Graduates wa kisasa kukaa home.. Kodi gharama au allergy ya kujitegemea?

Gharama za maisha kila cku zinapanda m2 anaona kuliko aanze kufikiria mara atakula nini, mara hajasafisha choo, mara luku inaisha at midnight na mengne mengi anaona bora 2 akae nyumbni ambapo hatozwi chochote, nadhan hyo ndo sababu kubwa, kujtegemea co vu uzima au ndo umekua coz kuna watoto wapo o level wanajtegemea, kwahyo ni katika 2 kutaka kupumguza ukali wa maisha

yaani huo ni uvivu wa akili, halafu wanawake wanaongoza kwa kukomalia homu. Choo unataka akusafishie nani? Ndio utajua maisha yakoje. Nikuendeleza utoto uzeeni. Na wengine wanazalia hapohapo home. Familia ndani ya familia?
 
Dah! Kazi ipo hapa!! Its true kuna wengine wanabahati wazee wana majumba ambayo kiukweli ni mali ya mzee kiasi kwamba kwenda kutafuta chumba kwingine bora umuungishe mzee....lakini kuna hawa vijana ambao wapo kwa dada/shemeji, shangazi, bamdogo/bamkubwa n.k nao wanang'ang'ania hapo! Face challenges ili upate akili dogo....ohhoo!
 
akili ya kujenga niliipata baada ya kupanga sinza.....unalipia nyumba kama unanunua mgodi???thanks God niko kwangu.....
 
Back
Top Bottom