GPA hazifai kutumika ktk kuajiri wahadhiri na wahadhiri wasaidizi

moma2k

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
1,061
1,327
Utaratibu ulipo wa vyuo vikuu kuajiri wahadhiri kwa vigezo vya GPA ya 3.5au3.8 ni hatari sana kwa ustawi wa elimu nchini.

Utaratibu wa upatikanaji wa GPA kttk vyuo vikuu niwakutiliwa shaka lenye maana.

Kila chuo kina grading yake. Anayetoa marks ni mtu moja(mtunga na msahihisha mtihani).

Baadhi ya vyuo mhadhiri hupata zawadi kama ametoa "A" nyingi. Pia baadhi ya vyuo wahadhiri hutoa marks kubwa kwa kila mwanafunzi ili kulinda AJIRA ZAO, kwasababu wanafunzi watampenda na kumwita "mhadhiri huyu poa". Hana noma.

Hakutakuwa na malalamiko yoyote dhidi yake hata kama anafundisha hovyo. Hivyo utaratibu wa kuajili kwa kigezo cha GPA haufai, ni uwongo mtupu. Ni utaratibu wa hovyo kabisa. Interview na vipimo vingine ndio viamue.
 
Mimi sidhani km mpo sahihi ninyi mnaotetea kwamba warembo wanakuwa GPA kubwa kwa sbb sio rahisi walimu wa kozi zote kumbeba mwanafunzi huyohuyo kila semester. Haiingii akilini, nakubali upendeleo upo na pia ukandamizaji upo lkn hauwezi kuwa wa kila somo na kila semester. Tatizo ni negative attitude tuliyonayo kichwani kwamba kila mrembo anayefaulu lazima awe amebebwa.
 
I fully agree. Elimu ya Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa. Nilisoma mahali kwamba Deloitte na PWC wanataka kuondoa uhitaji wa degree kama kigezo cha ajira. Maana wamegundua kwamba Degree haina uhusiano na performance ya mtu kazini.

Of course ni swala linahitaji umakini. Maana mwisho wa siku utahitaji vigezo ambavyo ni objective kupima wanafunzi au walimu. Lakini kusema kwamba GPA ndo iwe kigezo cha mtu kupewa nafasi ya kufundisha chuo? Naona ni swala tata. Kuna vijana wengi nawafahamu chuo kikuu wengine tulisoma wote......(UDSM) hata ukiwaambia waandike paragraph moja ya kiingereza ni mgogoro..acha kuongea sasa. Sasa huyo kweli atamfundisha nini mwanao?

Tunahitaji (holistic education approach). Hili linazungumzika. Walimu wengi wa leo....unakuta confidence ni zero. innovation zero. na wengi hata publications hawana.....kama amejitahidi ame-publish humu humu Tanzania (ambapo competition ni almost zero). Bottom-line they cant compete internationally. Sasa mwalimu ambaye hawezi global competition, will she/he inspire students to go an extra mile for success?

We need to create more of Prof. Shivji, Chris Maina Peter, Mukandala, Luhanga nk (ambao wengi sasa ndo wamestaafu au wako ukingoni). Kwa kizazi cha walimu wa leo...nina wasiwasi sana. uwezo wao ni wa mashaka.

Tunahitaji mjadala wa kitaifa.
 
Utaratibu ulipo wa vyuo vikuu kuajiri wahadhiri kwa vigezo vya GPA ya 3.5au3.8 ni hatari sana kwa ustawi wa elimu nchini.Utaratibu wa upatikanaji wa GPA kttk vyuo vikuu niwakutiliwa shaka lenye maana. Kila chuo kina grading yake. Anayetoa marks ni mtu moja(mtunga na msahihisha mtihani). Baadhi ya vyuo mhadhiri hupata zawadi kama ametoa "A" nyingi. Pia baadhi ya vyuo wahadhiri hutoa marks kubwa kwa kila mwanafunzi ili kulinda AJIRA ZAO, kwasababu wanafunzi watampenda na kumwita "mhadhiri huyu poa". Hana noma. Hakutakuwa na malalamiko yoyote dhidi yake hata kama anafundisha hovyo. Hivyo utaratibu wa kuajili kwa kigezo cha GPA haufai, ni uwongo mtupu. Ni utaratibu wa hovyo kabisa. Interview na vipimo vingine ndo viamue.
Kizazi cha kukosoa bila kutoa mwelekeo wowote wa elimu yetu. Kwanza ungetakiwa utuonyeshe GPA zinavyopatikana. Pili, utuonyeshe udhaifu wake kwa uhalisia unaouona na kufundisha chuoni. Tatu, tuonyeshe mwelekeo Je, unataka watu wa namna gani wafundishe chuo Kikuu????. Ebu mpeleke mwenye GPA ya mbili akafundishe kama atakubali. Mimi napendekeza kuwa na GPA ya 3.5 kwa vyuo vyote. Lakini, interview iwe competence based na si ya nani amekariri kuhusu kwa mfano hatua za kufanya utafiti au madesa ya kile unachotakiwa kukifundisha. Kuwe na watu professional katika interview wa kuangalia competence zaidi. Lakini wanaopewa vipaumbele ni wale wenye GPA kubwa na ukichunguza baadhi yao hawaendani na GPA zao.
 
