Elections 2010 Great Thinker lets think Critically

Jamco_Za

JF-Expert Member
Jul 14, 2007
1,330
195
Uteuzi wa CCM kwenye kiti cha mkuu wa bunge unaweza kuwa ni nafuu kwa upinzani. Sisi hapa ni watu tunaofikiri beyond today, tuache kulalamika sana kuwa walioteuliwa watabana upinzani, what am saying hata angeteuliwa Chenge na uchafu wake wote na akawa Speaker then that was the responsibility ya upinzani kuturn hiyo mistake ya CCM kuwa opportunity yake. Let's cheers kama tunaipenda Tanzania na tungependa kuona maendeleo yake, let investigate every mistake ya utawala and turn it into opportunity bila kulalamika sana na kuonekana tunabwabwaja tu. Kama wapinzani wako serious and they need change then wangeomba chenge awe speaker kama ambavyo sasa hivi wanatakiwa wampigie Anna Abdallah kikongwe aliyestaafu na kurudi bila hodi, then use her weekeness kupata support ya wananchi. Tusiangalie upande mmoja wa matatizo, don't focus on problems focus on challenges and opportunity. Ushauri wangu kwa Dr. Slaa na Chadema kwa ujumla, msilalamike sana na matatizo ya CCM, rudini kwa wananchi muwaeleze matatizo hayo kwa busara vila vurugu, mna nafasi kubwa sana 5years mtazunguka nchi nzima na wananchi wote watawasikia na kufanya maamuzi sahihi. Ombeni CCM wakosee kwani hiyo ni nafasi ya pekee kwenu kudhibitisha kwa vitendo kuwa CCM hawafai kukaa madarakani. Kwa uongozi wa CCM nilimwambia Mh. Rais kwenye twitter, ombeni wapinzani waendelee kuwa wapiga kelele kama walivyo sasa badala ya kutake action, mtu anayepayuka sio mtendaji, mtendaji anafanya kimya kimya, ombeni wasiamke na kuanza Kampeni za 2015 leo wasubiri mpaka msajiri apulize kipenga nafikiri itakuwa July 2015 hiyo ndio salama yenu na hiyo itawafanya hata kama mnaibia wananchi wa wadanganyika kwa namna gani hakuna atakayewatoa madarakani si kwa amani au kwa mtutu wa bunduki. Kama kweli mnataka kuendelea kuwa madarakani hakikisheni wapinzani hawapati muda wa kufanya kampeni mapema, wala hamtakuwa na umuhimu wa kuwabia kura ili mshinde. Angalie mbele zaidi kwa kuexpect wananchi watauliza maswali gani wakati mnatafuta kura 2015 na jiandaeni na majibu kuanzia leo hii, mie binafsi nitawapa kura yangu kama mtajibu maswali yangu kabla sijayauliza. Ahsanteni
 
Uteuzi wa CCM kwenye kiti cha mkuu wa bunge unaweza kuwa ni nafuu kwa upinzani. Sisi hapa ni watu tunaofikiri beyond today, tuache kulalamika sana kuwa walioteuliwa watabana upinzani, what am saying hata angeteuliwa Chenge na uchafu wake wote na akawa Speaker then that was the responsibility ya upinzani kuturn hiyo mistake ya CCM kuwa opportunity yake. Let's cheers kama tunaipenda Tanzania na tungependa kuona maendeleo yake, let investigate every mistake ya utawala and turn it into opportunity bila kulalamika sana na kuonekana tunabwabwaja tu. Kama wapinzani wako serious and they need change then wangeomba chenge awe speaker kama ambavyo sasa hivi wanatakiwa wampigie Anna Abdallah kikongwe aliyestaafu na kurudi bila hodi, then use her weekeness kupata support ya wananchi. Tusiangalie upande mmoja wa matatizo, don't focus on problems focus on challenges and opportunity. Ushauri wangu kwa Dr. Slaa na Chadema kwa ujumla, msilalamike sana na matatizo ya CCM, rudini kwa wananchi muwaeleze matatizo hayo kwa busara vila vurugu, mna nafasi kubwa sana 5years mtazunguka nchi nzima na wananchi wote watawasikia na kufanya maamuzi sahihi. Ombeni CCM wakosee kwani hiyo ni nafasi ya pekee kwenu kudhibitisha kwa vitendo kuwa CCM hawafai kukaa madarakani. Kwa uongozi wa CCM nilimwambia Mh. Rais kwenye twitter, ombeni wapinzani waendelee kuwa wapiga kelele kama walivyo sasa badala ya kutake action, mtu anayepayuka sio mtendaji, mtendaji anafanya kimya kimya, ombeni wasiamke na kuanza Kampeni za 2015 leo wasubiri mpaka msajiri apulize kipenga nafikiri itakuwa July 2015 hiyo ndio salama yenu na hiyo itawafanya hata kama mnaibia wananchi wa wadanganyika kwa namna gani hakuna atakayewatoa madarakani si kwa amani au kwa mtutu wa bunduki. Kama kweli mnataka kuendelea kuwa madarakani hakikisheni wapinzani hawapati muda wa kufanya kampeni mapema, wala hamtakuwa na umuhimu wa kuwabia kura ili mshinde. Angalie mbele zaidi kwa kuexpect wananchi watauliza maswali gani wakati mnatafuta kura 2015 na jiandaeni na majibu kuanzia leo hii, mie binafsi nitawapa kura yangu kama mtajibu maswali yangu kabla sijayauliza. Ahsanteni
Sote tunajua kuwa Chenge alikuwa "decoy". Mteule wa mafisadi kwenye Uspika ni Anna Makinda. Huyu hata alipokuwa Naibu Spika akipata nafasi alikuwa analiendesha Bunge kwa kuwanyima fursa au kuwaingiliingilia wapinzani wakiwa wanatoa hoja zao. Huo ndio utakuwa mwendelezo kwenye Bunge jipya kama Makinda atakuwa Spika. Lakini mimi nakubaliana na Jamco-za kuwa hiyo ni fursa kwa wapinzani kupambana ndani ya Bunge. Itatupa nafasi kuona kama wale wabunge wa CCM wanaojiita wapambanaji na ufisadi ni wakweli au ni viini macho. Kama ni kweli tutaona kama wataunga mkono misimamo ya kichama au watajipambanua.
 
