HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,195
Nimesoma thread ya waziri wa mambo ya ndani na kwa kweli nimsifu kwa kujiunga na JF na kuja kujibu hoja mbali mbali humu. I supposed baadhi ya JF members (wengi went ni ma idealists kama 1st year political science University students) mna wish mawaziri kama Jesnista Mhagama, Sospeter Muhongo, Nape Mnauye, na Ummi Mwalimu nao wangekuwa members humu na wangekuwa wanajibu hoja mbali mbali
Lakini I'm confused and this doesn't add up.
Inawezekana vipi for a senior cabinet minister to utilise the same platform which has accused of operating illegally in the country hii haingii akilini na kwa sisi ambao ni ma Realists tunaona kuna cracks within this administration au kuna watu wanamsikiliza Mkuu wa Kaya na wanakubaliana naye kwenye Cabinet meetings kisha wakitoka wanafanya wanavyotaka.
Mnakumbuka issue ya Dangote senior cabinet ministers (Charles Mwijage na Sospeter Muhongo) walitoa taarifa za 6 tofauti na zote zilikuwa zinapotosha umma kuwa Dangote anataka GESI YA BURE na ukweli tuliuona baada ya Dangote kuja.
Evidence: tembelea uzi huu:
Mawaziri Charles Mwijage na Sospeter Muhongo wamepotosha Umma. Dangote haijawahi kutaka gesi ya Bure
Weekend tumeona Ummi Mwalimu anatuambia ZIKA hakuna na tafiti za wanasayansi zinatuambia vingine.
Yeye Mwenyewe Mkuu wa kaya alitamka wazi kuwa ni marufuku kwenye ufunguzi wa mambo wa kufua umeme pale Kinyerezi kwa Independent Power Producers (IPP) kugenerate umeme kwani kazi hiyo itafanywa exclusively na TANESCO. Hii ni kinyume na sera ya serikali na pia ni kinyume na PPP policy ya 2009, PPP Act ya 2010, PPP Regulations ya 2011 na PPA ya 2011
Evidence hii hapa:
Exhibit A:
Video kuanzia dakika ya 8:
Exhibit B:
Rais Magufuli aitaja IPTL
Wakati huo huo serikali yake inaendelea kuomba wawekezaji wa IPP waje wawekeze kwenye sekta ya ku generate umeme kwa njia ya PPP
Exhibit C
Waziri Muhongo akutana na Waingereza wenye nia ya kuzalisha umeme nchini — Ministry of Energy and Minerals
Sasa kwa mifano hiyo michache this clearly shows that Magufuli's administration is endowed with people (Muhongo et al) who are inept and speak on both sides of their mouth bila aibu kabisa.
Muhimu zaidi jiulizeni how the government delegitimise JF in the media, detail its founder and then turn around and utilise it to reach the masses.
Siam ini kabida kama mchezo huu unaratibiwa from DSTV na cha ajabu Mkuu wa kata kasha hataki unafiki na sasa why cabinet yake ina wanafiki?
Uziri ni kuwa sisi hatutowapiga ban lakini tunataka kuwepo kwa coherent policy na sio hawa ma career politicians (Mwijage et al ) ambao have never had a job in the real world wanakuja na flipflop statements
Lakini I'm confused and this doesn't add up.
Inawezekana vipi for a senior cabinet minister to utilise the same platform which has accused of operating illegally in the country hii haingii akilini na kwa sisi ambao ni ma Realists tunaona kuna cracks within this administration au kuna watu wanamsikiliza Mkuu wa Kaya na wanakubaliana naye kwenye Cabinet meetings kisha wakitoka wanafanya wanavyotaka.
Mnakumbuka issue ya Dangote senior cabinet ministers (Charles Mwijage na Sospeter Muhongo) walitoa taarifa za 6 tofauti na zote zilikuwa zinapotosha umma kuwa Dangote anataka GESI YA BURE na ukweli tuliuona baada ya Dangote kuja.
Evidence: tembelea uzi huu:
Mawaziri Charles Mwijage na Sospeter Muhongo wamepotosha Umma. Dangote haijawahi kutaka gesi ya Bure
Weekend tumeona Ummi Mwalimu anatuambia ZIKA hakuna na tafiti za wanasayansi zinatuambia vingine.
Yeye Mwenyewe Mkuu wa kaya alitamka wazi kuwa ni marufuku kwenye ufunguzi wa mambo wa kufua umeme pale Kinyerezi kwa Independent Power Producers (IPP) kugenerate umeme kwani kazi hiyo itafanywa exclusively na TANESCO. Hii ni kinyume na sera ya serikali na pia ni kinyume na PPP policy ya 2009, PPP Act ya 2010, PPP Regulations ya 2011 na PPA ya 2011
Evidence hii hapa:
Exhibit A:
Video kuanzia dakika ya 8:
Exhibit B:
Rais Magufuli aitaja IPTL
Wakati huo huo serikali yake inaendelea kuomba wawekezaji wa IPP waje wawekeze kwenye sekta ya ku generate umeme kwa njia ya PPP
Exhibit C
Waziri Muhongo akutana na Waingereza wenye nia ya kuzalisha umeme nchini — Ministry of Energy and Minerals
Sasa kwa mifano hiyo michache this clearly shows that Magufuli's administration is endowed with people (Muhongo et al) who are inept and speak on both sides of their mouth bila aibu kabisa.
Muhimu zaidi jiulizeni how the government delegitimise JF in the media, detail its founder and then turn around and utilise it to reach the masses.
Siam ini kabida kama mchezo huu unaratibiwa from DSTV na cha ajabu Mkuu wa kata kasha hataki unafiki na sasa why cabinet yake ina wanafiki?
Uziri ni kuwa sisi hatutowapiga ban lakini tunataka kuwepo kwa coherent policy na sio hawa ma career politicians (Mwijage et al ) ambao have never had a job in the real world wanakuja na flipflop statements