMA.

Mimi najua tiba gani nje ya maistream ni effective kwenye cancer,pia najua kwamba kuna kemikali/dawa ndani ya mainstream ukizitumia kwa pamoja huwa ni very very affective kutibu cancer lakini huwa hazitumiki.Najua tiba za cancer ndani ya mainstream na nje ya maintream.Sasa wewe na mimi ni nani amejikita upande mmoja?SOMA.

Hello Brother, I'm so thankful for your time and what you're are trying to make sure citizens and other people to understand, bravo, excellent bro,.please would you contact me by 0654158574/0765353056 if you won't mind!!
 
Wewe bado uko nyuma sana,sikushangai sana kwa kuwa mfumo wa mainstream medicine ndivyo ulivyo,madaktari wengi walio kwenye mfumo huu wameshakuwa mind controlled na hawawezi kukubali kirahisi kile ambacho kinaenda tofauti na walichojifunza.

Ndio maana nilikwambia ufuatilie vizuri historia ya western medicine kuanzia mwaka 1890's na mwaka 1910 utaelewa nina maana gani,hayo yote unayosema ni matokeo ya mfumo huo,si rahisi wewe ukafiri tofauti na hapo mpaka utakapoamua kufanya tafiti nje ya hapo,hiki ni kitu ambacho kwako ni kigumu kukifanya.

1.'hakuna dawa ambayo ipo scientifically proved kwamba ni effective katika cancer':
Hapa sitakulaumu sana kwakua ndivyo ulivyofundishwa,wewe/ninyi mnajua kwamba NIH,AMA,CDC,FDA za Marekani zinazo 'enforce' sheria za afya dunianiani kwa kutumia chombo chao cha UN,yaani WHO ndio wanaohusika na kuthibitisha kama dawa fulani ni 'effective' au la.Wewe unajua kwamba nje ya NIH,AMA,CDC,FDA na WHO hakuna dawa iliyothibitishwa/effective kutibu cancer.Nakusikitikia sana,ninakushauri USOME nje ya kile ulichojifunza darasani.

2.'wanaosema ukienda nao maabara hawawezi kuprove':
Narudia tena,SOMA,fanya utafiti wako binafsi.

3.'usijikite sana upande mmoja':
Wewe ndiye unayejikita upande mmoja,mimi najua kwamba chemo na radiation ni kweli zinaua seli za cancer ila hasara zake ni kubwa kuliko faida kwa kuwa;

a/.Zinasababisha 'future cancer' kwa kuathiri seli nyingine za mwili zenye afya zinazo 'multiply' kwa kasi kama seli za cancer,

b/.Zinasababisha upungufu wa kinga(AIDS/UKIMWI) kwa kudumaza kinga ya mwili kwa kuua seli zenye afya,ndio maana wanaopata tiba hizi hunyonyoka nywele kama wale wanaotumia ARVs,

c/.Husababisha matatizo mengine lukuki ambayo siwezi kutaja yote kama maumivu ya mifupa,kuharisha,upungufu wa damu nk,

d/.Zinaua seli za cancer lakini haziondoi/haziui kile kinachosababisha seli za cancer kutokea,kwa kifupi,zinaondoa dalili tu za cancer,

Muulize mtaalam yeyote wa cancer hasa pale ORCI atakwambia hivihivi,mimi nimefanikiwa kudadisi/kutafiti upande wa mainstream medicine katika suala hili,Je,wewe umefanya utafiti kuhusu tiba mbadala au nje ya mainstream medicine kama mimi nilivyofanya?

Je,unajua kwamba kwenye mainstream medicine ukitumia hiyo chemotherapy na high dose ya vitami C unapona cancer kwa haraka sana lakini huwa haifanyiki hivyo mahospitalini?Unajua kwamba high dose ya vitamin C inaondoa side effects za chemotherapy?SOMA.

Mimi najua tiba gani nje ya maistream ni effective kwenye cancer,pia najua kwamba kuna kemikali/dawa ndani ya mainstream ukizitumia kwa pamoja huwa ni very very affective kutibu cancer lakini huwa hazitumiki.Najua tiba za cancer ndani ya mainstream na nje ya maintream.Sasa wewe na mimi ni nani amejikita upande mmoja?SOMA.

iko hivi labda unakosea kuelewa hawajasema vitamin C high dose ukitumia unapona cancer bali inasida kidogo since inaweza kuwa combined na chemotherapy au radiotherapy ambayo isingekuwa effective sana kama ungetumia peke yake either chemotherapy au radiotherapy pia Treatment with high-dose vitamin C slowed the growth and spread of prostate, pancreatic, liver, colon, malignant mesothelioma, neuroblastoma, and other types of cancer cells na sio kupuna soma vizuri ni some studies wanasema hivyo akisema cure haina maana lazima upone inaweza kuwa functional cure ambayo huponi ila imesaidia pia vitamin c haiwezi kutumika mahospitalini sababu haijawa proved na mamlaka husika kama FDA na zingine sababu dietary supplements are regulated as foods, not as drugs, FDA approval is not required unless specific claims about disease prevention or treatment are made pia ina side-effect pita hapa ona madhara yake http://www.mayoclinic.org/drugs-supplements/vitamin-c/safety/hrb-20060322 sidhani kama unajua maana halisi ya kufanya utafiti kwenye maswala ya afya la kwanza lazima uwe na pesa za kutosha za kufanya utafiti ambazo lazima ufadhiliwe na taasisi kama gates and melinds' foundation sasa ww unafanya utafiti uko chini ya nn au taasisi gani vifaa unapata wapi wakati ukiwa unataka kufanya utafiti lazima huombe pesa za kununulia vifaa kwa ajili ya utafiti ambazo ni pesa nyingi tuu usidanganye watu kuwa ww unafanya utafiti labda kama wa maneno hata kuandika report huwezi paper gani umepublish achana na story za mitandaoni huwezi kujua cancer indeep kama ww sio oncologist unasoma juujuu tu kwenye mitandao unaanza kubishana so shame ndio maana rahisi kudanganya sababu hata cancer yenyewe huiju vizuri ukiambia tu manchungwa yanatibu cancer unakubali wakati hata mechanism ya chungwa hujui na sijui wapi unapata ujasili wa kubishana au kuzungumzia vitu ambavyo havipo kwenye taaluma yako
 
iko hivi labda unakosea kuelewa hawajasema vitamin C high dose ukitumia unapona cancer bali inasida kidogo since inaweza kuwa combined na chemotherapy au radiotherapy ambayo isingekuwa effective sana kama ungetumia peke yake either chemotherapy au radiotherapy pia Treatment with high-dose vitamin C slowed the growth and spread of prostate, pancreatic, liver, colon, malignant mesothelioma, neuroblastoma, and other types of cancer cells na sio kupuna soma vizuri ni some studies wanasema hivyo akisema cure haina maana lazima upone inaweza kuwa functional cure ambayo huponi ila imesaidia pia vitamin c haiwezi kutumika mahospitalini sababu haijawa proved na mamlaka husika kama FDA na zingine sababu dietary supplements are regulated as foods, not as drugs, FDA approval is not required unless specific claims about disease prevention or treatment are made pia ina side-effect pita hapa ona madhara yake http://www.mayoclinic.org/drugs-supplements/vitamin-c/safety/hrb-20060322 ...

Nimeikata sehemu ya chini ya post yako kwa kuwa iko kimipasho zaidi.

Nilishakwambia mwanzo kwamba wanufaika wa mambo haya ndio haohao unaowaegemea wewe kwenye tafiti zao,nikuuliza utafiti huo umefanywa na nani tutarudi kulekule kama nilivyokueleza mwanzo.

Mfano hapo juu,unazungumzia FDA,nilishakwambia hili pia,unarudia tena.Pia unawajua wamiliki wa Mayo Clinic wewe?Yaani ndugu yangu una knowldge nyepesi sana,jitahidi kidogo kutoka nje ya system utajua mengi sana.Hujui hata kwa nini hiyo vitamin C haijawa proven na FDA,wewe unachojua ni kwamba haijawa proven kwasababu ulizoambiwa,je,unajua kwamba watu wanaotumia ARVs hufa kwa side effects za ARVs pekee na si HIV,na bado ARVs zimekuwa proven kutumika hadi leo hii?Kama utazungumzia side effects ninaweza kukutajia rundo la dawa zinazoua,sio tu side effect,bali zinaua.Hiyo vitamin C haiko hivyo kama hao miungu wako wanavyosema.

Tafuta kwenye mitandao utajua sababu halisi kwanini vitamin C imekuwa supressed.Nakurahisishia,mfuatilie Dr.Thomas Levy hapa chini akielezea kwanini vitamin C imekuwa supressed.

https://www.youtube.com/watch?v=z1kD3BolXnE

Pia kuna madaktari wengi nje ya mainstream wanatumia hiyo vitamin C kutibu cancer in real life,sio nadharia.Mfano mfuatilie Dr.Leonard Coldwell.Najua ni ngumu,lakini jitahidi kidogo kwenye nje ya system utajua tu.

Pia fahamu kwamba kuthibitisha tafiti zilizofanywa na wengine nao ni utafiti pia.Kwa mfano kama mtu akikwambia kwamba Baking soda, blackstrap molases na wheatgrass juice vinatibu cancer na wewe ukajaribu na ukafanikiwa kutibu cancer,je,kuna kikubwa zaidi ya hicho.Wewe ukisikia utafiti basi akili yako yote imejikita katika gates foundations and the like.Kwanza hujui hata hao gates foundation kama wanakuathiri hata wewe katika maisha yako,unachojua ni kwamba wanatoa fund kwenye tafiti tu.

''Uvimbe wa kansa sio kansa,bali ni dalili ya kansa",ukimuuliza mtaalam yeyote wa pale ORCI atakwambia kwamba uvimbe wa kansa ndio kansa yenyewe,kama huamini nenda kaulize wewe mwenyewe,huu pia ni utafiti.Na hivi ndivyo walivyofundishwa,na wale waliotoa mafunzo haya wana maana kubwa sana,na ndio maana ninyi mnaiona kansa kama ni ugonjwa ambao ni complicated sana wakati si hivyo.Ndio maana mnaelekeza mionzi kwenye uvimbe mkidhani kwamba ndio kansa yenyewe,ndio maana mnafanya upasuaji kuondoa uvimbe kwa kuwa mnadhani kwamba uvimbe ndio kansa.Ukija huku kwetu utajua siri ya kansa,ukishajua utajicheeka sana.

Kansa ni ugonjwa rahisi sana kuutibu kuliko hata malaria,ni proper nutrition tu,kwisha kazi.Sumu za chemo,upasuaji na radiation huondoa dalili tu,kansa inabaki palepale,ndio maana kansa hurudi tena baada ya mgonjwa kupata nafuu kwa muda fulani.
 
Back
Top Bottom