Goodluck Haule among top suspect wanted by Tanzania Police Force

TANGAZO
::::::::::::::::
Mara ulionapo lishoga pahala popote ripoti police haraka,na zawadi ya shilingi 10,000/- itazawadiwa papo kwa hapo.
:-Iwe hivyo uone kama kuna shoga atabakia kinondoni,maana watageuka fursa...:p
 
Nimetembea Bar nyingi kinondoni na sinza siku za karibuni, nimeshangazwa na ongezeko kubwa sana la mashoga tena siku hizi hawajifichi kama zamani!! Juzi nilikuwa Bar moja pale kinondoni opposite na mango garden nikawakuta wengi sana wanagonga kilaji na kujichekesha kama madem. Ikabidi nimuulize Barmaid akaniambia wanafanya sherehe ya rafiki yao!!
Hivi tatizo ni nini? Maana ni hatari sana kwa jamii yetu na naona jamii inaanza kuwakubali taratibu.

msikilize mwanaharakati Goodluck Haule kuhusiana na sakata la mashoga.!

“Mimi ni mpigania Haki za kibinadamu na mwanachama wa LGBT Voice na ndiye niliyefanya Mapping ya HIV Intervention among Men who have Sex with Men kwa ajili ya Center for Human Rights Promotion (CHRP) asasi ya kitanzania; TACAIDS na UNAIDS.

mashoga wapo kwenye jamii yetu na tukifumbia macho uwepo wao, huduma ya ujumbe juu ya kujikinga na maambukizi ya [Virusi vya Ukimwi] VVU miongoni mwao haitakuwepo.

Ilikuwa muhimu kufanya Mapping hiyo ili kama taifa tutayarishe mkakati wa kuwafikia hao ambao ninyi mnawaita mashoga; wasenge; kuchu; samaki; n.k. Aidha, wale mashoga wanaoishi na VVU hawatapata huduma ya ARV au ushauri nasaha.

Nilifanya utafiti kwenye mikoa mitatu {Ruvuma, Dar es salaam, Arusha} kabla ya Desk Review halafu nikatayarisha ramani itakayoongoza National Strategic Plan on Most at Risk Populations (MARPs).Mashoga ni kundi moja la MARPs.

Hiyo ramani ni mali ya watanzania na TACAIDS ndiyo custodian.
Cha muhimu nataka kusema kuwa rasimu ya Marekebisho ya Sera ya Taifa ya VVU/UKIMWI 2001/2016 imeweka kipengele kinachojadili hayo makundi ambayo yamo kwenye mazingira hatarishi (MARPs), wakiwemo wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja (men who have sex with men) pamoja na wanawake wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. ambao jamii inawaita makahaba; changudoa; dala dala n.k.

Wakati wa utafiti niligundua kuwa hao wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wapo wengi zaidi kuliko tunavyofahamu. Takwimu sahihi hazipo kwa sababu wengi wapo kwenye kificho wengine hata kufikia kuoa kwa kukhofu unyanyapaa kutoka kwa jamii na mara nyingi kupigwa; kutukanwa na kutengwa.

Nataka kuwaambia watanzania kuwa mashoga ni binadamu kama sisi. Wana huruma. Wana haki ya kupata huduma ya afya; elimu; upigaji kura; vyeti vya kusafiri; pango kwenye nyumba; akaunti za benki n.k.

Kwenye utafiti niligundua kuwa iwapo hiyo rasimu ya kupeleka ujumbe na huduma juu ya VVU/UKIMWI kwa mashoga itapita kuwa Marekebisho ya Sera, haitaweza kutekelezeka kwa sababu itakosa uwiano na Sheria ya Makosa ya Kujamiiana (1998) na Penal Code Amendments 2002 kwa sababu kitendo hicho kimehramishwa kisheria.

Hapo hapo, mashoga watakataa kufikiwa na Mipango ya Taifa ya Udhibiti wa UKIMWI kwa kukhofu wanaweza kufunguliwa mashtaka ya jinai.

Nawaomba watanzania tuwe na upendo kwa makundi yote.Nimeshuhudia unyanyapaa; vipigo; matusi ambayo wanayopata mashoga na sisi kama watetezi wa Haki za Binaadamu na kutokomeza ukatili na unyanyapaa inabidi tuwe na compassion.“

Goodluck Haule ni mmoja wa wapigania haki za kibinadamu na mashoga ambaye anatafutwa na Jeshi la Polisi Tanzania kwa makosa mbali mbali yakiwemo kusambaza ushoga Nchini, kutorosha mashoga nje ya Nchi kinyume na sheria.

Ushoga umefika vipi Bara la Afrika na Tanzania?

Miaka ya nyuma kabisa waafrika walikuwa hawana tabia ya kulawitiana au kusagana, lakini mila hizi zimeletwa barani Afrika na wazungu hasa mabaharia na wamisionari wa makanisa mbalimbali kutoka ulaya na Amerika ya kaskazini. Miaka ya zamani vijana wengi wa Kiafrika waliodandia meli (stowaways) na kujificha kwa madhumuni ya kuajiriwa kwenye meli hizo na kuwa mabaharia wengi waliishia kulawitiwa kama sharti la kwanza la kutokutupwa baharini na sharti la pili kuweza kupewa ajira na kutimiza ndoto zao za miaka mingi za kuwa mabaharia..!!! Kizazi hiki cha “Stowaways” hasa ndicho kilicholeta na kuusambaza ustaarabu wa kulawitiana miongoni mwa jamii za Kiafrika. Upande mwingine uliokuwa mustari wa mbele kusambaza ustaarabu huu wa kulawitiana ni “Wamisioneri” ambao walikuja kupitia makanisani kwa madhumuni ya kueneza dini za Kikristo; hawa walianza kuwalawiti waumini hasa watoto wadogo kwa kuwadanganya na vizawadi mbalimbali na kuwapa masharti kwamba wasiseme ni siri ya mungu na akitoa siri hiyo atakuwa amemkosea mungu na hatafika peponi na wala hatauona ufalme wa mbinguni..!!! Kulingana na ukweli huo vitendo vya “ushoga” vikashamiri kwenye nyumba za mungu na kuanza kusambaa kwenye jamii taratibu bila wananchi kustuka. Hadi leo hii tuna idadi kubwa sana ya “Mashoga” ambao ukifuatilia kwa makini unakuta kwamba ni matunda ya “Stowaways” na “Wamisioneri”….!!!!!! Jamii iliyoathirika zaidi kwa ushoga ni zile jamii zinazoishi kando kando mwa bahari za Hindi, Atlantic, Mediterranean Sea na Bahari ya Sham kwa bara la Afrika.

Ni kitu gani au kuna ushawishi gani ambao umezifanya nchi za magharibi kuona umuhimu wa kuwahamasisha wananchi wa nchi zao kujihusisha na mambo ya ushoga, na hata kuhaklikisha kwamba wanatuma wajumbe wao kwenye nchi za mabara ya Africa, Asia na Latin America kuutangaza ushoga kama ustaarabu mpya wa karne ya 21..!? Kwenye nchi mbalimbali za dunia ya tatu kumekuwepo na shutuma zinazowashutumu baadhi ya maafisa wa balozi za nchi za nje kujihusisha na kusambaza propaganda za ushoga kwenye nchi ambazo vitendo hivyo vimekuwa vikipuuzwa na kuonekana kama vitendo vya kishenzi na visivyostahili kushabikiwa; pia makanisa mbalimbali yameshutumiwa kujihusisha aidha na usambazaji wa propaganda hizo au maaskofu na mapadre wameweza kushutumiwa moja kwa moja kwa kujihusisha na vitendo vya ushoga (kuwalawiti) dhidi ya watoto wadogo wanaosali kwenye makanisa yao.

