wiseman734
Senior Member
- Apr 29, 2018
- 137
- 210
Graduates jamani karibuni sana mtaani, mmetoka chuoni, mambo yanabadilika na kuwa tofauti, huku mtaani hakuna bumu, huku hakuna atakayekupa pocket money! Wengi wenu mna matumaini makubwa ya kupata kazi nzuri zenye mishahara minono
Lakn amini usiamini kuna kipindi itafika utatafuta tu sehemu ya kujitolea hautapata! Ni wakati ambao ndugu watakukwepa na kukukimbia kwa kukuona msumbufu, zile couple za chuoni mlizoahidiana ndoa zitavunjika, hakuna atakayekuthamini.
Utazunguka maeneo mengi saana ukatafuta kazi na hautapata. Wapo watakaoenda kwa waganga wa jadi kutafuta maisha mema!
Wadada watajibidiisha kutafuta wachumba na waume za watu, wengine watashikwa mikono na kupelekwa maofisini!
Wapo wazee ambao wako maofisini waajiriwa wa serikali wataambia mjiajiri.
Lakini niwaase ni kipindi cha kumtegemea MUNGU sana.
Lakn amini usiamini kuna kipindi itafika utatafuta tu sehemu ya kujitolea hautapata! Ni wakati ambao ndugu watakukwepa na kukukimbia kwa kukuona msumbufu, zile couple za chuoni mlizoahidiana ndoa zitavunjika, hakuna atakayekuthamini.
Utazunguka maeneo mengi saana ukatafuta kazi na hautapata. Wapo watakaoenda kwa waganga wa jadi kutafuta maisha mema!
Wadada watajibidiisha kutafuta wachumba na waume za watu, wengine watashikwa mikono na kupelekwa maofisini!
Wapo wazee ambao wako maofisini waajiriwa wa serikali wataambia mjiajiri.
Lakini niwaase ni kipindi cha kumtegemea MUNGU sana.