Mtu anafananisha GPA za SAUT, TEKU, SEKUKO, RUCO vS government college. Government usimamizi ni mkali wakati Vyuo vya private hutoa GPA za Bwelele ili waendelee kupata wanafunzi wengi/commercial education. Mtu aliyetoka na GPA ya 2.1 SUA anauwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko aliyetoka na GPA ya 3.9 TEKU
 
Mtu anafananisha GPA za SAUT, TEKU, SEKUKO, RUCO vS government college. Government usimamizi ni mkali wakati Vyuo vya private hutoa GPA za Bwelele ili waendelee kupata wanafunzi wengi/commercial education. Mtu aliyetoka na GPA ya 2.1 SUA anauwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko aliyetoka na GPA ya 3.9 TEKU
Acha kutudanganya Wewe. Nimesoma SAUT na interview huwa nafanya na watu wa UDSM ni kawaida na hawana kipya zaidi cha kusema kuwa ni unique students. Tatizo la elimu ya juu ni kubwa sana na Mimi niliyesoma SAUT sioni tofauti na mwanafunzi wa UDSM. Sikiliza competence based ndo kitu cha msingi zaidi na wala si chuo. Sijui kwa vyuo vingine but kwangu I believe chuo changu kiliniandaa vyema kupambana sehemu yoyote.
 
M
Kizazi cha kukosoa bila kutoa mwelekeo wowote wa elimu yetu. Kwanza ungetakiwa utuonyeshe GPA zinavyopatikana. Pili, utuonyeshe udhaifu wake kwa uhalisia unaouona na kufundisha chuoni. Tatu, tuonyeshe mwelekeo Je, unataka watu wa namna gani wafundishe chuo Kikuu????. Ebu mpeleke mwenye GPA ya mbili akafundishe kama atakubali. Mimi napendekeza kuwa na GPA ya 3.5 kwa vyuo vyote. Lakini, interview iwe competence based na si ya nani amekariri kuhusu kwa mfano hatua za kufanya utafiti au madesa ya kile unachotakiwa kukifundisha. Kuwe na watu professional katika interview wa kuangalia competence zaidi. Lakini wanaopewa vipaumbele ni wale wenye GPA kubwa na ukichunguza baadhi yao hawaendani na GPA zao.
Hata kama ana GPA 2 kama kwenye interview amedemonstrate kuwa more capable, basi apewa ajira hiyo. Walimu ni kipaji.siyo marks tu.Mtu anaweza kuwa na GPA ya 4 lakini kufundisha zero kabisa.


Kizazi cha kukosoa bila kutoa mwelekeo wowote wa elimu yetu. Kwanza ungetakiwa utuonyeshe GPA zinavyopatikana. Pili, utuonyeshe udhaifu wake kwa uhalisia unaouona na kufundisha chuoni. Tatu, tuonyeshe mwelekeo Je, unataka watu wa namna gani wafundishe chuo Kikuu????. Ebu mpeleke mwenye GPA ya mbili akafundishe kama atakubali. Mimi napendekeza kuwa na GPA ya 3.5 kwa vyuo vyote. Lakini, interview iwe competence based na si ya nani amekariri kuhusu kwa mfano hatua za kufanya utafiti au madesa ya kile unachotakiwa kukifundisha. Kuwe na watu professional katika interview wa kuangalia competence zaidi. Lakini wanaopewa vipaumbele ni wale wenye GPA kubwa na ukichunguza baadhi yao hawaendani na GPA zao.
Kizazi cha kukosoa bila kutoa mwelekeo wowote wa elimu yetu. Kwanza ungetakiwa utuonyeshe GPA zinavyopatikana. Pili, utuonyeshe udhaifu wake kwa uhalisia unaouona na kufundisha chuoni. Tatu, tuonyeshe mwelekeo Je, unataka watu wa namna gani wafundishe chuo Kikuu????. Ebu mpeleke mwenye GPA ya mbili akafundishe kama atakubali. Mimi napendekeza kuwa na GPA ya 3.5 kwa vyuo vyote. Lakini, interview iwe competence based na si ya nani amekariri kuhusu kwa mfano hatua za kufanya utafiti au madesa ya kile unachotakiwa kukifundisha. Kuwe na watu professional katika interview wa kuangalia competence zaidi. Lakini wanaopewa vipaumbele ni wale wenye GPA kubwa na ukichunguza baadhi yao hawaendani na GPA zao.
 
Utaratibu ulipo wa vyuo vikuu kuajiri wahadhiri kwa vigezo vya GPA ya 3.5au3.8 ni hatari sana kwa ustawi wa elimu nchini.Utaratibu wa upatikanaji wa GPA kttk vyuo vikuu niwakutiliwa shaka lenye maana. Kila chuo kina grading yake. Anayetoa marks ni mtu moja(mtunga na msahihisha mtihani). Baadhi ya vyuo mhadhiri hupata zawadi kama ametoa "A" nyingi. Pia baadhi ya vyuo wahadhiri hutoa marks kubwa kwa kila mwanafunzi ili kulinda AJIRA ZAO, kwasababu wanafunzi watampenda na kumwita "mhadhiri huyu poa". Hana noma. Hakutakuwa na malalamiko yoyote dhidi yake hata kama anafundisha hovyo. Hivyo utaratibu wa kuajili kwa kigezo cha GPA haufai, ni uwongo mtupu. Ni utaratibu wa hovyo kabisa. Interview na vipimo vingine ndo viamue.
Kwahiyo vyuoni wanafunzi wapimwe vipi ufaulu?
 
Back
Top Bottom