Mwaka 1996 makanisa ya Roman Catholic mbalimbali nchini marekani (USA) yalikuwa yanakabiliwa na kesi 460 za maaskofu na mapadre waliokuwa wanashutumiwa kuwalawiti watoto wadogo nchini humo, na ili kesi hizo zisisikilizwe mahakamani, kanisa la Roman Catholic liliwajibika kulipa fidia ya jumla ya US $ 4 Billions..!!! Kanisa liliwajibika kuwalipa walalamikaji waliolawitiwa ili wafute kesi zisifikishwe mahakamani kwa kuogopa kuchafua jina la kanisa nchini Marekani na duniani kote; malipo haya ambayo wachambuzi wa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu waliyaona kama ni rushwa dhidi ya umma ulilofanywa na kanisa la Roman Catholic nchini Marekani; na fidia hiyo ya pesa nyingi ililifanya kanisa liyumbe kifedha kwa kutoa pesa ya mkupuo kwa mara moja kwa mambo yasiyokuwa na tija kwa jamii. Hata hivyo vitendo vya ushoga ndani ya kanisa la Roman Catholic havikukoma, kwa vile hivi karibuni umoja wa mataifa (UN) umetoa taarifa maalumu ya kulikemea kanisa la Roman Catholic kwa viongozi wake (Maaskofu na Mapadre) kuendekeza vitendo mbalimbali vya kuwalawiti vijana wadogo kwenye makanisa mbalimbali duniani. Hata hapa nyumbani Tanzania kumekuwepo na vitendo mbalimbali vya maaskofu na mapadre kuwalawiti watoto wadogo, lakini kesi hizo zimeweza kuzimwa chini kwa chini hata kabla hazijafika mahakamani…!!!

Je, Ushoga Unasababishwa na Nini Kisayansi au Nani Anaweza Kuwa Shoga…!!??

Kisayansi Ushoga ni ugonjwa wa mabadiliko ya “Hormones” na “Chromosomes” kwenye mwili wa binadamu. Hivi vitu hivi viwili vikibadilika kwenye mwili wa binadamu, basi unakuta Mwanaume hamtaki Mwanamke, bali anamtaka Mwanamume mwenzie; na Mwanamke hantaki Mwanamume, bali anamtaka Mwanamke mwenzie..!!! Hii inasababishwa na nini? Hii inasababishwa na akina mama hasa wa nchi za magharibi wakiwa waja wazito wamekuwa wakipewa dawa zinazoongeza “Hormones” za kike kwa wingi ili mimba isije ikaharibika, na matokeo ya hizi “Hormones” huwaathiri watoto wanapozaliwa na kujikuta kwamba mtoto wa kike hapendi wanaume, bali anapenda wanawake wenzie kwa vile “Hormones” za kiume zimezidi mwilini mwake; na mtoto wa kiume hapendi wanawake, bali anawapenda wanaume wenzake kwa vile “Hormones” za kike zimezidi mwilini mwake. Pia sababu nyingine inayosababisha ushoga ni akina mama wakiwa waja wazito kutumia vyakula speciali vya kutoka supermarket ambavyo vina chembechembe za “Genes Modification”; wakati mwingine mama mjamzito anayetumia bidhaa za “Genes Modification” anaweza kuzaa mtoto asiathirike na sumu hiyo, lakini mtoto huyo akiwa mkubwa na kuzaa watoto wake ndiyo watakaoathirika na sumu hiyo. Pia matumizi ya madawa na chanjo mbalimbali zinazotumiwa na akina mama hasa wakiwa waja wazito au watoto wadogo wanapofanyiwa chanjo zimechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa vitendo vya ushoga kwa nchi za magharibi.

Kama kweli tunaupinga ushoga inabidi tupunguze vitendo vya ufisadi ili tuweze kuwekeza kwenye utafiti wa dawa za kienyeji na chanjo asilia ikiwa ni pamoja na kuwekeza kwenye sekta mbalimbali za uchumi ikiwemo kilimo endelevu ili tusitegemee chakula cha misaada chenye sumu kutoka nchi za magharibi. Madawa mapya yakitengenezwa kwenye viwanda vya kutengenezea madawa huko ulaya, kabla hayajaanza kutumiwa na wazungu, kwanza yanaletwa huku Afrika kwa majaribio, waafrika wanapewa madawa hayo kwa kipindi cha miaka 5 kama madawa hayo hayatawadhuru waafrika, basi wazungu wanatangaziwa kwamba madawa hayo ni mazuri na yanaweza kutumika kwa binadamu..!!! Lakini kama madawa hayo yakiwadhuru waafrika, basi wazungu wamnatangaziwa kwamba wasiyatumie madawa hayo kwa vile ni hatari kwa binadamu..!!! Je, kwa utaratibu huu tutaweza kweli kupambana na ushoga, ikiwa hata hatujielewi sisi wenyewe o napenda kuwashauri marais wa bara zima la Afrika kwamba wasiupinge “Ushoga” kwenye majukwaa ya kisiasa peke yake, bali waupinge pia “Kisayansi” ili kuweza kufikia mana watu wetu wanatumiwa kama jamii ya kuyafanyia madawa ya wazungu utafiti..!? Mwishlengo yanayokusudiwa. Kinyume na hivyo tutakuwa tunajidanganya….!!!!!!!!!!
Mkuu... Are you affiliated with LGBT community?
 
Let them be . It's their assholes and dicks thus it should always be their business . We inakuuma nini ? ,
 
Asante Shekhe,
Naona waarabu na mashekhe wao hawahusiki kabisa kueneza ushoga ama kufanya ushoga,ni wamisionary tu toka ulaya
Nimetembea Bar nyingi kinondoni na sinza siku za karibuni, nimeshangazwa na ongezeko kubwa sana la mashoga tena siku hizi hawajifichi kama zamani!! Juzi nilikuwa Bar moja pale kinondoni opposite na mango garden nikawakuta wengi sana wanagonga kilaji na kujichekesha kama madem. Ikabidi nimuulize Barmaid akaniambia wanafanya sherehe ya rafiki yao!!
Hivi tatizo ni nini? Maana ni hatari sana kwa jamii yetu na naona jamii inaanza kuwakubali taratibu.

msikilize mwanaharakati Goodluck Haule kuhusiana na sakata la mashoga.!

“Mimi ni mpigania Haki za kibinadamu na mwanachama wa LGBT Voice na ndiye niliyefanya Mapping ya HIV Intervention among Men who have Sex with Men kwa ajili ya Center for Human Rights Promotion (CHRP) asasi ya kitanzania; TACAIDS na UNAIDS.

mashoga wapo kwenye jamii yetu na tukifumbia macho uwepo wao, huduma ya ujumbe juu ya kujikinga na maambukizi ya [Virusi vya Ukimwi] VVU miongoni mwao haitakuwepo.

Ilikuwa muhimu kufanya Mapping hiyo ili kama taifa tutayarishe mkakati wa kuwafikia hao ambao ninyi mnawaita mashoga; wasenge; kuchu; samaki; n.k. Aidha, wale mashoga wanaoishi na VVU hawatapata huduma ya ARV au ushauri nasaha.

Nilifanya utafiti kwenye mikoa mitatu {Ruvuma, Dar es salaam, Arusha} kabla ya Desk Review halafu nikatayarisha ramani itakayoongoza National Strategic Plan on Most at Risk Populations (MARPs).Mashoga ni kundi moja la MARPs.

Hiyo ramani ni mali ya watanzania na TACAIDS ndiyo custodian.
Cha muhimu nataka kusema kuwa rasimu ya Marekebisho ya Sera ya Taifa ya VVU/UKIMWI 2001/2016 imeweka kipengele kinachojadili hayo makundi ambayo yamo kwenye mazingira hatarishi (MARPs), wakiwemo wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja (men who have sex with men) pamoja na wanawake wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. ambao jamii inawaita makahaba; changudoa; dala dala n.k.

Wakati wa utafiti niligundua kuwa hao wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wapo wengi zaidi kuliko tunavyofahamu. Takwimu sahihi hazipo kwa sababu wengi wapo kwenye kificho wengine hata kufikia kuoa kwa kukhofu unyanyapaa kutoka kwa jamii na mara nyingi kupigwa; kutukanwa na kutengwa.

Nataka kuwaambia watanzania kuwa mashoga ni binadamu kama sisi. Wana huruma. Wana haki ya kupata huduma ya afya; elimu; upigaji kura; vyeti vya kusafiri; pango kwenye nyumba; akaunti za benki n.k.

Kwenye utafiti niligundua kuwa iwapo hiyo rasimu ya kupeleka ujumbe na huduma juu ya VVU/UKIMWI kwa mashoga itapita kuwa Marekebisho ya Sera, haitaweza kutekelezeka kwa sababu itakosa uwiano na Sheria ya Makosa ya Kujamiiana (1998) na Penal Code Amendments 2002 kwa sababu kitendo hicho kimehramishwa kisheria.

Hapo hapo, mashoga watakataa kufikiwa na Mipango ya Taifa ya Udhibiti wa UKIMWI kwa kukhofu wanaweza kufunguliwa mashtaka ya jinai.

