Great thinkers, msaada kwenye tuta!!!

Menyous

Senior Member
Mar 17, 2009
136
42
Kuna mwanamke mmoja mujiriwa mahali fulani bosi wake amekuwa akimtaka kinguvu. Bibie baada ya kuchoshwa na kero hizo akamshitaki kwa kitengo husika, human capital, uchunguzi ukafanyika na kubainika ni kweli, jamaa akapangwa mbali na bibie. Haieleweki ni nini kilikuja kutokea ila baada ya muda jamaa akarudishwa tena na kuwekwa kitengo cha yule bibie kama boss wake tena!!! Jamaa akaendelea na usumbufu wake na vitisho kibao kwa yule mwanamke pamoja na kumtolea report na recommendation mbaya juu ya utendaji wake. Bibie akachukuliwa hatua za kinidhamu kwa makosa ambayo hakuyatenda (bali kutokana na report feki za yule boss aliyekwisha wahi thibitika kuwa na ufataki kwa huyo dada).

Sasa waungwana, mnamshauri nini huyu mwanadada, mahusiano na boss hataki, human capital imefumbia macho vitendo vya huyo bwana raia wa kigeni kisa ni 'expertriate' na ati anamchango mkubwa kiutendaji!!

Nina amini wengi wameshakutwa na mkasa walau unaofanana na huu, either directly-wenyewe au indirectly-wake zao, dada zao, watoto wao, mama zao, wadogoz zao.

Ushaurizii tafadhali!!!
 
Atafute ushauri wa kisheria. Manake anunue huduma za mwanasheria mapema kabla maji hayajazidi unga.
 
Kuna mwanamke mmoja mujiriwa mahali fulani bosi wake amekuwa akimtaka kinguvu. Bibie baada ya kuchoshwa na kero hizo akamshitaki kwa kitengo husika, human capital, uchunguzi ukafanyika na kubainika ni kweli, jamaa akapangwa mbali na bibie. Haieleweki ni nini kilikuja kutokea ila baada ya muda jamaa akarudishwa tena na kuwekwa kitengo cha yule bibie kama boss wake tena!!! Jamaa akaendelea na usumbufu wake na vitisho kibao kwa yule mwanamke pamoja na kumtolea report na recommendation mbaya juu ya utendaji wake. Bibie akachukuliwa hatua za kinidhamu kwa makosa ambayo hakuyatenda (bali kutokana na report feki za yule boss aliyekwisha wahi thibitika kuwa na ufataki kwa huyo dada).

Sasa waungwana, mnamshauri nini huyu mwanadada, mahusiano na boss hataki, human capital imefumbia macho vitendo vya huyo bwana raia wa kigeni kisa ni 'expertriate' na ati anamchango mkubwa kiutendaji!!

Nina amini wengi wameshakutwa na mkasa walau unaofanana na huu, either directly-wenyewe au indirectly-wake zao, dada zao, watoto wao, mama zao, wadogoz zao.

Ushaurizii tafadhali!!!


Menyous:

Whats the use of this now? Naona kama vile ni too-late!

Ukitazama hiyo nyekundu, huyo dada tayari amethibitika

kuwa na ufataki na huyu dada, sasa imekuwaje hamtaki

tena?, unless kama unamaanisha vingine, au kama mimi

sijui maana ya ufataki!
 
Atafute ushauri wa kisheria. Manake anunue huduma za mwanasheria mapema kabla maji hayajazidi unga.


...mkuu, kwa ninavyoijua nchi yangu...kesi za sexual harassments bado sana kutiliwa uzito, na hata adhabu zake huenda hazimtishii hata kunguru...

TAMWA ingekuwa na meno kidooogo tungeona mabadiliko.
Bibie akubali kushindwa tu, aombe uhamisho/abadilishe ajira,
kama ana roho ngumu basi awakodishe makachero wa Globalpublisherz wamu -'Utamu' huyo kigogo!
 
...mkuu, kwa ninavyoijua nchi yangu...kesi za sexual harassments bado sana kutiliwa uzito, na hata adhabu zake huenda hazimtishii hata kunguru...

TAMWA ingekuwa na meno kidooogo tungeona mabadiliko.
Bibie akubali kushindwa tu, aombe uhamisho/abadilishe ajira,
kama ana roho ngumu basi awakodishe makachero wa Globalpublisherz wamu -'Utamu' huyo kigogo!


Kweli!! Hili naona swala!!! Wale jamaa hawachagui yenye nguo au tupu!! Yoyote waikutayo hutwangi!
 
Last edited:
Menyous:

Whats the use of this now? Naona kama vile ni too-late!

Ukitazama hiyo nyekundu, huyo dada tayari amethibitika

kuwa na ufataki na huyu dada, sasa imekuwaje hamtaki

tena?, unless kama unamaanisha vingine, au kama mimi

sijui maana ya ufataki!

kilicho maanishwa mkuu ni kuwa alishathibitika kumtaka ki mapenzi huyo binti ili hali ni assistant wake. Hawakuwahi kuwa pamoja kimapenzi. Upo??
 
Mwambie huyo dada ampe kitenesi huyo mzee kwa mara moja tu wala hamna noma kabisa!!
 
Hii habari ni ya upande mmoja tuu angalia kuliko upande wa pili kuna jambo halijakaa sawa hapa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom