Nilikuwa na ndoto za aina nyingine kabisa, mtu asiingie akilini kwangu manake atakimbia
Watoto wa kishuaaa.
Shida ya watu wanaowaza kuajiriwa tu, kwanini wewe usiwaze kuajiri?
Tushirikishe tafadhari mkuu.
Hehehhe muda si mrefu watapata majibu,si wanamaliza june right...
thijaelewa!..:a s 13::a s 13::a s 13:
Leo nilikua nimeongozana na vijana flani kutokea wizara ya elimu kama unaenda chuo cha usimamizi wa fedha/makumbusho ya taifa.
Walikua mbele yangu kidogo ila nilikua nasikia mazungumzo yao(inaonyesha ni wanafunzi wa ifm). Mwenzao ukawa anawambia wenzake kua yeye kama akigraduate mshahara anaotaka ni kuanzia milioni moja chini ya hapo hafanyi kazi. Tena akawa anashangaa kusikia eti graduate analipwa laki 6.
Akasema vinginevyo ataenda jeshini maana huko graduate analipwa milioni 1.5. Wenzake pia wakawa wanamuunga mkono bila hiyo hela bora waache kazi.
Inaonekana vijana wakiwa mashuleni wanadanganyana sana,wanapeana matumaini makubwa ambapo wakija mtaani wakakuta hali ni tofauti wanaishia kua wezi na uuzaji wa dawa za kulevya. Malizeni shule muje mkutane na mshahara wa laki 2 na digrii zenu ndio mtakoma. Acheni kudanganyana,mtaani hakuko hivyo.
Mi nakumbuka jaman nilikaa hom 2 years jobless baada ya kumaliza chuo hadi nikafukuzwa nyumbani nikionekana km mtu nisiye na faida kabisa yaani ilibaki kidogo tu niwe mwendawazim kwa stress!! lol dat moment is unforgetable maana cku nilipopata kazi ya kulipwa laki tatu tu mi niliona km utajiri ndo inaninyemelea vile niliionaje kubwaaa