Nawaomba watanzania tuwe na upendo kwa makundi yote.Nimeshuhudia unyanyapaa; vipigo; matusi ambayo wanayopata mashoga na sisi kama watetezi wa Haki za Binaadamu na kutokomeza ukatili na unyanyapaa inabidi tuwe na compassion.“

Goodluck Haule ni mmoja wa wapigania haki za kibinadamu na mashoga ambaye anatafutwa na Jeshi la Polisi Tanzania kwa makosa mbali mbali yakiwemo kusambaza ushoga Nchini, kutorosha mashoga nje ya Nchi kinyume na sheria.

Ushoga umefika vipi Bara la Afrika na Tanzania?

Miaka ya nyuma kabisa waafrika walikuwa hawana tabia ya kulawitiana au kusagana, lakini mila hizi zimeletwa barani Afrika na wazungu hasa mabaharia na wamisionari wa makanisa mbalimbali kutoka ulaya na Amerika ya kaskazini. Miaka ya zamani vijana wengi wa Kiafrika waliodandia meli (stowaways) na kujificha kwa madhumuni ya kuajiriwa kwenye meli hizo na kuwa mabaharia wengi waliishia kulawitiwa kama sharti la kwanza la kutokutupwa baharini na sharti la pili kuweza kupewa ajira na kutimiza ndoto zao za miaka mingi za kuwa mabaharia..!!! Kizazi hiki cha “Stowaways” hasa ndicho kilicholeta na kuusambaza ustaarabu wa kulawitiana miongoni mwa jamii za Kiafrika. Upande mwingine uliokuwa mustari wa mbele kusambaza ustaarabu huu wa kulawitiana ni “Wamisioneri” ambao walikuja kupitia makanisani kwa madhumuni ya kueneza dini za Kikristo; hawa walianza kuwalawiti waumini hasa watoto wadogo kwa kuwadanganya na vizawadi mbalimbali na kuwapa masharti kwamba wasiseme ni siri ya mungu na akitoa siri hiyo atakuwa amemkosea mungu na hatafika peponi na wala hatauona ufalme wa mbinguni..!!! Kulingana na ukweli huo vitendo vya “ushoga” vikashamiri kwenye nyumba za mungu na kuanza kusambaa kwenye jamii taratibu bila wananchi kustuka. Hadi leo hii tuna idadi kubwa sana ya “Mashoga” ambao ukifuatilia kwa makini unakuta kwamba ni matunda ya “Stowaways” na “Wamisioneri”….!!!!!! Jamii iliyoathirika zaidi kwa ushoga ni zile jamii zinazoishi kando kando mwa bahari za Hindi, Atlantic, Mediterranean Sea na Bahari ya Sham kwa bara la Afrika.

Ni kitu gani au kuna ushawishi gani ambao umezifanya nchi za magharibi kuona umuhimu wa kuwahamasisha wananchi wa nchi zao kujihusisha na mambo ya ushoga, na hata kuhaklikisha kwamba wanatuma wajumbe wao kwenye nchi za mabara ya Africa, Asia na Latin America kuutangaza ushoga kama ustaarabu mpya wa karne ya 21..!? Kwenye nchi mbalimbali za dunia ya tatu kumekuwepo na shutuma zinazowashutumu baadhi ya maafisa wa balozi za nchi za nje kujihusisha na kusambaza propaganda za ushoga kwenye nchi ambazo vitendo hivyo vimekuwa vikipuuzwa na kuonekana kama vitendo vya kishenzi na visivyostahili kushabikiwa; pia makanisa mbalimbali yameshutumiwa kujihusisha aidha na usambazaji wa propaganda hizo au maaskofu na mapadre wameweza kushutumiwa moja kwa moja kwa kujihusisha na vitendo vya ushoga (kuwalawiti) dhidi ya watoto wadogo wanaosali kwenye makanisa yao.

Mwaka 1996 makanisa ya Roman Catholic mbalimbali nchini marekani (USA) yalikuwa yanakabiliwa na kesi 460 za maaskofu na mapadre waliokuwa wanashutumiwa kuwalawiti watoto wadogo nchini humo, na ili kesi hizo zisisikilizwe mahakamani, kanisa la Roman Catholic liliwajibika kulipa fidia ya jumla ya US $ 4 Billions..!!! Kanisa liliwajibika kuwalipa walalamikaji waliolawitiwa ili wafute kesi zisifikishwe mahakamani kwa kuogopa kuchafua jina la kanisa nchini Marekani na duniani kote; malipo haya ambayo wachambuzi wa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu waliyaona kama ni rushwa dhidi ya umma ulilofanywa na kanisa la Roman Catholic nchini Marekani; na fidia hiyo ya pesa nyingi ililifanya kanisa liyumbe kifedha kwa kutoa pesa ya mkupuo kwa mara moja kwa mambo yasiyokuwa na tija kwa jamii. Hata hivyo vitendo vya ushoga ndani ya kanisa la Roman Catholic havikukoma, kwa vile hivi karibuni umoja wa mataifa (UN) umetoa taarifa maalumu ya kulikemea kanisa la Roman Catholic kwa viongozi wake (Maaskofu na Mapadre) kuendekeza vitendo mbalimbali vya kuwalawiti vijana wadogo kwenye makanisa mbalimbali duniani. Hata hapa nyumbani Tanzania kumekuwepo na vitendo mbalimbali vya maaskofu na mapadre kuwalawiti watoto wadogo, lakini kesi hizo zimeweza kuzimwa chini kwa chini hata kabla hazijafika mahakamani…!!!

Je, Ushoga Unasababishwa na Nini Kisayansi au Nani Anaweza Kuwa Shoga…!!??

Kisayansi Ushoga ni ugonjwa wa mabadiliko ya “Hormones” na “Chromosomes” kwenye mwili wa binadamu. Hivi vitu hivi viwili vikibadilika kwenye mwili wa binadamu, basi unakuta Mwanaume hamtaki Mwanamke, bali anamtaka Mwanamume mwenzie; na Mwanamke hantaki Mwanamume, bali anamtaka Mwanamke mwenzie..!!! Hii inasababishwa na nini? Hii inasababishwa na akina mama hasa wa nchi za magharibi wakiwa waja wazito wamekuwa wakipewa dawa zinazoongeza “Hormones” za kike kwa wingi ili mimba isije ikaharibika, na matokeo ya hizi “Hormones” huwaathiri watoto wanapozaliwa na kujikuta kwamba mtoto wa kike hapendi wanaume, bali anapenda wanawake wenzie kwa vile “Hormones” za kiume zimezidi mwilini mwake; na mtoto wa kiume hapendi wanawake, bali anawapenda wanaume wenzake kwa vile “Hormones” za kike zimezidi mwilini mwake. Pia sababu nyingine inayosababisha ushoga ni akina mama wakiwa waja wazito kutumia vyakula speciali vya kutoka supermarket ambavyo vina chembechembe za “Genes Modification”; wakati mwingine mama mjamzito anayetumia bidhaa za “Genes Modification” anaweza kuzaa mtoto asiathirike na sumu hiyo, lakini mtoto huyo akiwa mkubwa na kuzaa watoto wake ndiyo watakaoathirika na sumu hiyo. Pia matumizi ya madawa na chanjo mbalimbali zinazotumiwa na akina mama hasa wakiwa waja wazito au watoto wadogo wanapofanyiwa chanjo zimechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa vitendo vya ushoga kwa nchi za magharibi.

Kama kweli tunaupinga ushoga inabidi tupunguze vitendo vya ufisadi ili tuweze kuwekeza kwenye utafiti wa dawa za kienyeji na chanjo asilia ikiwa ni pamoja na kuwekeza kwenye sekta mbalimbali za uchumi ikiwemo kilimo endelevu ili tusitegemee chakula cha misaada chenye sumu kutoka nchi za magharibi. Madawa mapya yakitengenezwa kwenye viwanda vya kutengenezea madawa huko ulaya, kabla hayajaanza kutumiwa na wazungu, kwanza yanaletwa huku Afrika kwa majaribio, waafrika wanapewa madawa hayo kwa kipindi cha miaka 5 kama madawa hayo hayatawadhuru waafrika, basi wazungu wanatangaziwa kwamba madawa hayo ni mazuri na yanaweza kutumika kwa binadamu..!!! Lakini kama madawa hayo yakiwadhuru waafrika, basi wazungu wamnatangaziwa kwamba wasiyatumie madawa hayo kwa vile ni hatari kwa binadamu..!!! Je, kwa utaratibu huu tutaweza kweli kupambana na ushoga, ikiwa hata hatujielewi sisi wenyewe o napenda kuwashauri marais wa bara zima la Afrika kwamba wasiupinge “Ushoga” kwenye majukwaa ya kisiasa peke yake, bali waupinge pia “Kisayansi” ili kuweza kufikia mana watu wetu wanatumiwa kama jamii ya kuyafanyia madawa ya wazungu utafiti..!? Mwishlengo yanayokusudiwa. Kinyume na hivyo tutakuwa tunajidanganya….!!!!!!!!!!
 
