"Google" Na "Apple"waiondoa Palestine Kwenye ramani ya Dunia

Kwani Google, Apple na Palestine nini kilianza kuwepo?

Kabla ya Google na Apple, Palestine ilikuwa haitambuliki kwenye ramani za kwenye Atlas?
msichukulie poa kutoa majibu ya kujifariji tu ilihali mnajua ili ni mojawapo ya pigo katika kudhoofisha uundwaji wa taifa la palestina,
 
msichukulie poa kutoa majibu ya kujifariji tu ilihali mnajua ili ni mojawapo ya pigo katika kudhoofisha uundwaji wa taifa la palestina,
Ijapokua ukweli fulan hapa ndani ila ishu kubwa kuhusiana na palestia wala sio kama hilo unalotaka kulisema

Palestina kama watataka waende nje yamatakwa yao kesho asubuhi litakua tayar taifa huru ila hawataki huo upuuzi
 
IMG_1217.png

Mbona naiona hapa
 
Ijapokua ukweli fulan hapa ndani ila ishu kubwa kuhusiana na palestia wala sio kama hilo unalotaka kulisema

Palestina kama watataka waende nje yamatakwa yao kesho asubuhi litakua tayar taifa huru ila hawataki huo upuuzi
umeelewa.ulichokiandika?? upuuzi tena? duh hii kali
 
Back
Top Bottom