kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 422
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka heshima kwako.
Mimi nimekulia maeneo hayo na kweli tuna connections nyingi na ulifanya vizuri kukubali ukaendelea.
Kuna ndugu zangu watoto wa mjomba na watu kama wa aina hiyo walituona kama tunajifanya wazungu na tunaringa na kwa kweli walidhani wametutenga kijamii.
Matokeo yake sasa imepita miaka 20 wanaona walifanya kosa la msingi kimaisha na wamepigika hawawezi kuchomoka kimaisha. Hawana elimu, hawana biashara hawana connections.
Wamekulia uswahilini na wanazeekea uswahilini.
Wao walidhani kujichanganya ni kutoka Oyster Bay kwenda kuchanganyika Manzese. Tena wakati ule walituia "mabishoo".
Baadhi ndiyo hawa wanaolialia humu mitandaoni na kulalamika kila jambo utadhani ulikuja duniani kuonewa.
Si kwamba sisi hatu
Graduates waliowahi kuishi Oysterbay na Masaki (au wanaoishi huko sasa tokea miaka ya nyuma) ni hazina kubwa ya taifa kwenye kipindi hichi cha ulimwengu wa utandawazi.
Wana human capital nzuri inayoweza kufanya kazi vizuri kwenye makampuni na taasisi mbali mbali za kitaifa na kimataifa.
Watoto wa hawa graduates ambao pia ni magraduates, pia ni hazina kubwa kwa taifa.
Hii ni kwa sababu wengi wa watu walioishi Oysterbay na Masaki tokea enzi za Nyerere walikuwa ni wale waliofaulu vizuri darasani.
Na pia walipata exposure nzuri ndani na nje ya nchi.
Watoto graduates wa hawa graduates (wa Oysterbay na Masaki) wameweza pia kujifunza mambo mbali mbali kutoka kwa wazazi wao.
Nashauri waajiriwe kwa wingi na kupewa nafasi nzuri nzuri. Tuwa support pia pale wanapojiajiri.
Hii pia ina apply kwa graduates wa maeneo kama Mikocheni.
Of course graduates hawa wa Oysterbay na Masaki wana mapungufu yao kama binadamu wengine.
Ililetwa historia ya Le -Mutuz kama utani katika majibizano kwenye thread hapa. Watu walifunguka na jina la mama yake na bank aliyofanya kazi na yeye alikuwa a son of single mother.Na Lemutuz nae kakulia O'bay ujue !!!!!!!
Ha ha haaaaa.....watoto wa ushuani hujiamini sana na ni rahisi kufanikiwa. ila hata wewe,kivwawa vwawa ichenjezya ni ushuani
Haya bibi tueleze wewe pamoja na babu Asprin mlikulia wapi?Ililetwa historia ya Le -Mutuz kama utani katika majibizano kwenye thread hapa. Watu walifunguka na jina la mama yake na bank aliyofanya kazi na yeye alikuwa a son of single mother.
Aliondoka kaka mkubwa na mpaka leo anakuja tu kuchungulia hapa.
Mimi Kwamtogole lakini nilikuwa mbishi J2 lazima niwahi English Mass St Peter’s. Enzi za Mwinyi ilikuwa poa tu lakini enzi za Mkapa unoko wa ulinzi wa rais ulizidi. Nikahamia St Immaculate Upanga.Haya bibi tueleze wewe pamoja na babu Asprin mlikulia wapi?
Wewe kidogo unanukianukia upeo wa palm na coco beach na pia unajitahiditahidi japo kingreza unaongeaongea ingawa ras simba nae anamchango wake Ila babu kama sio wa kwa mtogole basi buguruni malapa.
Maendeleo hayana chama
Daaahhhh kuuumbe lugha ya kikristu umejifunzia kanisaaaaaniMimi Kwamtogole lakini nilikuwa mbishi J2 lazima niwahi English Mass St Peter’s. Enzi za Mwinyi ilikuwa poa tu lakini enzi za Mkapa unoko wa ulinzi wa rais ulizidi. Nikahamia St Immaculate Upanga.
Glory to be tunaisema wote na Mtemi Chenge alafu ninapanda basi kurudi kwetu Kwamtogole.
Babu tulipata Kipaimara pamoja ila yeye J2 anakwenda kanisa lenye grocery pembeni.Daaahhhh kuuumbe lugha ya kikristu umejifunzia kanisaaaaani
Na joka la makengeza ndio lililokupa upako kwenye Glory to be,
Ila babu anaonekana kabisa ni mvaa kanzu kwa vijitabia vyake vya kiswahili swahili naona hata yai linampa shida au na yeye atakua na pi hech dii ya korosho.