The primary Tanzania Police Force agencies that investigate domestic crime on the Internet include: the Tanzania Police Force Cyber Crimes Unit (TPF-CCU), the United Republic of Tanzania Secret Service, Immigration and Tanzania Police Force Serious Organized Crime Unit are investigating Mr. Goodluck Haule and other (s) in connection with Cyber Crimes, Sedition, inciting violence or disorder and human trafficking against United Republic of Tanzania Laws.

Mr. Haule is connected to the LGBT Voice Tanzania an organization which is campaigning on building LGBT communities or worked towards liberation for the broader society from biphobia, homophobia, and transphobia.

“Some people have gone totally off Facebook. I even deleted my account,” says Ouma, the founder and executive director of LGBT Voice Tanzania, the country’s biggest and oldest gay rights NGO.

Rev. James Wandera Ouma -Executive Director of the LGBT Voice Tanzania is one of the top suspects wanted by The Tanzania Police Force.

A month earlier, Interior minister Kangi Lugola said in a statement that the government had deregistered NGOs and banned programmes which “violated the requirements of the laws of our land, customs and traditions, with respect to issues around LGBTI people”. He said some NGOS had been “promoting homosexuality”.

Another activist named Ismail- who did not want to give his last name or the name of his organisation to SBS - says that the latest move against the LGBT+ community was in February , when police raided a training meeting for health figures at a Mto Wa Mbu hotel. The meeting was set up to work with men who have sex with men (MSM) and LGBTI issues. Those arrested over the “promotion of homosexuality” are said to still have to report to police.

In June, a newspaper notice summoned Ouma to the office of the deputy health minister with registration documents among others.

“The government says they’ve shut us down but there’s no legal platform they can use that prohibits organisations that serve LGBTI people,” Ouma says.

The police had questioned the charity for about three or four weeks, while about six officers had raided their office.

“They said that we train people to become homosexuals,” says Ouma, who notes that this year's crackdown was "not a surprise".

“Tanzania has never been tolerant of gay people,” he adds.



Most Wanted

News

What We Investigate

Services

About

Resources

Contact Us

TPF Jobs

Accessibility eRulemaking Freedom of Information/Privacy Act Legal Notices Legal Policies and Disclaimers Links Privacy Policy TZ.gov


All Rights Reserved Illusive Networks 2019
Matapeli wengi wanaitwa HAULE sijajua kuna siri gani katika jina hilo
 
Uzi mrefu lakini hakuna intervation yeyote ya kuwamaliza hawa mashoga na wasagaji zaidi ya kuwayetetea kuwa nao ni watu! La msingi ni kuunda afua za kuuondosha ushoga na usagaji kama tulivyoondoa utumwa... lkn kuja na kuwa tetea hapa haita saidia
 
Itafika mahali sisi wananchi inabidi tuchukue hatua kulinda maadili yetu, Utu wetu, utamaduni wetu, Mila na desturi zetu pia kuwalinda watoto wetu na jamii dhidi ya ushetani huu. Serikali inaogopa kufungiwa misaada na hao wanaowaita mabeberu.
Sasa huyu Goodluck mbona kama sasa hivi kabadririsha upepo kwenye Account yake ya Twitter anafanya mambo mengine ya kuzinguana na viongozi badala ya kufuatilia maushoga??
 
M
Nimetembea Bar nyingi kinondoni na sinza siku za karibuni, nimeshangazwa na ongezeko kubwa sana la mashoga tena siku hizi hawajifichi kama zamani!! Juzi nilikuwa Bar moja pale kinondoni opposite na mango garden nikawakuta wengi sana wanagonga kilaji na kujichekesha kama madem. Ikabidi nimuulize Barmaid akaniambia wanafanya sherehe ya rafiki yao!!
Hivi tatizo ni nini? Maana ni hatari sana kwa jamii yetu na naona jamii inaanza kuwakubali taratibu.

msikilize mwanaharakati Goodluck Haule kuhusiana na sakata la mashoga.!

“Mimi ni mpigania Haki za kibinadamu na mwanachama wa LGBT Voice na ndiye niliyefanya Mapping ya HIV Intervention among Men who have Sex with Men kwa ajili ya Center for Human Rights Promotion (CHRP) asasi ya kitanzania; TACAIDS na UNAIDS.

mashoga wapo kwenye jamii yetu na tukifumbia macho uwepo wao, huduma ya ujumbe juu ya kujikinga na maambukizi ya [Virusi vya Ukimwi] VVU miongoni mwao haitakuwepo.

Ilikuwa muhimu kufanya Mapping hiyo ili kama taifa tutayarishe mkakati wa kuwafikia hao ambao ninyi mnawaita mashoga; wasenge; kuchu; samaki; n.k. Aidha, wale mashoga wanaoishi na VVU hawatapata huduma ya ARV au ushauri nasaha.

Nilifanya utafiti kwenye mikoa mitatu {Ruvuma, Dar es salaam, Arusha} kabla ya Desk Review halafu nikatayarisha ramani itakayoongoza National Strategic Plan on Most at Risk Populations (MARPs).Mashoga ni kundi moja la MARPs.

Hiyo ramani ni mali ya watanzania na TACAIDS ndiyo custodian.
Cha muhimu nataka kusema kuwa rasimu ya Marekebisho ya Sera ya Taifa ya VVU/UKIMWI 2001/2016 imeweka kipengele kinachojadili hayo makundi ambayo yamo kwenye mazingira hatarishi (MARPs), wakiwemo wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja (men who have sex with men) pamoja na wanawake wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. ambao jamii inawaita makahaba; changudoa; dala dala n.k.

Wakati wa utafiti niligundua kuwa hao wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wapo wengi zaidi kuliko tunavyofahamu. Takwimu sahihi hazipo kwa sababu wengi wapo kwenye kificho wengine hata kufikia kuoa kwa kukhofu unyanyapaa kutoka kwa jamii na mara nyingi kupigwa; kutukanwa na kutengwa.

Nataka kuwaambia watanzania kuwa mashoga ni binadamu kama sisi. Wana huruma. Wana haki ya kupata huduma ya afya; elimu; upigaji kura; vyeti vya kusafiri; pango kwenye nyumba; akaunti za benki n.k.

Kwenye utafiti niligundua kuwa iwapo hiyo rasimu ya kupeleka ujumbe na huduma juu ya VVU/UKIMWI kwa mashoga itapita kuwa Marekebisho ya Sera, haitaweza kutekelezeka kwa sababu itakosa uwiano na Sheria ya Makosa ya Kujamiiana (1998) na Penal Code Amendments 2002 kwa sababu kitendo hicho kimehramishwa kisheria.

Hapo hapo, mashoga watakataa kufikiwa na Mipango ya Taifa ya Udhibiti wa UKIMWI kwa kukhofu wanaweza kufunguliwa mashtaka ya jinai.

Nawaomba watanzania tuwe na upendo kwa makundi yote.Nimeshuhudia unyanyapaa; vipigo; matusi ambayo wanayopata mashoga na sisi kama watetezi wa Haki za Binaadamu na kutokomeza ukatili na unyanyapaa inabidi tuwe na compassion.“

Goodluck Haule ni mmoja wa wapigania haki za kibinadamu na mashoga ambaye anatafutwa na Jeshi la Polisi Tanzania kwa makosa mbali mbali yakiwemo kusambaza ushoga Nchini, kutorosha mashoga nje ya Nchi kinyume na sheria.

Ushoga umefika vipi Bara la Afrika na Tanzania?

