The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,451
- 17,154
Leo nilikuwa nimeongozana na vijana flani kutokea wizara ya elimu kama unaenda chuo cha usimamizi wa fedha/makumbusho ya taifa.
Walikua mbele yangu kidogo ila nilikuwa nasikia mazungumzo yao (inaonyesha ni wanafunzi wa IFM). Mwenzao ukawa anawambia wenzake kua yeye kama akigraduate mshahara anaotaka ni kuanzia milioni moja chini ya hapo hafanyi kazi. Tena akawa anashangaa kusikia eti graduate analipwa laki 6.
Akasema vinginevyo ataenda jeshini maana huko graduate analipwa milioni 1.5. Wenzake pia wakawa wanamuunga mkono bila hiyo hela bora waache kazi.
Inaonekana vijana wakiwa mashuleni wanadanganyana sana, wanapeana matumaini makubwa ambapo wakija mtaani wakakuta hali ni tofauti wanaishia kuwa wezi na uuzaji wa dawa za kulevya. Malizeni shule muje mkutane na mshahara wa laki 2 na digrii zenu ndio mtakoma.
Acheni kudanganyana, mtaani hakuko hivyo.
Walikua mbele yangu kidogo ila nilikuwa nasikia mazungumzo yao (inaonyesha ni wanafunzi wa IFM). Mwenzao ukawa anawambia wenzake kua yeye kama akigraduate mshahara anaotaka ni kuanzia milioni moja chini ya hapo hafanyi kazi. Tena akawa anashangaa kusikia eti graduate analipwa laki 6.
Akasema vinginevyo ataenda jeshini maana huko graduate analipwa milioni 1.5. Wenzake pia wakawa wanamuunga mkono bila hiyo hela bora waache kazi.
Inaonekana vijana wakiwa mashuleni wanadanganyana sana, wanapeana matumaini makubwa ambapo wakija mtaani wakakuta hali ni tofauti wanaishia kuwa wezi na uuzaji wa dawa za kulevya. Malizeni shule muje mkutane na mshahara wa laki 2 na digrii zenu ndio mtakoma.
Acheni kudanganyana, mtaani hakuko hivyo.