habari wadau.
najua humu kuna wataalamu wengi wa Information technology...
na hii ni digital era...internet imerahisisha mambo ndio maana kina facebook wakatajirika...
mtu kama uber tax yeye ametumia utaalamu wake wa IT na kufanya biashara ya tax dunia nzima bila kuwa na gari yake hata moja.. anatumia magari ya watu kuwadalalia na wateja na yeye kupiga hela huku hata oil hajui inauzwa bei gani..
kuna mahitaji mengi sana ya IT mitaani kuwanzia mafunzo.. ambayo ni hela pia maana humfundishi bure..
kutengeneza mifumo ya book keeping kwenye maduka, magenge, wauza chips ku keep records zao.. hapo hela nyingi zipo... ukawauzia mfumo kwa bei ndogo na kila mwezi ukawa unawachaji service fee kama 10,000 tu... hawawezi kataa kama mfumo wako unawarahisishia kazi zao
kutengeneza mtandao kama max na jamiiforums yake hapa.. napo naona unapiga hela nyingi za matangazo na adsense..
kutengeneza online tvs... etc...
najiulizaga graduates wa IT na wataalamu wa IT kwa nini wanalia njaa... au kulalamika hawana ajira huku laptops wanazo.. ambao kwa ndio mtaji tosha ukichanganya na ujuzi waliosomea vyuoni??
najua humu kuna wataalamu wengi wa Information technology...
na hii ni digital era...internet imerahisisha mambo ndio maana kina facebook wakatajirika...
mtu kama uber tax yeye ametumia utaalamu wake wa IT na kufanya biashara ya tax dunia nzima bila kuwa na gari yake hata moja.. anatumia magari ya watu kuwadalalia na wateja na yeye kupiga hela huku hata oil hajui inauzwa bei gani..
kuna mahitaji mengi sana ya IT mitaani kuwanzia mafunzo.. ambayo ni hela pia maana humfundishi bure..
kutengeneza mifumo ya book keeping kwenye maduka, magenge, wauza chips ku keep records zao.. hapo hela nyingi zipo... ukawauzia mfumo kwa bei ndogo na kila mwezi ukawa unawachaji service fee kama 10,000 tu... hawawezi kataa kama mfumo wako unawarahisishia kazi zao
kutengeneza mtandao kama max na jamiiforums yake hapa.. napo naona unapiga hela nyingi za matangazo na adsense..
kutengeneza online tvs... etc...
najiulizaga graduates wa IT na wataalamu wa IT kwa nini wanalia njaa... au kulalamika hawana ajira huku laptops wanazo.. ambao kwa ndio mtaji tosha ukichanganya na ujuzi waliosomea vyuoni??