Maendeleo hayana chama
Babu tulipata Kipaimara pamoja ila yeye J2 anakwenda kanisa lenye grocery pembeni.
Padri akisema nendeni kwa amani tu yeye ni mteja kwenye grocery.
Mimi wa mtaa wa chimara nakoment wapi?Tulioukulia mitaa ya Mirambo, Ohio, Luthuli, Samora,Garden, Shaaban Robert tunakoment wapi
Hakuna lolote . Wote hao tulikutana Azania na Tambaza kwa Wavulana,na wasichana pia waikutana zanaki,jangwani na kwinginekoGraduates waliowahi kuishi Oysterbay na Masaki (au wanaoishi huko sasa tokea miaka ya nyuma) ni hazina kubwa ya taifa kwenye kipindi hichi cha ulimwengu wa utandawazi.
Wana human capital nzuri inayoweza kufanya kazi vizuri kwenye makampuni na taasisi mbali mbali za kitaifa na kimataifa.
Watoto wa hawa graduates ambao pia ni magraduates, pia ni hazina kubwa kwa taifa.
Hii ni kwa sababu wengi wa watu walioishi Oysterbay na Masaki tokea enzi za Nyerere walikuwa ni wale waliofaulu vizuri darasani.
Na pia walipata exposure nzuri ndani na nje ya nchi.
Watoto graduates wa hawa graduates (wa Oysterbay na Masaki) wameweza pia kujifunza mambo mbali mbali kutoka kwa wazazi wao.
Nashauri waajiriwe kwa wingi na kupewa nafasi nzuri nzuri. Tuwa support pia pale wanapojiajiri.
Hii pia ina apply kwa graduates wa maeneo kama Mikocheni.
Of course graduates hawa wa Oysterbay na Masaki wana mapungufu yao kama binadamu wengine.
Mimi ni mmojawapo nilikulia Uzunguni Dodoma. Dodoma Hotel ilikuwa ni kawaida na ndio mara ya kwanza kuona sakafu ya mbao iking'aa. Dsm pia japo sikuwa Masaki au Oysterbay tuliishi sehemu nzuri tu na wazazi waliendelea kutupa exposure za Kilimanjaro Hotel etc. Ila very unfortunate hao unaowasema baadhi yao hawakupenda kusoma na hawakuendelea sana kimasomo. Hata hivyo naamini waliotokea chini ndio watalikomboa taifa hili kwani:Kimsingi wengi si waoga wana confidence.
Hawakupitia maisha ya inferiority complex ya kujiona daraja la chini au kuona kwamba wanaonewa kwa sababu ya hali yao duni.
Si lazima wote walifika ngazi za juu serikali au kwingine. Lakini kwa average hawaoni kigeni mjini.
Mtu aliona sinema za Jim Kerry, aliona Amithab Bacchan. Alienda outing kama Yatch Club, Dodoma Hotel, Mwanza yatch Club kimsingi ana uzoefu mjini.
Kuna mwingine ukimsimulia hayo wakati ndiyo maisha anakunja sura kana kwamba wewe ndiye ulitengeneza historia yake.
Tabu ni kwamba project za vijijini na ndiko kwenye kazi nyingi hawaziwezi. Wamekulia mjini.
Mfano neno kupunguza umasikini. Hawa umasikini hawaujui na wanausikia na hivyo hawafai katika eneo hili.
Sikutarajia topic kama hii. Ina ukweli lakini vumilia ukishambuliwa maana wengi walitoka madongo kwinama.
Maisha yalikuwa mazuri kweli, wakati huo nyimbo laini kina keith sweet, unazisikia kwenye zile nyumba ndogo wanaita servant kota, huko demu anaimbiwa analiwa hakuna kuomba smart phone wala nini, ..O'bay in the eighties and nineties, a place to remember.
Maisha yalikuwa mazuri kweli, wakati hu nyimbo laini kina keith sweet, unazisikia kwenye zile nyumba ndogo wanaita servant kota, huko demu anaimbiwa analiwa hakuna kuomba smart phone wala nini, ..
upandishe huo uzi mkuu niuone mana braza kile insta anapiga kelele vibaya sema nafwatilia page yake sabab anajiamin sanaIliletwa historia ya Le -Mutuz kama utani katika majibizano kwenye thread hapa. Watu walifunguka na jina la mama yake na bank aliyofanya kazi na yeye alikuwa a son of single mother.
Aliondoka kaka mkubwa na mpaka leo anakuja tu kuchungulia hapa.