Miaka ya nyuma kabisa waafrika walikuwa hawana tabia ya kulawitiana au kusagana, lakini mila hizi zimeletwa barani Afrika na wazungu hasa mabaharia na wamisionari wa makanisa mbalimbali kutoka ulaya na Amerika ya kaskazini. Miaka ya zamani vijana wengi wa Kiafrika waliodandia meli (stowaways) na kujificha kwa madhumuni ya kuajiriwa kwenye meli hizo na kuwa mabaharia wengi waliishia kulawitiwa kama sharti la kwanza la kutokutupwa baharini na sharti la pili kuweza kupewa ajira na kutimiza ndoto zao za miaka mingi za kuwa mabaharia..!!! Kizazi hiki cha “Stowaways” hasa ndicho kilicholeta na kuusambaza ustaarabu wa kulawitiana miongoni mwa jamii za Kiafrika. Upande mwingine uliokuwa mustari wa mbele kusambaza ustaarabu huu wa kulawitiana ni “Wamisioneri” ambao walikuja kupitia makanisani kwa madhumuni ya kueneza dini za Kikristo; hawa walianza kuwalawiti waumini hasa watoto wadogo kwa kuwadanganya na vizawadi mbalimbali na kuwapa masharti kwamba wasiseme ni siri ya mungu na akitoa siri hiyo atakuwa amemkosea mungu na hatafika peponi na wala hatauona ufalme wa mbinguni..!!! Kulingana na ukweli huo vitendo vya “ushoga” vikashamiri kwenye nyumba za mungu na kuanza kusambaa kwenye jamii taratibu bila wananchi kustuka. Hadi leo hii tuna idadi kubwa sana ya “Mashoga” ambao ukifuatilia kwa makini unakuta kwamba ni matunda ya “Stowaways” na “Wamisioneri”….!!!!!! Jamii iliyoathirika zaidi kwa ushoga ni zile jamii zinazoishi kando kando mwa bahari za Hindi, Atlantic, Mediterranean Sea na Bahari ya Sham kwa bara la Afrika.

Ni kitu gani au kuna ushawishi gani ambao umezifanya nchi za magharibi kuona umuhimu wa kuwahamasisha wananchi wa nchi zao kujihusisha na mambo ya ushoga, na hata kuhaklikisha kwamba wanatuma wajumbe wao kwenye nchi za mabara ya Africa, Asia na Latin America kuutangaza ushoga kama ustaarabu mpya wa karne ya 21..!? Kwenye nchi mbalimbali za dunia ya tatu kumekuwepo na shutuma zinazowashutumu baadhi ya maafisa wa balozi za nchi za nje kujihusisha na kusambaza propaganda za ushoga kwenye nchi ambazo vitendo hivyo vimekuwa vikipuuzwa na kuonekana kama vitendo vya kishenzi na visivyostahili kushabikiwa; pia makanisa mbalimbali yameshutumiwa kujihusisha aidha na usambazaji wa propaganda hizo au maaskofu na mapadre wameweza kushutumiwa moja kwa moja kwa kujihusisha na vitendo vya ushoga (kuwalawiti) dhidi ya watoto wadogo wanaosali kwenye makanisa yao.

Mwaka 1996 makanisa ya Roman Catholic mbalimbali nchini marekani (USA) yalikuwa yanakabiliwa na kesi 460 za maaskofu na mapadre waliokuwa wanashutumiwa kuwalawiti watoto wadogo nchini humo, na ili kesi hizo zisisikilizwe mahakamani, kanisa la Roman Catholic liliwajibika kulipa fidia ya jumla ya US $ 4 Billions..!!! Kanisa liliwajibika kuwalipa walalamikaji waliolawitiwa ili wafute kesi zisifikishwe mahakamani kwa kuogopa kuchafua jina la kanisa nchini Marekani na duniani kote; malipo haya ambayo wachambuzi wa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu waliyaona kama ni rushwa dhidi ya umma ulilofanywa na kanisa la Roman Catholic nchini Marekani; na fidia hiyo ya pesa nyingi ililifanya kanisa liyumbe kifedha kwa kutoa pesa ya mkupuo kwa mara moja kwa mambo yasiyokuwa na tija kwa jamii. Hata hivyo vitendo vya ushoga ndani ya kanisa la Roman Catholic havikukoma, kwa vile hivi karibuni umoja wa mataifa (UN) umetoa taarifa maalumu ya kulikemea kanisa la Roman Catholic kwa viongozi wake (Maaskofu na Mapadre) kuendekeza vitendo mbalimbali vya kuwalawiti vijana wadogo kwenye makanisa mbalimbali duniani. Hata hapa nyumbani Tanzania kumekuwepo na vitendo mbalimbali vya maaskofu na mapadre kuwalawiti watoto wadogo, lakini kesi hizo zimeweza kuzimwa chini kwa chini hata kabla hazijafika mahakamani…!!!

Je, Ushoga Unasababishwa na Nini Kisayansi au Nani Anaweza Kuwa Shoga…!!??

Kisayansi Ushoga ni ugonjwa wa mabadiliko ya “Hormones” na “Chromosomes” kwenye mwili wa binadamu. Hivi vitu hivi viwili vikibadilika kwenye mwili wa binadamu, basi unakuta Mwanaume hamtaki Mwanamke, bali anamtaka Mwanamume mwenzie; na Mwanamke hantaki Mwanamume, bali anamtaka Mwanamke mwenzie..!!! Hii inasababishwa na nini? Hii inasababishwa na akina mama hasa wa nchi za magharibi wakiwa waja wazito wamekuwa wakipewa dawa zinazoongeza “Hormones” za kike kwa wingi ili mimba isije ikaharibika, na matokeo ya hizi “Hormones” huwaathiri watoto wanapozaliwa na kujikuta kwamba mtoto wa kike hapendi wanaume, bali anapenda wanawake wenzie kwa vile “Hormones” za kiume zimezidi mwilini mwake; na mtoto wa kiume hapendi wanawake, bali anawapenda wanaume wenzake kwa vile “Hormones” za kike zimezidi mwilini mwake. Pia sababu nyingine inayosababisha ushoga ni akina mama wakiwa waja wazito kutumia vyakula speciali vya kutoka supermarket ambavyo vina chembechembe za “Genes Modification”; wakati mwingine mama mjamzito anayetumia bidhaa za “Genes Modification” anaweza kuzaa mtoto asiathirike na sumu hiyo, lakini mtoto huyo akiwa mkubwa na kuzaa watoto wake ndiyo watakaoathirika na sumu hiyo. Pia matumizi ya madawa na chanjo mbalimbali zinazotumiwa na akina mama hasa wakiwa waja wazito au watoto wadogo wanapofanyiwa chanjo zimechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa vitendo vya ushoga kwa nchi za magharibi.

Kama kweli tunaupinga ushoga inabidi tupunguze vitendo vya ufisadi ili tuweze kuwekeza kwenye utafiti wa dawa za kienyeji na chanjo asilia ikiwa ni pamoja na kuwekeza kwenye sekta mbalimbali za uchumi ikiwemo kilimo endelevu ili tusitegemee chakula cha misaada chenye sumu kutoka nchi za magharibi. Madawa mapya yakitengenezwa kwenye viwanda vya kutengenezea madawa huko ulaya, kabla hayajaanza kutumiwa na wazungu, kwanza yanaletwa huku Afrika kwa majaribio, waafrika wanapewa madawa hayo kwa kipindi cha miaka 5 kama madawa hayo hayatawadhuru waafrika, basi wazungu wanatangaziwa kwamba madawa hayo ni mazuri na yanaweza kutumika kwa binadamu..!!! Lakini kama madawa hayo yakiwadhuru waafrika, basi wazungu wamnatangaziwa kwamba wasiyatumie madawa hayo kwa vile ni hatari kwa binadamu..!!! Je, kwa utaratibu huu tutaweza kweli kupambana na ushoga, ikiwa hata hatujielewi sisi wenyewe o napenda kuwashauri marais wa bara zima la Afrika kwamba wasiupinge “Ushoga” kwenye majukwaa ya kisiasa peke yake, bali waupinge pia “Kisayansi” ili kuweza kufikia mana watu wetu wanatumiwa kama jamii ya kuyafanyia madawa ya wazungu utafiti..!? Mwishlengo yanayokusudiwa. Kinyume na hivyo tutakuwa tunajidanganya….!!!!!!!!!!
Mbona rc tu hujaona madrasa research yako ni rc tu? Umeonesha udhaifu mkubwa
 
Nimetembea Bar nyingi kinondoni na sinza siku za karibuni, nimeshangazwa na ongezeko kubwa sana la mashoga tena siku hizi hawajifichi kama zamani!! Juzi nilikuwa Bar moja pale kinondoni opposite na mango garden nikawakuta wengi sana wanagonga kilaji na kujichekesha kama madem. Ikabidi nimuulize Barmaid akaniambia wanafanya sherehe ya rafiki yao!!
Hivi tatizo ni nini? Maana ni hatari sana kwa jamii yetu na naona jamii inaanza kuwakubali taratibu.

msikilize mwanaharakati Goodluck Haule kuhusiana na sakata la mashoga.!

