Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Hapana..mkuu...mpaka sasa hakuna..na ingekuepo basi ungeona developers wanaport hiyo camera ya simu kweny simu zingine...google peke yake ndio mweny camera iliyo ported kwa simu zingine zote...imagine mpka one plus kaanza kuiwekea limitation gcam kweny update mpya..na watu wakwawashia moto kweny forum yao..waache ukuda watoe limitations

Ukiona gcam haijatoa picha nzuri jua setting zako hazipo vzr...au gcam hiyo sio nzur kwa simu yako...ndiomana kuna configs files skuiz kwaajil ya setting nzur kama huwez kuiset mwenyew...

Mpaka sasa hakuna stock inafanya maajabu ya gcam

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Upo sahihi mkuu,hapo kwenye settings ndo mtihani Kwa watu wengi....
Mtu anaiweka akidhan atapiga picha nzur anasahau anatakiwa aitwist
 
Upo sahihi mkuu,hapo kwenye settings ndo mtihani Kwa watu wengi....
Mtu anaiweka akidhan atapiga picha nzur anasahau anatakiwa aitwist
Yes mzee..na ina setting kibao

Uzur skuiz kuna gcam zenye configs...hii inakua rahis una download configs unaload kwako unapata zile best setting

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom