Gray Mgonja: Kufikishwa Mahakamani na matokeo yake

... lakini wakuu naomba kuuliza Mgonja ana kesi gani hasa?

Kwa mujibu wa tarifa za Mkuu Inv. bado haijajulikana kuna kesi gani. But as a clue ameweka stori moja ya This day ambayo inaeneleza kuwa Mgonja anaweza kuunganishwa kwenye moja ya hizi high profile cases. Ukilisoma lile bandiko unaweza kupata mwanga wa nini kitamkabili iwapo kweli atafikishwa mahakamani
 
Kila goti litapigwa. Na kama mataifa hisani yanashinikiza wanafunzi wasipewe mikopo na huduma za jamii zilipiwe bali katika usimamizi mambo kama haya lazima yawepo na mtu kula mvua ni jambo la kawaida.

Wasituletee ush*nzi kabisa! Nchi imesomesha sana wanasheria wengi BURE ambao hawajawahi kuonyesha matunda matatu ya tunu ya elimu zao. Hadi hawa waliosoma kwa mikopo wameamua kushinikiza underground na kuwaamsha kuwa zama za ndio mzee hawa waliosomeshwa bure kama vijisenti wakiwa hawana uchungu kabisa na maisha ya Watanganyika.

Let them enjoy the rest of their days in jails
 
More Updates,

Ulinzi zaidi umeongezwa mahakamani, askari zaidi wameongezwa, hii ni ishara kuna mtuhumiwa mkubwa analetwa hivi punde.
 
Oh yeah, the preponderant majority of the forum!

I mean, watu walikaribia kuandamana na mabango mitaani kumuomba arudi alipo boycott jamvi!

Kuhani,
Kuyumba kwa stock exchange vile vile kunategemea sentment za market; vile vile kuwepo kwa JF kunategemea sanaaaa kwa baadhi ya watu, we need FMES for it to be vibrant! "usitazame tu hoja zake, bali angalia imani yake kwa JF na patriotism aliyonayo"
 
More Updates,

Ulinzi zaidi umeongezwa mahakamani, askari zaidi wameongezwa, hii ni ishara kuna mtuhumiwa mkubwa analetwa hivi punde.

Habari kutoka Kisutu zinaeleza kuwa tayari Mgonja ameshafikishwa eneo la Mahakama, anasubiri kupandishwa kizimbani
 
More updates,

Mgonja inasemekana hayuko peke yake, walioambatana naye tutawafahamisha.
 
More updates,

Mgonja inasemekana hayuko peke yake, walioambatana naye tutawafahamisha.

Tanzania niitakayo. Everyone has to be responsible and accountable for their actions.

Kudos Slaa and company. Kudos JF kwa hatua iliyofikiwa.

Sheria ichukue mkondo wa kweli na isiwe danganya toto.
 
Kazi ipo ndani ya bongo ,wakuu tunashukuru kwa habari motomoto.Pilato akisoma tuhuma basi tupewe zikiwa ingali za moto.
 
more updates,

mgonja inasemekana hayuko peke yake, walioambatana naye tutawafahamisha.

we love jf... We love jf... We love jf... But wait!! Sometimes tunashindwa kufanya kazi sawasawa hasa siku kama ya leo

long live jf
 
Kesi ya Mgonja ni ile ile ya wakina Mramba.Alipelekewa barua jana na PCB kuwa aripoti ofisini kwao saa mbili asubuhi.Ni kweli kishafikishwa mahakamani.Hakuwa amejitayarisha kama wengi wanavyofikiri,jana baada ya kupata barua ndio akajua.Sasa hivi ndugu na jamaa wako mbioni kutafuta bail,lakini dalili zote zinaonyesha haitawezekana leo
 
God Bless Tanzania, this is so good, yaani 10 years back hamna kiongozi angeshitakiwa kwa wizi, kweli democracy inafanya kazi. Congrats to media na JF. na paparazi keep kufichua maavu, watu washikao vyeo wajue they work for the public, not public work for them

Ila tusubiri tuone kama kweli haki itatendeka maana hii inaweza ikawa danganya toto na pipi
 
Hakuwa amejitayarisha kama wengi wanavyofikiri,jana baada ya kupata barua ndio akajua.Sasa hivi ndugu na jamaa wako mbioni kutafuta bail,lakini dalili zote zinaonyesha haitawezekana leo

Nadhani wamemchelewsha makusudi kumfikisha mahakamani ili ashidwe kutimiz masharti ya dhamana na yeye akaonje keko angalau kwa siku moja
 
Back
Top Bottom