Mh Rais nakupongeza Sana kwa kaz nzuri unaifanya kwa Taifa.
Mh Rais mim nakilio kimoja kikubwa sana nacho sio kingine ila nikuwataja special government agenf taifa na watu kuwajuwa dhahiri shahiri wanatoka kule kwenye taasisi nyeti.
Unaweza nisema vyovyote vile ila kuwataja hawa watu kwenye hadhira ya watu nihatri hata kwa usalama wako na taifa maana kumbuka watu wanawajuwa kwa vyeo vyao ila sio wanatoka idara gani.
Ikumbukwe kuwataja watu hawa hadharani nikuwaandikia adhabu ya kifo maana wanakuwa wamefanya mambo mengi kiasi wengi walio wadhania wakawa hawana huwakikia sasa wana uwakika kumbe hofu yao ni kweli.
Ndio maana hutomsikia Rais wa Marekani akisema nimechaguwa waziri kutoka ndani ya cia hata kama macho ya wote wamemzunguka watajuwa ametoka cia.
Israel ni bingwa wakulinda agent zake ndio maana wananguvu ya kiusalama.
Marekani ni moja ya nchi inafuwatilia sim za watu ila kamwe huwez msikia Rais anasema nafuwatilia sim zenu
Hii inakusaidi kupata taarifa nyeti nakufanya maamuz mazito bila wao kujuwa. Adui akijuwa unamfuwatilia anabadilisha njia na kwa bahati mbaya sana mpaka uje kujuwa amebadilisha njia tayari inakuwa wamemaliza mipango.
Mh Rais nilazima utafute kila njia ku cover hawa watu nakujizuwia watu kujuwa nani kafanya nin na katekeleza nn maana jamii hatuitaji kumjuwa ila kukupongeza kaz nzuri unafanya.
Nina amini kabisa mkurugenz wa Takukuru wanae na mke wake uwenda walijuwa baba ni police wakawaida ila kujuwa ni TISS nadhani wao pia wamepata hofu.
Kiongoz mkubwa Marekan aliingia kwenye shutuma nzito kwakutumia emaik zake binafsi kutoa taarifa ya agent walikuwa nchi fulani jambo lilisababisha hacker kuiba taarifa nakuwauwa wale agent sasa wewe Mh unawataja hawa watu sidhani kama ni sifa ila ni hukumu ya umauti kwao mana wabaya wao watawawinda wakijuwa wao ndio sababu.
Ndio maana hata IGP alishituka kujuwa yule bwana ni kutoka chama kile sidhan kama alipata usingizi.
Hayo ndio maon yangu MhRais
Mh Rais mim nakilio kimoja kikubwa sana nacho sio kingine ila nikuwataja special government agenf taifa na watu kuwajuwa dhahiri shahiri wanatoka kule kwenye taasisi nyeti.
Unaweza nisema vyovyote vile ila kuwataja hawa watu kwenye hadhira ya watu nihatri hata kwa usalama wako na taifa maana kumbuka watu wanawajuwa kwa vyeo vyao ila sio wanatoka idara gani.
Ikumbukwe kuwataja watu hawa hadharani nikuwaandikia adhabu ya kifo maana wanakuwa wamefanya mambo mengi kiasi wengi walio wadhania wakawa hawana huwakikia sasa wana uwakika kumbe hofu yao ni kweli.
Ndio maana hutomsikia Rais wa Marekani akisema nimechaguwa waziri kutoka ndani ya cia hata kama macho ya wote wamemzunguka watajuwa ametoka cia.
Israel ni bingwa wakulinda agent zake ndio maana wananguvu ya kiusalama.
Marekani ni moja ya nchi inafuwatilia sim za watu ila kamwe huwez msikia Rais anasema nafuwatilia sim zenu
Hii inakusaidi kupata taarifa nyeti nakufanya maamuz mazito bila wao kujuwa. Adui akijuwa unamfuwatilia anabadilisha njia na kwa bahati mbaya sana mpaka uje kujuwa amebadilisha njia tayari inakuwa wamemaliza mipango.
Mh Rais nilazima utafute kila njia ku cover hawa watu nakujizuwia watu kujuwa nani kafanya nin na katekeleza nn maana jamii hatuitaji kumjuwa ila kukupongeza kaz nzuri unafanya.
Nina amini kabisa mkurugenz wa Takukuru wanae na mke wake uwenda walijuwa baba ni police wakawaida ila kujuwa ni TISS nadhani wao pia wamepata hofu.
Kiongoz mkubwa Marekan aliingia kwenye shutuma nzito kwakutumia emaik zake binafsi kutoa taarifa ya agent walikuwa nchi fulani jambo lilisababisha hacker kuiba taarifa nakuwauwa wale agent sasa wewe Mh unawataja hawa watu sidhani kama ni sifa ila ni hukumu ya umauti kwao mana wabaya wao watawawinda wakijuwa wao ndio sababu.
Ndio maana hata IGP alishituka kujuwa yule bwana ni kutoka chama kile sidhan kama alipata usingizi.
Hayo ndio maon yangu MhRais