“Mimi ni mpigania Haki za kibinadamu na mwanachama wa LGBT Voice na ndiye niliyefanya Mapping ya HIV Intervention among Men who have Sex with Men kwa ajili ya Center for Human Rights Promotion (CHRP) asasi ya kitanzania; TACAIDS na UNAIDS.

mashoga wapo kwenye jamii yetu na tukifumbia macho uwepo wao, huduma ya ujumbe juu ya kujikinga na maambukizi ya [Virusi vya Ukimwi] VVU miongoni mwao haitakuwepo.

Ilikuwa muhimu kufanya Mapping hiyo ili kama taifa tutayarishe mkakati wa kuwafikia hao ambao ninyi mnawaita mashoga; wasenge; kuchu; samaki; n.k. Aidha, wale mashoga wanaoishi na VVU hawatapata huduma ya ARV au ushauri nasaha.

Nilifanya utafiti kwenye mikoa mitatu {Ruvuma, Dar es salaam, Arusha} kabla ya Desk Review halafu nikatayarisha ramani itakayoongoza National Strategic Plan on Most at Risk Populations (MARPs).Mashoga ni kundi moja la MARPs.

Hiyo ramani ni mali ya watanzania na TACAIDS ndiyo custodian.
Cha muhimu nataka kusema kuwa rasimu ya Marekebisho ya Sera ya Taifa ya VVU/UKIMWI 2001/2016 imeweka kipengele kinachojadili hayo makundi ambayo yamo kwenye mazingira hatarishi (MARPs), wakiwemo wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja (men who have sex with men) pamoja na wanawake wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. ambao jamii inawaita makahaba; changudoa; dala dala n.k.

Wakati wa utafiti niligundua kuwa hao wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wapo wengi zaidi kuliko tunavyofahamu. Takwimu sahihi hazipo kwa sababu wengi wapo kwenye kificho wengine hata kufikia kuoa kwa kukhofu unyanyapaa kutoka kwa jamii na mara nyingi kupigwa; kutukanwa na kutengwa.

Nataka kuwaambia watanzania kuwa mashoga ni binadamu kama sisi. Wana huruma. Wana haki ya kupata huduma ya afya; elimu; upigaji kura; vyeti vya kusafiri; pango kwenye nyumba; akaunti za benki n.k.

Kwenye utafiti niligundua kuwa iwapo hiyo rasimu ya kupeleka ujumbe na huduma juu ya VVU/UKIMWI kwa mashoga itapita kuwa Marekebisho ya Sera, haitaweza kutekelezeka kwa sababu itakosa uwiano na Sheria ya Makosa ya Kujamiiana (1998) na Penal Code Amendments 2002 kwa sababu kitendo hicho kimehramishwa kisheria.

Hapo hapo, mashoga watakataa kufikiwa na Mipango ya Taifa ya Udhibiti wa UKIMWI kwa kukhofu wanaweza kufunguliwa mashtaka ya jinai.

Nawaomba watanzania tuwe na upendo kwa makundi yote.Nimeshuhudia unyanyapaa; vipigo; matusi ambayo wanayopata mashoga na sisi kama watetezi wa Haki za Binaadamu na kutokomeza ukatili na unyanyapaa inabidi tuwe na compassion.“

Goodluck Haule ni mmoja wa wapigania haki za kibinadamu na mashoga ambaye anatafutwa na Jeshi la Polisi Tanzania kwa makosa mbali mbali yakiwemo kusambaza ushoga Nchini, kutorosha mashoga nje ya Nchi kinyume na sheria.

Ushoga umefika vipi Bara la Afrika na Tanzania?

Miaka ya nyuma kabisa waafrika walikuwa hawana tabia ya kulawitiana au kusagana, lakini mila hizi zimeletwa barani Afrika na wazungu hasa mabaharia na wamisionari wa makanisa mbalimbali kutoka ulaya na Amerika ya kaskazini. Miaka ya zamani vijana wengi wa Kiafrika waliodandia meli (stowaways) na kujificha kwa madhumuni ya kuajiriwa kwenye meli hizo na kuwa mabaharia wengi waliishia kulawitiwa kama sharti la kwanza la kutokutupwa baharini na sharti la pili kuweza kupewa ajira na kutimiza ndoto zao za miaka mingi za kuwa mabaharia..!!! Kizazi hiki cha “Stowaways” hasa ndicho kilicholeta na kuusambaza ustaarabu wa kulawitiana miongoni mwa jamii za Kiafrika. Upande mwingine uliokuwa mustari wa mbele kusambaza ustaarabu huu wa kulawitiana ni “Wamisioneri” ambao walikuja kupitia makanisani kwa madhumuni ya kueneza dini za Kikristo; hawa walianza kuwalawiti waumini hasa watoto wadogo kwa kuwadanganya na vizawadi mbalimbali na kuwapa masharti kwamba wasiseme ni siri ya mungu na akitoa siri hiyo atakuwa amemkosea mungu na hatafika peponi na wala hatauona ufalme wa mbinguni..!!! Kulingana na ukweli huo vitendo vya “ushoga” vikashamiri kwenye nyumba za mungu na kuanza kusambaa kwenye jamii taratibu bila wananchi kustuka. Hadi leo hii tuna idadi kubwa sana ya “Mashoga” ambao ukifuatilia kwa makini unakuta kwamba ni matunda ya “Stowaways” na “Wamisioneri”….!!!!!! Jamii iliyoathirika zaidi kwa ushoga ni zile jamii zinazoishi kando kando mwa bahari za Hindi, Atlantic, Mediterranean Sea na Bahari ya Sham kwa bara la Afrika.

Ni kitu gani au kuna ushawishi gani ambao umezifanya nchi za magharibi kuona umuhimu wa kuwahamasisha wananchi wa nchi zao kujihusisha na mambo ya ushoga, na hata kuhaklikisha kwamba wanatuma wajumbe wao kwenye nchi za mabara ya Africa, Asia na Latin America kuutangaza ushoga kama ustaarabu mpya wa karne ya 21..!? Kwenye nchi mbalimbali za dunia ya tatu kumekuwepo na shutuma zinazowashutumu baadhi ya maafisa wa balozi za nchi za nje kujihusisha na kusambaza propaganda za ushoga kwenye nchi ambazo vitendo hivyo vimekuwa vikipuuzwa na kuonekana kama vitendo vya kishenzi na visivyostahili kushabikiwa; pia makanisa mbalimbali yameshutumiwa kujihusisha aidha na usambazaji wa propaganda hizo au maaskofu na mapadre wameweza kushutumiwa moja kwa moja kwa kujihusisha na vitendo vya ushoga (kuwalawiti) dhidi ya watoto wadogo wanaosali kwenye makanisa yao.

Mwaka 1996 makanisa ya Roman Catholic mbalimbali nchini marekani (USA) yalikuwa yanakabiliwa na kesi 460 za maaskofu na mapadre waliokuwa wanashutumiwa kuwalawiti watoto wadogo nchini humo, na ili kesi hizo zisisikilizwe mahakamani, kanisa la Roman Catholic liliwajibika kulipa fidia ya jumla ya US $ 4 Billions..!!! Kanisa liliwajibika kuwalipa walalamikaji waliolawitiwa ili wafute kesi zisifikishwe mahakamani kwa kuogopa kuchafua jina la kanisa nchini Marekani na duniani kote; malipo haya ambayo wachambuzi wa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu waliyaona kama ni rushwa dhidi ya umma ulilofanywa na kanisa la Roman Catholic nchini Marekani; na fidia hiyo ya pesa nyingi ililifanya kanisa liyumbe kifedha kwa kutoa pesa ya mkupuo kwa mara moja kwa mambo yasiyokuwa na tija kwa jamii. Hata hivyo vitendo vya ushoga ndani ya kanisa la Roman Catholic havikukoma, kwa vile hivi karibuni umoja wa mataifa (UN) umetoa taarifa maalumu ya kulikemea kanisa la Roman Catholic kwa viongozi wake (Maaskofu na Mapadre) kuendekeza vitendo mbalimbali vya kuwalawiti vijana wadogo kwenye makanisa mbalimbali duniani. Hata hapa nyumbani Tanzania kumekuwepo na vitendo mbalimbali vya maaskofu na mapadre kuwalawiti watoto wadogo, lakini kesi hizo zimeweza kuzimwa chini kwa chini hata kabla hazijafika mahakamani…!!!

