Gospel Zingine Uvaaji & Maazi Yake Unaona Kabisa Ukanjanja
Aisee, ila Wanaume tunavyojichubua tunakuwa kama vinyago usoni. Shame kwakweli.Hii nyimbo nimejikuta Naipenda na Kuisikiliza mara kwa mara.
Inavutia sana.
Enjoy na wewe.
Hii nyimbo nimejikuta Naipenda na Kuisikiliza mara kwa mara.
Inavutia sana.
Enjoy na wewe.
Ndio Regan Sarkozi ni MkongomaniKumbe ni mkongo
Hii nyimbo nimejikuta Naipenda na Kuisikiliza mara kwa mara.
Inavutia sana.
Enjoy na wewe.
Yaani kawa ka jiwe la kusagia vile,.Huyo aliejichubua hajishtukii!!?chaaa
Yaani kawa ka jiwe la kusagia vile,.
yah nduguze na nyoshi elsadaatKumbe ni mkongo
Daddy Owen Papaa Fololooo.... Hii ni moja kati ya kazi zake bora kuwahi kutokea. Pitia na hizi kidogo
https://www.youtube.com/watch?v=nMvqSjdSJJw
Mimi pia... Ingawa watu wengi husema imekaa kidunia zaidi hahaaVanity ni mojawapo ya nyimbo zangu pendwa ila jamen apunguze mkorogo maana hizo sugu za mikono hadi shetani anaogopa.