Uteuzi wa CCM kwenye kiti cha mkuu wa bunge unaweza kuwa ni nafuu kwa upinzani. Sisi hapa ni watu tunaofikiri beyond today, tuache kulalamika sana kuwa walioteuliwa watabana upinzani, what am saying hata angeteuliwa Chenge na uchafu wake wote na akawa Speaker then that was the responsibility ya upinzani kuturn hiyo mistake ya CCM kuwa opportunity yake. Let's cheers kama tunaipenda Tanzania na tungependa kuona maendeleo yake, let investigate every mistake ya utawala and turn it into opportunity bila kulalamika sana na kuonekana tunabwabwaja tu. Kama wapinzani wako serious and they need change then wangeomba chenge awe speaker kama ambavyo sasa hivi wanatakiwa wampigie Anna Abdallah kikongwe aliyestaafu na kurudi bila hodi, then use her weekeness kupata support ya wananchi. Tusiangalie upande mmoja wa matatizo, don't focus on problems focus on challenges and opportunity. Ushauri wangu kwa Dr. Slaa na Chadema kwa ujumla, msilalamike sana na matatizo ya CCM, rudini kwa wananchi muwaeleze matatizo hayo kwa busara vila vurugu, mna nafasi kubwa sana 5years mtazunguka nchi nzima na wananchi wote watawasikia na kufanya maamuzi sahihi. Ombeni CCM wakosee kwani hiyo ni nafasi ya pekee kwenu kudhibitisha kwa vitendo kuwa CCM hawafai kukaa madarakani. Kwa uongozi wa CCM nilimwambia Mh. Rais kwenye twitter, ombeni wapinzani waendelee kuwa wapiga kelele kama walivyo sasa badala ya kutake action, mtu anayepayuka sio mtendaji, mtendaji anafanya kimya kimya, ombeni wasiamke na kuanza Kampeni za 2015 leo wasubiri mpaka msajiri apulize kipenga nafikiri itakuwa July 2015 hiyo ndio salama yenu na hiyo itawafanya hata kama mnaibia wananchi wa wadanganyika kwa namna gani hakuna atakayewatoa madarakani si kwa amani au kwa mtutu wa bunduki. Kama kweli mnataka kuendelea kuwa madarakani hakikisheni wapinzani hawapati muda wa kufanya kampeni mapema, wala hamtakuwa na umuhimu wa kuwabia kura ili mshinde. Angalie mbele zaidi kwa kuexpect wananchi watauliza maswali gani wakati mnatafuta kura 2015 na jiandaeni na majibu kuanzia leo hii, mie binafsi nitawapa kura yangu kama mtajibu maswali yangu kabla sijayauliza. Ahsanteni

Please can you elaborate what is in Red:

Kulalamika sana....Unamaana gani haswa!!
 
Please can you elaborate what is in Red:

Kulalamika sana....Unamaana gani haswa!!

Mkuu mbona point yake ni rahisi kuielewa, maana yake adui muombee njaa, CCM wanapofanya makosa ya kizembe kama haya , sisi wapenda HAKI tunatakiwa tufurahi, sio kulalamika, kulalamika wanatakiwa walalamiakiane wenyewe wanaoipenda CCM, sasa basi hazitakiwi porojo, kinachotakiwa ni mpango mkakati wa kuhakikisha wabunge makini wa CCM wanampigia kura MARANDO, pia lazima CHADEMA ikae na CUF, iwaombe Cuf, msaada wa kuwaombea kura za wabunge wa Zanzibar. nasisitita hapa porojo na malalamiko sio mahali pake, leteni mikakati ya jinsi ya kushinda nafasi ya USPIKA. PERIOD
 
Back
Top Bottom