Je, Ushoga Unasababishwa na Nini Kisayansi au Nani Anaweza Kuwa Shoga…!!??

Kisayansi Ushoga ni ugonjwa wa mabadiliko ya “Hormones” na “Chromosomes” kwenye mwili wa binadamu. Hivi vitu hivi viwili vikibadilika kwenye mwili wa binadamu, basi unakuta Mwanaume hamtaki Mwanamke, bali anamtaka Mwanamume mwenzie; na Mwanamke hantaki Mwanamume, bali anamtaka Mwanamke mwenzie..!!! Hii inasababishwa na nini? Hii inasababishwa na akina mama hasa wa nchi za magharibi wakiwa waja wazito wamekuwa wakipewa dawa zinazoongeza “Hormones” za kike kwa wingi ili mimba isije ikaharibika, na matokeo ya hizi “Hormones” huwaathiri watoto wanapozaliwa na kujikuta kwamba mtoto wa kike hapendi wanaume, bali anapenda wanawake wenzie kwa vile “Hormones” za kiume zimezidi mwilini mwake; na mtoto wa kiume hapendi wanawake, bali anawapenda wanaume wenzake kwa vile “Hormones” za kike zimezidi mwilini mwake. Pia sababu nyingine inayosababisha ushoga ni akina mama wakiwa waja wazito kutumia vyakula speciali vya kutoka supermarket ambavyo vina chembechembe za “Genes Modification”; wakati mwingine mama mjamzito anayetumia bidhaa za “Genes Modification” anaweza kuzaa mtoto asiathirike na sumu hiyo, lakini mtoto huyo akiwa mkubwa na kuzaa watoto wake ndiyo watakaoathirika na sumu hiyo. Pia matumizi ya madawa na chanjo mbalimbali zinazotumiwa na akina mama hasa wakiwa waja wazito au watoto wadogo wanapofanyiwa chanjo zimechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa vitendo vya ushoga kwa nchi za magharibi.

Kama kweli tunaupinga ushoga inabidi tupunguze vitendo vya ufisadi ili tuweze kuwekeza kwenye utafiti wa dawa za kienyeji na chanjo asilia ikiwa ni pamoja na kuwekeza kwenye sekta mbalimbali za uchumi ikiwemo kilimo endelevu ili tusitegemee chakula cha misaada chenye sumu kutoka nchi za magharibi. Madawa mapya yakitengenezwa kwenye viwanda vya kutengenezea madawa huko ulaya, kabla hayajaanza kutumiwa na wazungu, kwanza yanaletwa huku Afrika kwa majaribio, waafrika wanapewa madawa hayo kwa kipindi cha miaka 5 kama madawa hayo hayatawadhuru waafrika, basi wazungu wanatangaziwa kwamba madawa hayo ni mazuri na yanaweza kutumika kwa binadamu..!!! Lakini kama madawa hayo yakiwadhuru waafrika, basi wazungu wamnatangaziwa kwamba wasiyatumie madawa hayo kwa vile ni hatari kwa binadamu..!!! Je, kwa utaratibu huu tutaweza kweli kupambana na ushoga, ikiwa hata hatujielewi sisi wenyewe o napenda kuwashauri marais wa bara zima la Afrika kwamba wasiupinge “Ushoga” kwenye majukwaa ya kisiasa peke yake, bali waupinge pia “Kisayansi” ili kuweza kufikia mana watu wetu wanatumiwa kama jamii ya kuyafanyia madawa ya wazungu utafiti..!? Mwishlengo yanayokusudiwa. Kinyume na hivyo tutakuwa tunajidanganya….!!!!!!!!!!
Hamna ugonjwa wa ushoga ni matakwa Yao Kwa kujitakia ama kutojitakia

Halafu mbona Una accuse kanisa aktoliki pekee wakati Tanzania kesi za ulawiti ni chache Kwa kanisa na Kwa walimu wa madrasa ndio nyingi??
 
Naona umeegemea upande mmoja, kule Zenji na Arabuni ushoga ulipelekwa na nani? au ni hao hao Mamissionary wa Kanisa. Maake huko pia mambo ya kuhusudu mtandao pendwa yamekubuhu.
Nimetembea Bar nyingi kinondoni na sinza siku za karibuni, nimeshangazwa na ongezeko kubwa sana la mashoga tena siku hizi hawajifichi kama zamani!! Juzi nilikuwa Bar moja pale kinondoni opposite na mango garden nikawakuta wengi sana wanagonga kilaji na kujichekesha kama madem. Ikabidi nimuulize Barmaid akaniambia wanafanya sherehe ya rafiki yao!!
Hivi tatizo ni nini? Maana ni hatari sana kwa jamii yetu na naona jamii inaanza kuwakubali taratibu.

msikilize mwanaharakati Goodluck Haule kuhusiana na sakata la mashoga.!

“Mimi ni mpigania Haki za kibinadamu na mwanachama wa LGBT Voice na ndiye niliyefanya Mapping ya HIV Intervention among Men who have Sex with Men kwa ajili ya Center for Human Rights Promotion (CHRP) asasi ya kitanzania; TACAIDS na UNAIDS.

mashoga wapo kwenye jamii yetu na tukifumbia macho uwepo wao, huduma ya ujumbe juu ya kujikinga na maambukizi ya [Virusi vya Ukimwi] VVU miongoni mwao haitakuwepo.

Ilikuwa muhimu kufanya Mapping hiyo ili kama taifa tutayarishe mkakati wa kuwafikia hao ambao ninyi mnawaita mashoga; wasenge; kuchu; samaki; n.k. Aidha, wale mashoga wanaoishi na VVU hawatapata huduma ya ARV au ushauri nasaha.

Nilifanya utafiti kwenye mikoa mitatu {Ruvuma, Dar es salaam, Arusha} kabla ya Desk Review halafu nikatayarisha ramani itakayoongoza National Strategic Plan on Most at Risk Populations (MARPs).Mashoga ni kundi moja la MARPs.

Hiyo ramani ni mali ya watanzania na TACAIDS ndiyo custodian.
Cha muhimu nataka kusema kuwa rasimu ya Marekebisho ya Sera ya Taifa ya VVU/UKIMWI 2001/2016 imeweka kipengele kinachojadili hayo makundi ambayo yamo kwenye mazingira hatarishi (MARPs), wakiwemo wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja (men who have sex with men) pamoja na wanawake wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. ambao jamii inawaita makahaba; changudoa; dala dala n.k.

Wakati wa utafiti niligundua kuwa hao wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wapo wengi zaidi kuliko tunavyofahamu. Takwimu sahihi hazipo kwa sababu wengi wapo kwenye kificho wengine hata kufikia kuoa kwa kukhofu unyanyapaa kutoka kwa jamii na mara nyingi kupigwa; kutukanwa na kutengwa.

Nataka kuwaambia watanzania kuwa mashoga ni binadamu kama sisi. Wana huruma. Wana haki ya kupata huduma ya afya; elimu; upigaji kura; vyeti vya kusafiri; pango kwenye nyumba; akaunti za benki n.k.

Kwenye utafiti niligundua kuwa iwapo hiyo rasimu ya kupeleka ujumbe na huduma juu ya VVU/UKIMWI kwa mashoga itapita kuwa Marekebisho ya Sera, haitaweza kutekelezeka kwa sababu itakosa uwiano na Sheria ya Makosa ya Kujamiiana (1998) na Penal Code Amendments 2002 kwa sababu kitendo hicho kimehramishwa kisheria.

Hapo hapo, mashoga watakataa kufikiwa na Mipango ya Taifa ya Udhibiti wa UKIMWI kwa kukhofu wanaweza kufunguliwa mashtaka ya jinai.

Nawaomba watanzania tuwe na upendo kwa makundi yote.Nimeshuhudia unyanyapaa; vipigo; matusi ambayo wanayopata mashoga na sisi kama watetezi wa Haki za Binaadamu na kutokomeza ukatili na unyanyapaa inabidi tuwe na compassion.“

Goodluck Haule ni mmoja wa wapigania haki za kibinadamu na mashoga ambaye anatafutwa na Jeshi la Polisi Tanzania kwa makosa mbali mbali yakiwemo kusambaza ushoga Nchini, kutorosha mashoga nje ya Nchi kinyume na sheria.

Ushoga umefika vipi Bara la Afrika na Tanzania?

Miaka ya nyuma kabisa waafrika walikuwa hawana tabia ya kulawitiana au kusagana, lakini mila hizi zimeletwa barani Afrika na wazungu hasa mabaharia na wamisionari wa makanisa mbalimbali kutoka ulaya na Amerika ya kaskazini. Miaka ya zamani vijana wengi wa Kiafrika waliodandia meli (stowaways) na kujificha kwa madhumuni ya kuajiriwa kwenye meli hizo na kuwa mabaharia wengi waliishia kulawitiwa kama sharti la kwanza la kutokutupwa baharini na sharti la pili kuweza kupewa ajira na kutimiza ndoto zao za miaka mingi za kuwa mabaharia..!!! Kizazi hiki cha “Stowaways” hasa ndicho kilicholeta na kuusambaza ustaarabu wa kulawitiana miongoni mwa jamii za Kiafrika. Upande mwingine uliokuwa mustari wa mbele kusambaza ustaarabu huu wa kulawitiana ni “Wamisioneri” ambao walikuja kupitia makanisani kwa madhumuni ya kueneza dini za Kikristo; hawa walianza kuwalawiti waumini hasa watoto wadogo kwa kuwadanganya na vizawadi mbalimbali na kuwapa masharti kwamba wasiseme ni siri ya mungu na akitoa siri hiyo atakuwa amemkosea mungu na hatafika peponi na wala hatauona ufalme wa mbinguni..!!! Kulingana na ukweli huo vitendo vya “ushoga” vikashamiri kwenye nyumba za mungu na kuanza kusambaa kwenye jamii taratibu bila wananchi kustuka. Hadi leo hii tuna idadi kubwa sana ya “Mashoga” ambao ukifuatilia kwa makini unakuta kwamba ni matunda ya “Stowaways” na “Wamisioneri”….!!!!!! Jamii iliyoathirika zaidi kwa ushoga ni zile jamii zinazoishi kando kando mwa bahari za Hindi, Atlantic, Mediterranean Sea na Bahari ya Sham kwa bara la Afrika.

Ni kitu gani au kuna ushawishi gani ambao umezifanya nchi za magharibi kuona umuhimu wa kuwahamasisha wananchi wa nchi zao kujihusisha na mambo ya ushoga, na hata kuhaklikisha kwamba wanatuma wajumbe wao kwenye nchi za mabara ya Africa, Asia na Latin America kuutangaza ushoga kama ustaarabu mpya wa karne ya 21..!? Kwenye nchi mbalimbali za dunia ya tatu kumekuwepo na shutuma zinazowashutumu baadhi ya maafisa wa balozi za nchi za nje kujihusisha na kusambaza propaganda za ushoga kwenye nchi ambazo vitendo hivyo vimekuwa vikipuuzwa na kuonekana kama vitendo vya kishenzi na visivyostahili kushabikiwa; pia makanisa mbalimbali yameshutumiwa kujihusisha aidha na usambazaji wa propaganda hizo au maaskofu na mapadre wameweza kushutumiwa moja kwa moja kwa kujihusisha na vitendo vya ushoga (kuwalawiti) dhidi ya watoto wadogo wanaosali kwenye makanisa yao.

Mwaka 1996 makanisa ya Roman Catholic mbalimbali nchini marekani (USA) yalikuwa yanakabiliwa na kesi 460 za maaskofu na mapadre waliokuwa wanashutumiwa kuwalawiti watoto wadogo nchini humo, na ili kesi hizo zisisikilizwe mahakamani, kanisa la Roman Catholic liliwajibika kulipa fidia ya jumla ya US $ 4 Billions..!!! Kanisa liliwajibika kuwalipa walalamikaji waliolawitiwa ili wafute kesi zisifikishwe mahakamani kwa kuogopa kuchafua jina la kanisa nchini Marekani na duniani kote; malipo haya ambayo wachambuzi wa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu waliyaona kama ni rushwa dhidi ya umma ulilofanywa na kanisa la Roman Catholic nchini Marekani; na fidia hiyo ya pesa nyingi ililifanya kanisa liyumbe kifedha kwa kutoa pesa ya mkupuo kwa mara moja kwa mambo yasiyokuwa na tija kwa jamii. Hata hivyo vitendo vya ushoga ndani ya kanisa la Roman Catholic havikukoma, kwa vile hivi karibuni umoja wa mataifa (UN) umetoa taarifa maalumu ya kulikemea kanisa la Roman Catholic kwa viongozi wake (Maaskofu na Mapadre) kuendekeza vitendo mbalimbali vya kuwalawiti vijana wadogo kwenye makanisa mbalimbali duniani. Hata hapa nyumbani Tanzania kumekuwepo na vitendo mbalimbali vya maaskofu na mapadre kuwalawiti watoto wadogo, lakini kesi hizo zimeweza kuzimwa chini kwa chini hata kabla hazijafika mahakamani…!!!

Je, Ushoga Unasababishwa na Nini Kisayansi au Nani Anaweza Kuwa Shoga…!!??

Kisayansi Ushoga ni ugonjwa wa mabadiliko ya “Hormones” na “Chromosomes” kwenye mwili wa binadamu. Hivi vitu hivi viwili vikibadilika kwenye mwili wa binadamu, basi unakuta Mwanaume hamtaki Mwanamke, bali anamtaka Mwanamume mwenzie; na Mwanamke hantaki Mwanamume, bali anamtaka Mwanamke mwenzie..!!! Hii inasababishwa na nini? Hii inasababishwa na akina mama hasa wa nchi za magharibi wakiwa waja wazito wamekuwa wakipewa dawa zinazoongeza “Hormones” za kike kwa wingi ili mimba isije ikaharibika, na matokeo ya hizi “Hormones” huwaathiri watoto wanapozaliwa na kujikuta kwamba mtoto wa kike hapendi wanaume, bali anapenda wanawake wenzie kwa vile “Hormones” za kiume zimezidi mwilini mwake; na mtoto wa kiume hapendi wanawake, bali anawapenda wanaume wenzake kwa vile “Hormones” za kike zimezidi mwilini mwake. Pia sababu nyingine inayosababisha ushoga ni akina mama wakiwa waja wazito kutumia vyakula speciali vya kutoka supermarket ambavyo vina chembechembe za “Genes Modification”; wakati mwingine mama mjamzito anayetumia bidhaa za “Genes Modification” anaweza kuzaa mtoto asiathirike na sumu hiyo, lakini mtoto huyo akiwa mkubwa na kuzaa watoto wake ndiyo watakaoathirika na sumu hiyo. Pia matumizi ya madawa na chanjo mbalimbali zinazotumiwa na akina mama hasa wakiwa waja wazito au watoto wadogo wanapofanyiwa chanjo zimechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa vitendo vya ushoga kwa nchi za magharibi.

Kama kweli tunaupinga ushoga inabidi tupunguze vitendo vya ufisadi ili tuweze kuwekeza kwenye utafiti wa dawa za kienyeji na chanjo asilia ikiwa ni pamoja na kuwekeza kwenye sekta mbalimbali za uchumi ikiwemo kilimo endelevu ili tusitegemee chakula cha misaada chenye sumu kutoka nchi za magharibi. Madawa mapya yakitengenezwa kwenye viwanda vya kutengenezea madawa huko ulaya, kabla hayajaanza kutumiwa na wazungu, kwanza yanaletwa huku Afrika kwa majaribio, waafrika wanapewa madawa hayo kwa kipindi cha miaka 5 kama madawa hayo hayatawadhuru waafrika, basi wazungu wanatangaziwa kwamba madawa hayo ni mazuri na yanaweza kutumika kwa binadamu..!!! Lakini kama madawa hayo yakiwadhuru waafrika, basi wazungu wamnatangaziwa kwamba wasiyatumie madawa hayo kwa vile ni hatari kwa binadamu..!!! Je, kwa utaratibu huu tutaweza kweli kupambana na ushoga, ikiwa hata hatujielewi sisi wenyewe o napenda kuwashauri marais wa bara zima la Afrika kwamba wasiupinge “Ushoga” kwenye majukwaa ya kisiasa peke yake, bali waupinge pia “Kisayansi” ili kuweza kufikia mana watu wetu wanatumiwa kama jamii ya kuyafanyia madawa ya wazungu utafiti..!? Mwishlengo yanayokusudiwa. Kinyume na hivyo tutakuwa tunajidanganya….!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom