Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Ila tusifiche na mimi nimekuwa nikichukua mabinti wa IFM several times ni wazuri katika utendaji wao wa kazi.Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?