chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,118
- 22,505
Interesting.
Mimi nahitaji tu kufunga alarm. Mnafunga? Shingapi. Gari ndogo babywoka.250,000/=
shukran kw tangazo ila umechelewa kwa upande wang kunaambacho nimesha kifunga kwenye gari yang kipo vizuri baada yakumaliza kulipia kuna garama ndogo yakila mwezi. So usikate tamaa biashara n matangazo na kuboresh ni kitu ch muhimuTumeingiza mzigo mpya..
Hizi ni devices zenye uwezo mkubwa wakukupa taarifa za unit yako na kulilinda kwa kutumia simu yako.
Kuona speed
Kuona Sehem gari/pikipiki yako ilipo
Kuizima na kuiwasha
Kujua routes
Kuipigia sim na kupigiwa sim
Geo fance
Engine status etc.
Pia tunafunga kujua mwenendo wa mafuta.
Mfn. Kujua kiasi cha:-
Mafuta yaliyowekwa ktk tank.
Mafuta yaliyotumika sahihi.
Na mafuta yaliyoibiwa endapo kukawa kunawizi uliofanyika.
Tupo Dar es Salama
Dodoma
Sim 0717267636
Mimi sina makato yawiki, mwezi wala mwaka. Ukushafunga Kwa laki 2.5 yako. Hiyo ni maisha ( life time.)shukran kw tangazo ila umechelewa kwa upande wang kunaambacho nimesha kifunga kwenye gari yang kipo vizuri baada yakumaliza kulipia kuna garama ndogo yakila mwezi. So usikate tamaa biashara n matangazo na kuboresh ni kitu ch muhimu
pamoja san iyo moja ndo inasoma vitu vyote ulivotaja coz umataja option nyingi na zote tuna uamko nazoMimi sina makato yawiki, mwezi wala mwaka. Ukushafunga Kwa laki 2.5 yako. Hiyo ni maisha ( life time.)
oky nimekupataZote hapo ni package moja
asante nikipata kichwa ntakuchekiKaribuni