mwanamapinduko
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 178
- 41
Kuna jamaa yangu anaenda Mwanza kanipigia wametelekezwa kwenye basi hilo liloharibika huko nje ya mji wa Singida. Kondakta na dereva wamekimbia singida mjini. Wamejaribu kuomba msaada polisi bila mafanikio.