mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
hii urambo mwaka 1950
hiyo wanaoweza kuielewa ni Babyboomer generation tu.Hapa wahenga tu wanaweza, kuwatambua hawa
siwafahamu mkuu, hawa ni wahenga kutoka mirambo nimewaona mahala nikafurahi sana, viatu enzi hizo vilikuwa na thamani kama iphone 8
Hahahaha enzi hzo suruali wanavaa viongozi tu..siwafahamu mkuu, hawa ni wahenga kutoka mirambo nimewaona mahala nikafurahi sana, viatu enzi hizo vilikuwa na thamani kama iphone 8
Sio tu miaka hiyo kuja hadi elfu mbilihiyo urambo 1951, kupiga picha lilikuwa tukio kubwa zaidi ya fiesta.
hahahahaaa
Sio tu miaka hiyo kuja hadi elfu mbili
blame no body
Marehemu Samwel Sita kakosa hapo kweli? Au alikuwa mdogo bado?hiyo urambo 1951, kupiga picha lilikuwa tukio kubwa zaidi ya fiesta.
kapiga way alafu anasaa. Huyo wenda alikuwa kaka mkuu.Style ya nywele ya uyo jamaa mwenye kaptula kama Mzee wangu enzi zake.
kapiga way alafu anasaa. Huyo wenda alikuwa kaka mkuu.
mzee wako inaonekana alikuwa wa ukweli sana.
kazaliwa mwaka 42 hao watakuwa mabrother wake, lazima angewajua maana kijijini huwa watu wanajuana wote hasa yule aliyeenda shule ni maarufu kuliko hata diamond sasa.Marehemu Samwel Sita kakosa hapo kweli? Au alikuwa mdogo bado?
hahahaaInawezekana walikua mabishoo wa kipindi hicho, miaka ya 50 na 60.