Grace Kiwelu asema -Walio husika na Richomd waweke Pasi zao rehani

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Mjadala wa Richmond unashika kasi sasa .Grace Kiwelu akitoa hoja bungeni amesema anaomba wote walio tajwa na kujiuzuru ili kuepusha wao kukimbia Nchi na wapelekwe Mahakamani na pia amemshauri Lowasa kama ameona hajatendewa haki aende Makahamani ndiko haki na kila kitu kitasikika .

Kazi kubwa Keenja kasimama anatetea hoja ni ya CCM na wapinzani waachane nayo .Keenja anaongea sasa .
 
Mjadala wa Richmond unashika kasi sasa .Grace Kiwelu akitoa hoja bungeni amesema anaomba wote walio tajwa na kujiuzuru ili kuepusha wao kukimbia Nchi na wapelekwe Mahakamani na pia amemshauri Lowasa kama ameona hajatendewa haki aende Makahamani ndiko haki na kila kitu kitasikika .

Kazi kubwa Keenja kasimama anatetea hoja ni ya CCM na wapinzani waachane nayo .Keenja anaongea sasa .

Mkuu Lunyungu,

ebu tufafanulie alikuwa anamaanisha nini, maana hayo maneno yanakatisha tamaa kweli kweli.

Inaonekana anakerwa sana na upinzani.
 
Mkuu Lunyungu,

ebu tufafanulie alikuwa anamaanisha nini, maana hayo maneno yanakatisha tamaa kweli kweli.

Inaonekana anakerwa sana na upinzani.

Keenja ni kama kawaida yake na CCM leo wanataka kuonekana heroes baada ya Richmond kuwaondoa watu .Ndiyo maana yake na anasema hoja hiyo ni ya CCM na Rais wao wa CCM kaitikia kilio chao.

Sasa anaongea Mbunge wa CCM na amehoji msemo wa Kasungura kadogo kumbe Lowasa alikuwa anakula sehemu kubwa .
 
Mbunge gani kauzliz aSuala la Kasungura,atakuwa Mjomba wake na Mwanakijiji..Sasa hivi tunapewa Pimbi..Je watakuwala peke yao au tutagawana wote?
 
Lunyungu

wana mpango gani na RA na Yona maana waliidharau kamati kwa kukataa kuhojiwa na mwanahalisi wamesema kamati ilidokezwa na Salva kuwa richmond ni ya RA.

Hakuna aliyeanza kuwashika bango?
 
Lunyungu

wana mpango gani na RA na Yona maana waliidharau kamati kwa kukataa kuhojiwa na mwanahalisi wamesema kamati ilidokezwa na Salva kuwa richmond ni ya RA.

Hakuna aliyeanza kuwashika bango?


Wabunge wengi wa CCM sasa wanadai kwamba Rostam na Yona wa face justice na hawakubali kwa wao kudharau kamati ya Bunge .Wabunge wa CCM sasa wanadai kuanzia Lowasa na wote walio husika waweke PP zao Uhamiaji wasije kimbia ili hatua zichukuliwe kwa uhakika.Hawa ni Wabunge wa CCM. Kuna mchangia mmoja tu kwa asubuhi anakuja . Wameomba mikataba ya BoT
wameomba Ofisi ya mwanasheria ipanguliwe na Takukuru iwe chini ya Bunge .Hoja ni nzuri na wote wanaunga mkono hoja za Kamati ya Mwakyembe .
 
Kazi kubwa Keenja kasimama anatetea hoja ni ya CCM na wapinzani waachane nayo .Keenja anaongea sasa .

Huyo babu sasa naona akili zake zimechakaa vibaya! Anamaanisha CCM wakitoa hoja wapinzani hawaruhusiwi kuchangia? Kama hivyo basi wangeitoa katika kikao ambacho wapinzani huwa hawahudhurii, huko kwenye mikutano ya CCM huko! Si adabu kutamka maneno yasiyofaa kwa mzee, lakini kwa uzee wa aina ya Keenja ni sahihi kabisa kumwita mpumbavu! Anasahau kuwa hiyo hoja ni ya Kamati Teule ya Bunge ambayo Mwenyekiti wake Mwakyembe aliisoma siku kadhaa nyuma? Au anataka kutudanganya kuwa ile Kamati teule ya Bunge ni ya CCM. Narudia, ni mpumbavu na anapaswa kupuuzwa! Kaniudhi sana. (Mtoto wake Elia alikuwa mwanafunzi wangu, akiisoma post hii aniwie radhi tu, nimeshindwa kuvumilia!)
 
Huyo babu sasa naona akili zake zimechakaa vibaya!.......... Narudia, ni mpumbavu na anapaswa kupuuzwa! Kaniudhi sana. (Mtoto wake Elia alikuwa mwanafunzi wangu, akiisoma post hii aniwie radhi tu, nimeshindwa kuvumilia!)

Haina shida mwalimu, inafikia mahali hata familia za mafisadi inabidi zipingane na ndugu zao walio mafisadi. Usishangae kukuta huyo dogo Keenja nae anapigana vita dhidi ya mifisadi humu JF. LIkely akakupa 5 mkuu.
 
Huyo babu sasa naona akili zake zimechakaa vibaya! Anamaanisha CCM wakitoa hoja wapinzani hawaruhusiwi kuchangia? Kama hivyo basi wangeitoa katika kikao ambacho wapinzani huwa hawahudhurii, huko kwenye mikutano ya CCM huko! Si adabu kutamka maneno yasiyofaa kwa mzee, lakini kwa uzee wa aina ya Keenja ni sahihi kabisa kumwita mpumbavu! Anasahau kuwa hiyo hoja ni ya Kamati Teule ya Bunge ambayo Mwenyekiti wake Mwakyembe aliisoma siku kadhaa nyuma? Au anataka kutudanganya kuwa ile Kamati teule ya Bunge ni ya CCM. Narudia, ni mpumbavu na anapaswa kupuuzwa! Kaniudhi sana. (Mtoto wake Elia alikuwa mwanafunzi wangu, akiisoma post hii aniwie radhi tu, nimeshindwa kuvumilia!)

Hata mimi kaniudhi. HIli suala la Richmond, CCM wamelidandia, lakini liliibuliwa na upinzani! EPA vivyohivyo, sasa wanaleta longolongo eti oh alisimama fulani mwaka juzi... lakini hawakulisimamia bango, walisema tu, wakanyamazishwa na 'bosi' wao Lowassa, sasa wanaleta longolongo. If they lacked courage then, they lack courage now na wanajifanya wakali !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom