Graduates waliowahi kuishi Oysterbay na Masaki (au wanaoishi huko sasa tokea miaka ya nyuma) ni hazina kubwa ya taifa kwenye kipindi hichi cha ulimwengu wa utandawazi.
Wana human capital nzuri inayoweza kufanya kazi vizuri kwenye makampuni na taasisi mbali mbali za kitaifa na kimataifa.
Watoto wa hawa graduates ambao pia ni magraduates, pia ni hazina kubwa kwa taifa.
Hii ni kwa sababu wengi wa watu walioishi Oysterbay na Masaki tokea enzi za Nyerere walikuwa ni wale waliofaulu vizuri darasani.
Na pia walipata exposure nzuri ndani na nje ya nchi.
Watoto graduates wa hawa graduates (wa Oysterbay na Masaki) wameweza pia kujifunza mambo mbali mbali kutoka kwa wazazi wao.
Nashauri waajiriwe kwa wingi na kupewa nafasi nzuri nzuri. Tuwa support pia pale wanapojiajiri.
Hii pia ina apply kwa graduates wa maeneo kama Mikocheni.
Of course graduates hawa wa Oysterbay na Masaki wana mapungufu yao kama binadamu wengine.
Wana human capital nzuri inayoweza kufanya kazi vizuri kwenye makampuni na taasisi mbali mbali za kitaifa na kimataifa.
Watoto wa hawa graduates ambao pia ni magraduates, pia ni hazina kubwa kwa taifa.
Hii ni kwa sababu wengi wa watu walioishi Oysterbay na Masaki tokea enzi za Nyerere walikuwa ni wale waliofaulu vizuri darasani.
Na pia walipata exposure nzuri ndani na nje ya nchi.
Watoto graduates wa hawa graduates (wa Oysterbay na Masaki) wameweza pia kujifunza mambo mbali mbali kutoka kwa wazazi wao.
Nashauri waajiriwe kwa wingi na kupewa nafasi nzuri nzuri. Tuwa support pia pale wanapojiajiri.
Hii pia ina apply kwa graduates wa maeneo kama Mikocheni.
Of course graduates hawa wa Oysterbay na Masaki wana mapungufu yao kama binadamu wengine.