"Graduates" karibuni sana mtaani

wiseman734, Hili ulilosema nimelishuhudia baada ya kuhitimu,nilikaa benchi miaka mitatu na kuna watu walinambia ni michache nashukuru Mungu maisha yanaanza kuelekea pazuri sasa.Cha msingi ni kutafuta fursa(ya halali)na kuishughulia kwani hata mimi nilishawahi kufanya kazi ya elfu 5000 kwa siku.Wasikate tamaa na vishawishi vipo vingi mitaani.
 
Mbna watu mkiambiwa ukwel mnawaka? Kuna watu wana degree ila ni walinz na wanalipwa 100000 per month nyie kitaa mnapachukulia poa sana eti
Kwahiyo inabidi tukomae tusomee degree za ulinzi, inaonekana ajira zipo nje nje
 
Vijana ukweli ni kuwa soko la ajira ni gumu sana inabidi muwe tayari na kupitia kipindi kigumu. Mimi nakumbuka nilipata sehemu ya kujishikiza nalipwa elf 40 kwa wiki mwaka 2008 sasa fikiria nauli,kula,nilipie umeme na maji geto...halafu nyumba niliyokuwa nmepanga kuna panya wanakula mpk sox huachi chakula wasipite nacho.

Nilikuwa nanunua ile mikate mikubwa kubana matumizi ikabidi nifunge kamba ndani kama naanika nguo vile lkn natundika mkate ili panya wasiule. Leo hii mtu akiona tumetoka kimaisha anaona labda njia ilikuwa rahisi.

Muwe wavumilivu tu mambo yatajipa taratibu mpk itafika muda bank zinakufuata zenyewe zikukopeshe
 
Vijana ukweli ni kuwa soko la ajira ni gumu sana inabidi muwe tayari na kupitia kipindi kigumu. Mimi nakumbuka nilipata sehemu ya kujishikiza nalipwa elf 40 kwa wiki mwaka 2008 sasa fikiria nauli,kula,nilipie umeme na maji geto...halafu nyumba niliyokuwa nmepanga kuna panya wanakula mpk sox huachi chakula wasipite nacho.

Nilikuwa nanunua ile mikate mikubwa kubana matumizi ikabidi nifunge kamba ndani kama naanika nguo vile lkn natundika mkate ili panya wasiule. Leo hii mtu akiona tumetoka kimaisha anaona labda njia ilikuwa rahisi.

Muwe wavumilivu tu mambo yatajipa taratibu mpk itafika muda bank zinakufuata zenyewe zikukopeshe
Sawa kaka ushauri konkii
 
Be positive mkuu usitumie njia yako uliyo pitia kujudge njia za wengine kama wewe ume hustle kitaa ni wewe mkuu pambana na hali yako hahah
Ukweli lazima waambiwe hata kama ni mchungu. Watoto wa wanyonge ndo wataisoma vizuri.
 
Hili ulilosema nimelishuhudia baada ya kuhitimu,nilikaa benchi miaka mitatu na kuna watu walinambia ni michache nashukuru Mungu maisha yanaanza kuelekea pazuri sasa.Cha msingi ni kutafuta fursa(ya halali)na kuishughulia kwani hata mimi nilishawahi kufanya kazi ya elfu 5000 kwa siku.Wasikate tamaa na vishawishi vipo vingi mitaani.
Hongera kwa kuyashinda magumu yote Mungu akuzidishie wepesi
 
Ukweli mchungu ila ndo tiba sio kwamba wanawatisha umekuja kitaa ile ganzi ya chuo ishatoka huku ni rangi ingine kabisa pambana ivo ivo matokeo yanakuja ila mawili either kwa kuchelewa au kuwahi
 
Wakuu nawa sisitiza muwe positive jamani kila mtu ananjia yake ya kutoboa katika maisha...
Wewe mutoto ya chifu nini mkuu!

Mtaani kugumu usiwape moyo wadogo zetu. Naamini kuna ambao hawakaa saana ila ni wachache sana, wachache.

Wazee baba kitaa kugumu jipangeni.
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom