TANZANIA PATRIOT
Member
- Jul 2, 2019
- 32
- 43
The feed is currently empty
UKISIKIA YALAAH UJUE LIMEMPATAMbona haya mambo hayana din ni ushetan tu.ata maustadh wana kashfa kibao.mambo haya yapo pwan zaid ya bara.pemba mombasa n.k uko kote ni wamishenari!ingekuwa ivo basi sehemu zenye wakristo wengi ndizo zingeathiliwa zaid.yaan bara. Unaona kanisa la catholic linaandamwa na kashfa hiz sabab wazungu wanapenda uwazi. Uarabun ni mambo yao.ila ni siri sana.
Sidhani Kama hapa unalinda maadili. Umemtangaza huyo jamaa wengine tulikuwa hatumjui.Itafika mahali sisi wananchi inabidi tuchukue hatua kulinda maadili yetu, Utu wetu, utamaduni wetu, Mila na desturi zetu pia kuwalinda watoto wetu na jamii dhidi ya ushetani huu. Serikali inaogopa kufungiwa misaada na hao wanaowaita mabeberu.